NANI ANA NGUVU ZAIDI BONGO?
![](http://api.ning.com:80/files/Tc1DvjhnAzVI6nAqkVTk-293FJFw*kxTk82p86*vYTYAgDi*BbRAX3MO8e4w7TA0nN1UhKhAcIjPVZqTXUsIN-p*jlSsHr7Y/NGUVU.jpg?width=650)
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Magufuli ana nguvu gani Zanzibar?
KUNA msomaji wangu mmoja ambaye kwa muda mrefu nikifikiri ni mwanachuoni au, pengine, mhamiaji tu
Ahmed Rajab
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Nani ana wajibu wa kujishusha, mwanamke au mwanaume?-2
WIKI iliyopita tuliianza mada hii nzuri yenye elimu kuhusu mpango wa Mungu katika ndoa.
Tuliishia pale Mungu alipokuwa akitoa adhabu kwa nyoka. Adhabu hiyo pia aliitoa kwa mwanaume (Adam) na kwa mwanamke (Eva).
ENDELEA SASA…
Mwanamke aliambiwa atazaa kwa uchungu, huo ndiyo uhalisia. Hadi leo mwanamke anaendelea kuzaa kwa uchungu. Jukumu hilo ni la kwake, si la mwanaume. Mwanaume anatekeleza lile la kwake la kutafuta na kula kwa jasho.
Hii ina maana kubwa sana katika maisha yetu. Kweli...
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Nani ana haki ya kupata elimu katika jamii?
WAJIBU wa kila mzazi nchini mwenye mtoto aliyefikisha umri wa kwenda shule ni kuhakikisha mtoto huyo anakuwa darasani, lakini bado wapo wazazi wanaoshindwa kutekeleza wajibu huo.
Achilia mbali watoto wanaozurura mitaani kutokana na kukosa nafasi ya kwenda shule, lakini wapo pia watoto wanaoishi na wazazi wao lakini hawakupata wasaa wa kukaa darasani na kumsikiliza mwalimu kutokana na maisha duni ya wazazi wao.
Hata hivyo, ieleweke Tanzania ya sasa si ile ya zamani ambapo idadi ya...
10 years ago
GPLTASWIRA ZAIDI ZA MKALI WA BONGO FLEVA DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOPOKELEWA BONGO, SASA KUPELEKA TUZO DAR LIVE
11 years ago
GPLTAFF, BONGO MUVI, NANI ALIYEWAROGA?
10 years ago
Bongo Movies08 Aug
MAONI: Nani Anaandikaga ‘Subtitles’ za Movies za Bongo?
Mwenzenu sikuwahi kuwa na mazoea ya kuangalia movie zetu za hapa nyumbani kwa maana mara nyingi huwa actors wana overdo hadi nikawa naboreka. sasa last weekend kwa kufuata ushabiki wa watoto nikakaa kuangalia, kwa kweli nilikuwa shocked na nikawa nashindwa kuelewa. Kwani ni nani anayewaandikia zile subtitles za kiingereza, halafu it seems ni myu mmoja ndiye huwa anapelekewa kwa jinsi zilivyo.
Ni aibu jamani, kama bado hamjafikia level hiyo ya lugha, acheni tu, wekezeni zaidi kwenye...
9 years ago
Bongo Movies20 Sep
Wakati Baadhi Ya Wasanii wa Bongo Movies Wamejikita Kwenye Siasa, Gabo Ana Haya
Mcheza filamu Salim Ahmed ‘Gabo’ amesema sanaa haitakufa licha la wimbi la wasanii wake kujikita katika maswala ya siasa kwa sasa, kwasababau wapo amabo wameamua kuiendeleza kwa kwenda mbele.
Gabo amesema pamekuwa na wasiwasi kwamba fani ya filamu haitaweza tena kuwa pale ilipokuwa baada ya kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwezi ujao kutokana na wasanii wengi kuwania kuingia Bungeni na chuki baina yao.
Maishani kila mmoja ana maamuzi yake, alisema Gabo , na ndiyo maana ana chofikieria...
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu