‘Nani aliidhinisha matumizi Bunge la Katiba’
Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kueleza jinsi ilivyopata fedha za kuendesha Bunge Maalumu la Katiba kwa kuwa Bunge la Muungano halikuwahi kuziidhinisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Jul
MAONI: Nani atalinusuru Bunge Maalumu la Katiba?
>Kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na baadhi ya viongozi na wasomi nchini kwamba Katiba Mpya haitapatikana iwapo kundi linalounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) litaendelea kususia shughuli za Bunge hilo, zitakuwa zimeibua hisia kali miongoni mwa wananchi wanaodhani kuna umuhimu kwa uongozi wa nchi kuzikutanisha haraka pande zote zinazokinzana ili kuliepusha Bunge hilo na hatari ya kusambaratika.
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Sitta vs Chenge: Nani mwenyekiti wa kudumu Bunge la Katiba?
Miongoni mwa wanaotajwa kuwa na sifa ya kushika wadhifa huo ni Spika wa zamani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Urambo Mashariki, Samwel Sitta.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZX4dS8cVOrk/Uu4WUmxeBiI/AAAAAAAFKPM/zowpvuNUkP8/s72-c/unnamed+(7).jpg)
Ufungaji wa viti kwa matumizi ya Bunge la Katiba wakamilika
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZX4dS8cVOrk/Uu4WUmxeBiI/AAAAAAAFKPM/zowpvuNUkP8/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n8luj-0C2B0/Uu4WUxbEuYI/AAAAAAAFKPY/Lt_dGa2B_IU/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B5eY0SNPh0w/Uu4WU_o82aI/AAAAAAAFKPQ/2g6L2oBFd7s/s1600/unnamed+(9).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4zW4jQcYxviH8MdXHZAdTomYhIiaRKKwiCscEIIax7LGsMpamsNwhPngfXsL2y25EekYUICjkuEe6B8ukOO91F6/pasua.jpg)
RAIS KUTOKUWA NA ‘MENO’ KWENYE BUNGE LA KATIBA ALAUMIWE NANI?
KWANZA kama ilivyo ada nimshukuru Mungu kwa kuniweka hai nikiwa na afya njema.
Wiki iliyopita nilieleza jinsi muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulivyozitesa serikali za muungano na ile ya Mapinduzi ya Zanzibar. Nikasema kamati na tume nyingi ziliundwa na fedha za walipa kodi, nyingi zikatumika lakini mgogoro upo palepale. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho… ...
10 years ago
Mwananchi21 Apr
9 years ago
Mwananchi17 Dec
NANI NI NANI SERIKALIYA JPM: Dk Abdallah Possi – Naibu Waziri, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu
Dk Abdallah Possi ni Naibu Waziri (Ofisi ya Waziri Mkuu), Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu wa Serikali ya Awamu ya Tano katika baraza la mwanzo la mawaziri la Rais John Magufuli.
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa. Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Nani anajali matumizi ya vyakula bora kwa wanafunzi shuleni?
Sanura Bushiri (jina sio lake) anasoma darasa la nne katika Shule ya Msingi ya Majani ya Chai iliyopo Manispaa ya Ilala mkoani Dar es Salaam.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania