Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nani bingwa England leo?

London, England. Pazia la Ligi Kuu England linafungwa leo jioni kwa michezo yote 10 kupigwa katika muda mmoja, ambapo burudani zaidi ni kupatikana kwa bingwa katika michezo ya mwisho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

NANI KWENDA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO, NI BINGWA MTETEZI REAL MADRID AU ATLETICO MADRID

Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti ( mwenye kofia ) akifuatilia mazoezi ya wachezaji wake kabla ya kurudiana na Atletico Madrid leo usiku.Wachezaji wa Real Madrid ( kutoka kushoto kwenda kulia ) Daniel Carvajal, Marcelo Vieira na Sami Khedira wakijifua tayari kuwakabili wapinzani wao Atletico Madrid leo usiku.
Baada ya mchezo watakumbatiana hivi!!! Kocha wa Real Madrd Carlo Ancelotti( kushoto ) akiwa na kocha wa Atletico Madrid, Diego Simeone. 
Robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mayweather Vs Pacquiao:Nani bingwa?

Mayweather atarajiwa kupokea zaidi ya dolla millioni $150m na Pacquiao kama millioni $100m.

 

10 years ago

GPL

MAYWEATHER VS PACQUIAO NANI BINGWA?

Mayweather na Pacquiao wakitambiana. Japo tayari ni tajiri, Mayweather ambaye jina lake la utani ni Money, atapokea zaidi ya dola milioni 150 na Pacquiao kama dola milioni 100.Ni Mayweather au Pacquiao Las Vegas? Pacquiao yeye ametoka jamii ya kimaskini huko Ufilipino na kuna wakati katika maisha yake ya utotoni aliwahi kulala njaa. Floyd Mayweather akipima uzito. Achilia mbali wanaoangalia kwenye TV, wengi wa mashabiki  huko...

 

10 years ago

BBCSwahili

Real, San Lorenzo nani Bingwa wa dunia?

Klabu ya San Lorenzo wamefuzu kucheza fainali ya kombe la dunia kwa vilabu baada ya kuilaza Auckland City 2-1 .

 

10 years ago

Dewji Blog

Nani na nani kuibuka mshindi wa tuzo za Watu usiku huu leo Mei 22!!

TUZO-ZA-WATU-Logo-black-background

Baada ya wiki kadhaa za mpambano mkali wa kura za tuzo za watu, leo ndio fainali.

Majina matatu yanashindania tuzo kwenye vipengele 13 vya mwaka huu. Majina hayo yameingia baada ya kuvuka michujo miwili migumu. Ni kura za mashabiki peke yake ndio ziliwaingiza kwenye fainali hiyo na mshindi atapatikana kwa kura za wananchi, hakuna kingine.

Washereheshaji kwenye fainali hizo ni Vj Penny na mchekeshaji Dogo Pepe huku muimbaji wa kike anayechipukia kwa kasi Ruby akitarajiwa kutumbuiza.

“Watu...

 

10 years ago

GPL

LIGI KUU ENGLAND MECHI ZA LEO

Chelsea v West Brom - Stamford Bridge - 12:00 Jioni
Everton v West Ham - Goodison Park - 12:00 Jioni  
Leicester v Sunderland - King Power Stadium - 12:00 Jioni
Man City v Swansea - Etihad Stadium - 12:00 Jioni  
Newcastle v QPR - St. James' Park - 12:00 Jioni
Stoke v Burnley - Britannia Stadium - 12:00 Jioni…

 

11 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani