Namna ya kumlinda mwekezaji wa hisa
Mwekezaji kabla ya kufanya uwekezaji inatakiwa awe na uhakika kwamba fedha ambayo atafanyia uwekezaji itakuwa salama. Ni kwa namna gani mwekezaji katika Masoko ya Mitaji na Dhamana analindwa ndiyo kitu ambacho nitaongelea katika makala haya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
DC Ilemela atuhumiwa kumlinda mwekezaji
UONGOZI wa kiwanda cha kutengeneza nondo cha Nyakato Steel Mills (NSM), na uongozi wa Serikali ya Wilaya ya Ilemela jijini Mwanza, umeingia kwenye mgogoro na wananchi wapatao 200, wanaodai kutaka...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gtauucLz9Ks/VKJWWj29IdI/AAAAAAAG6jk/0hkbgehM7NA/s72-c/images.jpg)
UNATAKA AU UMEFUNGUA KAMPUNI, JE WAJUA NAMNA YA KUNUNUA, KUUZA HISA
![](http://3.bp.blogspot.com/-gtauucLz9Ks/VKJWWj29IdI/AAAAAAAG6jk/0hkbgehM7NA/s1600/images.jpg)
Na Bashir YakubKatika adhima ya ya mwendelezo wa makala za namna ya kuendesha kampuni leo tena tuangalie kuhusu hisa na hasa namna ya kuhamisha hisa.
HISA NININI.Kwa maana ambayo inaweza kueleweka kwa wepesi zaidi ni kusema kuwa hisa ni aina ya maslahi ya mtu ya katika kampuni.Natumia neno aina kwakuwa maslahi katika kampuni ni mengi si hisa tu isipokuwa hisa ni mojawapo ya maslahi. Hivyo kile ambacho mtu anamiliki katika kampuni ndio hisa zake. Hisa hutofautiana kutokana na uwezo wa...
10 years ago
Michuzi29 Dec
MAKALA SHERIA: UNATAKA AU UMEFUNGUA KAMPUNI, JE WAJUA NAMNA YA KUNUNUA, KUUZA HISA
HISA NININI.Kwa maana ambayo inaweza kueleweka kwa wepesi zaidi ni kusema kuwa hisa ni aina ya maslahi ya mtu ya katika kampuni.Natumia neno aina kwakuwa maslahi katika kampuni ni mengi si hisa tu isipokuwa hisa ni mojawapo ya maslahi. Hivyo kile ambacho mtu anamiliki katika kampuni ndio hisa zake. Hisa hutofautiana kutokana na uwezo wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WLG6bHcteT8/U2zHS_i7-fI/AAAAAAAA-e8/mMQKq_Bc1T8/s72-c/c6.jpg)
BENKI YA CRDB KUUZA HISA ZAKE KATIKA SOKO LA HISA LA NAIROBI
Hayo yalisemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei wakati wa siku ya kwanza ya mkutano mkuu wa wanachama wote unaofanyika hapa jijini Arusha.
Kimei alisema uuzaji wa hisa katika Soko la Hisa la Nairobi utafanya bei ya hisa za benki ya CRDB kupanda kutokana na ukweli kwamba katika soko la Dar...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TOBwxK9VnIg/VliDFFHxwXI/AAAAAAAIIqE/V3lDmMLyo4w/s72-c/9f4a3aca-de84-4ece-9922-d63afd20a4ad.jpg)
Waziri Mkuu Majaliwa azindua ununuzi wa hisa za Benki ya Walimu (MCB) kwenye soko la hisa la Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-TOBwxK9VnIg/VliDFFHxwXI/AAAAAAAIIqE/V3lDmMLyo4w/s640/9f4a3aca-de84-4ece-9922-d63afd20a4ad.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ue0-2ib1FB0/VliDGkiTKRI/AAAAAAAIIqM/06nLNnuJBSA/s640/f5495cae-d0c8-49ec-bc5d-75a4d05ffd5d.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iOsVEQTLueY/VliDLYkZ82I/AAAAAAAIIqY/k7fiz8VGAh4/s640/8e109898-bfd6-415c-b13f-22fdbc4c8ea7.jpg)
11 years ago
Michuzi18 Jun
uuzaji wa hisa za kampuni ya 'Swala Energy' zinazotolewa kwa mara ya kwanza kwa shilingi 500 kwa hisa.
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
Viktor Yanukovych aomba Urusi kumlinda
10 years ago
Habarileo14 Dec
Uzinduzi wa kitabu cha kumlinda msichana Desemba 21
KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Usharika wa Gide, jijini Dar es Salaam limeandaa kitabu maalumu kuhusu msichana ambacho pamoja na masuala mengine, kinalenga kumwepusha na vishawishi na kumpotezea dira ya maisha.