Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nani mtaani jembe yatinga Arusha kwa kishindo!

m 1

Mashabiki wa timu ya Yanga ambao ni wafanyakazi wa kiwanda cha kampuni ya Bia mkoani Arusha wakishangilia baada ya kuwashinda mashabiki wenzao wa Simba  jana wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Nani Mtani Jembe mkoa wa Arusha  iliyowakutanisha wafanyakazi wa kiwanda hicho.

m 2

Mashabiki wa timu ya Yanga ambao ni wafanyakazi wa kiwanda cha kampuni ya Bia mkoani Arusha wakishangilia baada ya kushinda  mashabiki wa Simba katika mchezo wa kuvuta Kamba jana wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Nani Mtani...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KABURU NA BINDA WAWAONGOZA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KATIKA NANI MTANI JEMBE JIJINI ARUSHA

Makamu Rais wa timu ya Simba,Geofrey Nyange Kaburu akipuliza Vuvuzela jana kwenye kiwanda cha Bia ,mkoani Arusha wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Nani Mtani Jembe iliwakutanisha wafanyakazi wa kiwanda hicho. Makamu Rais wa timu ya Simba,Geofrey Nyange Kaburu(kushoto) na Mjumbe Kamati Kuu ya timu ya Yanga,Mohamed Binda,wakicheza danadana wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Nani Mtani Jembe kwenye kiwanda cha Bia mkoani Arusha jana. Mashabiki wa timu ya Simba na Yanga ambao ni wafanyakazi...

 

10 years ago

Mwananchi

Dodoma yatinga fainali kwa kishindo

Dodoma imeiduwaza Kigoma baada ya kuichapa mabao 2-1 na kufanikiwa kutinga fainali ya mashindano ya Copa-Coca-Cola jana kwenye Uwanja wa Karuma, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maumivu Nani Mtani Jembe sasa yahamia kwa wachezaji Yanga SC

JINAMIZI la mechi ya Nani Mtani Jembe bado linaiandama Yanga, ambapo baada ya uongozi wa klabu hiyo kulipiga chini benchi lote la ufundi, sasa wamehamia kwa wachezaji na kumpiga ‘stop’...

 

10 years ago

GPL

9 years ago

GPL

MAGUFULI APOKELEWA KWA KISHINDO ARUSHA

Mgombea Urais wa CCM, Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia Wananchi katika  mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Mgombea Ubunge wa jimbo la Simanjiro na Mjumbe wa kamati ya ushindi ya kampeni za CCM,Ndugu Ole Sendeka akiwahutubia maelfu a wananchi wa jiji la Arusha na vitongoji vyake,kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa kumbukumbu wa Sheikh...

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA NANI MTANI JEMBE


Find more photos like this on Global…

 

11 years ago

GPL

NANI MTANI JEMBE?......MNYAMAAAAAA!

Haruna Shamte akiwa amenyanyua juu Kombe la Mtani Jembe alilokabidhiwa na Mgeni Rasmi, Waziri wa Sheria na Katiba, Mathias Chikawe (mwenye suti nyeusi kulia) baada ya kuwashushia kichapo cha mabao 3-1 Watani Wao, Yanga SC katika mechi ya Nani Mtani Jembe iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar leo jioni.
Mshambuliaji wa Simba aliyepeleka kilio Jangwani kwa kuwatungua mabao mawili, Amissi Tambwe akishangilia… ...

 

9 years ago

Vijimambo

MAGUFULI AITEKA ARUSHA,APOKELEWA KWA KISHINDO

Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwa sambamba na Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana wakiwasalimia wakazi wa jiji la Arusha na vitongoji vyake kabla ya kuanza kwa mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid,mkoani Arusha\
Umati wa Wakazi wa jiji la Arusha na Vitongoji vyake wakifuatilia hotuba zilizokuwa zikitolewa na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM wakati wa Kampeni za Kumnadi Mgombea Urais wa Chama hicho Dkt John Pombe Magufuli...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA MECHI YA NANI MTANI JEMBE

Mashabiki wa Yanga wakishangilia. Haruna Shamte akiambaa na mpira. Uhuru Selemani…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani