Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Nani aliidhinisha matumizi Bunge la Katiba’

Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kueleza jinsi ilivyopata fedha za kuendesha Bunge Maalumu la Katiba kwa kuwa Bunge la Muungano halikuwahi kuziidhinisha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Nani atalinusuru Bunge Maalumu la Katiba?

>Kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na baadhi ya viongozi na wasomi nchini kwamba Katiba Mpya haitapatikana iwapo kundi linalounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) litaendelea kususia shughuli za Bunge hilo, zitakuwa zimeibua hisia kali miongoni mwa wananchi wanaodhani kuna umuhimu kwa uongozi wa nchi kuzikutanisha haraka pande zote zinazokinzana ili kuliepusha Bunge hilo na hatari ya kusambaratika.

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta vs Chenge: Nani mwenyekiti wa kudumu Bunge la Katiba?

Miongoni mwa wanaotajwa kuwa na sifa ya kushika wadhifa huo ni Spika wa zamani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Urambo Mashariki, Samwel Sitta.

 

11 years ago

Michuzi

Ufungaji wa viti kwa matumizi ya Bunge la Katiba wakamilika

Mhe Spika Anne Makinda akikagua kazi baada ya ufungaji wa Vito ndani ya ukumbi huo kukamilika.Mwingine pichani ni Mkandarasi Dr.David Zachariah wa Computer Consult ambao ni wakandarasi wa mradi huo wa ufungaji viti.Vito hivyo ni mahsusi kwa matumizi ya Bunge la Katiba. Viti vipya tayari kwa matumizi ya Bunge Maalum la Katiba. Dr David Zachariah wa Computer Consult akimtambulisha mtaalamu wake wa mradi wa Viti,Bw.Sidney Robson kutoka Afrika Kusini.Mradi huo umekamilika tayari kwa...

 

10 years ago

GPL

RAIS KUTOKUWA NA ‘MENO’ KWENYE BUNGE LA KATIBA ALAUMIWE NANI?

KWANZA kama ilivyo ada nimshukuru Mungu kwa kuniweka hai nikiwa na afya njema.
Wiki iliyopita nilieleza jinsi muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulivyozitesa serikali za muungano na ile ya Mapinduzi ya Zanzibar. Nikasema kamati na tume nyingi ziliundwa na fedha za walipa kodi, nyingi zikatumika lakini mgogoro upo palepale. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho… ...

 

10 years ago

Mwananchi

9 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI SERIKALIYA JPM: Dk Abdallah Possi – Naibu Waziri, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu

Dk Abdallah Possi ni Naibu Waziri (Ofisi ya Waziri Mkuu), Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu wa Serikali ya Awamu ya Tano katika baraza la mwanzo la mawaziri la Rais John Magufuli.

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

 Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa.  Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...

 

10 years ago

Mwananchi

Nani anajali matumizi ya vyakula bora kwa wanafunzi shuleni?

Sanura Bushiri (jina sio lake) anasoma darasa la nne katika Shule ya Msingi ya Majani ya Chai iliyopo Manispaa ya Ilala mkoani Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani