NAPE AKIZUNGUMZA NA WANACHAMA WA CCM SAUT MWANZA
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
NAPE azungumza na wanachama wa CCM Tawi la SAUT jijini MWANZA

10 years ago
Vijimambo14 Jan
10 years ago
StarTV02 Oct
CCM Mwanza chawataka wanachama kudumisha mshikamano
Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza kimewataka wanachama wake kudumisha mshikamano katika kipindi hiki cha uchaguzi ili kufanikisha azma ya chama hicho ya kushinda kwa kishindo kiti cha Urais, Majimbo na Kata.
Kutokuwepo kwa mshikamano baina ya wanachama hususani siku ya kupiga kura kunatajwa kukididimiza chama hicho na hivyo kusababisha kushindwa kufikia malengo husika.
Zimebaki siku chache watanzania wafanye maamuzi ya kumchagua kiongozi atakayefaa kuliongoza taifa la Tanzania.
Katika...
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
VijimamboNAPE AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI LEO, ASEMA WALIOVURUGA UCHAGUZI WAADHIBIWE
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetaka watendaji wote waliosababisha kuharibika kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika baadhi ya maeneo nchini wachukuliwe hatua kali.
Kimesema, watendaji hao wanastahili...
10 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA NAPE NNAUYE WATIKISA JIJI LA MWANZA LEO

Mkutano huo umefanyika kwenye viwanja vya Furahisha, Kirumba jijini Mwanza jioni ya leo. Ndugu Kinana ambaye katika ziara hiyo ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye,...
11 years ago
Michuzi
SAUT MABINGWA SPORTS XTRA DAY 2014 MWANZA.



10 years ago
Michuzi.jpg)
Profesa Mwandosya mgeni rasmi katika Mahafali ya 16 ya Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT),Mwanza
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
GPL
MWANAFUNZI WA SAUT MWANZA AKABIDHIWA KITITA CHAKE CHA TSH MILIONI 1ALICHOJISHINDIA KUPITIA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS YA VODACOM