CCM Mwanza chawataka wanachama kudumisha mshikamano
Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza kimewataka wanachama wake kudumisha mshikamano katika kipindi hiki cha uchaguzi ili kufanikisha azma ya chama hicho ya kushinda kwa kishindo kiti cha Urais, Majimbo na Kata.
Kutokuwepo kwa mshikamano baina ya wanachama hususani siku ya kupiga kura kunatajwa kukididimiza chama hicho na hivyo kusababisha kushindwa kufikia malengo husika.
Zimebaki siku chache watanzania wafanye maamuzi ya kumchagua kiongozi atakayefaa kuliongoza taifa la Tanzania.
Katika...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cyoUCcab-To/VFokOc0rYjI/AAAAAAAGvpQ/5A2tUDyZXCQ/s72-c/unnamed.jpg)
Watanzania watakiwa kudumisha Amani na Mshikamano
Watanzania wametakiwa kuendeleza amani na mashikamano uliopo kwa maslahi ya Kizazi hiki na Kizazi Kijacho kwa kuenzi misingi ya Amani na Uzalendo iliyojengwa na Waasisi wa Taifa hili.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na aliyekuwa Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Amon Mpanju ambaye pia ni mwenyekiti wa wa shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu Tanzania.
Nchi ni zaidi ya itikadi na Mihemko ya watu wachache hivyo ni lazima tuwaepuke wote wanaotaka...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Watanzania washauriwa kudumisha umoja, mshikamano
WATANZANIA wameshauriwa kuendeleza upendo miongoni mwao bila ya kubaguana kwa misingi ya rangi, kabila na dini, ili kuendeleza jamii na nchi kwa ujumla. Akizungumza wakati wa kuchangisha fedha kwa ajili...
11 years ago
Michuzi08 Jun
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-njzxx9iKRiw/U5OPIsV6WdI/AAAAAAAAOxE/7kVydesV1oU/s72-c/5.jpg)
NAPE azungumza na wanachama wa CCM Tawi la SAUT jijini MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-njzxx9iKRiw/U5OPIsV6WdI/AAAAAAAAOxE/7kVydesV1oU/s1600/5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-D1hPAFcmS60/XuovOqcMFDI/AAAAAAALuQw/xJyAC0eAX8gmp706mfVHD2hjqLYfy89aACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.34%2BPM.jpeg)
MWENYEKITI WA UVCCM ATINGA LONGIDO,AWAHIMIZA WANACHAMA KUWA NA UMOJA.MSHIKAMANO KUJENGA CHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-D1hPAFcmS60/XuovOqcMFDI/AAAAAAALuQw/xJyAC0eAX8gmp706mfVHD2hjqLYfy89aACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.34%2BPM.jpeg)
KUTOKA ARUSHA
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi na Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Komred Kheri James ameendelea na Ziara ya Kikazi katika Wilaya ya Longindo.
Pamoja na Mambo mengine Ndg Mwenyekiti amehimiza Umuhimu wa Kukijenga Chama kusimamia Serikali kuwatumikia Wananchi pamoja na Kuimarisha Umoja na mshikamano ndani ya Jumuiya Na Chama kipindi hiki muhimu tunachoelekea katika Uchaguzi Mkuu Mwaka 2020.
tukutaneKazini
![](https://1.bp.blogspot.com/-DeNp5ljc8po/XuovQ0ZfnrI/AAAAAAALuQ4/uM3AZlPjZtcSA4moSKVNnbF8SVdeC56igCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.35%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-z-DlaGPg3aE/XuovPvIYcZI/AAAAAAALuQ0/z1uqquD86FYpxrXCOnZIH-oNePK1aVr5QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.35%2BPM%2B%25282%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DY0Xz1lNoSE/XuovRfkBlJI/AAAAAAALuQ8/soaKLbVIF2UhkNZEgQaURal5rNKULnslwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.35%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vAU2HIE17T4/XuovRseJwDI/AAAAAAALuRA/7vN7rWV2uck0VEH4O7ZgaDN4PEIk2EyVgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.36%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-niRMINpiiwc/XuovSmHf63I/AAAAAAALuRE/hrZVEJGlcdMa2rU1sdxwKIhnKkXDsywLQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.36%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-VHwBBBYP5aw/XuovTdQ5fkI/AAAAAAALuRI/Lx78tLZK0R81n-Rk0TYdlNtZgW4RYUPEwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.37%2BPM.jpeg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/02/32.jpg)
MWENYEKITI WA CCM DK. KIKWETE AONGOZA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM JIJINI MBEYA
11 years ago
Michuzi02 Feb
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aAkh_1ON7VA/Uu3r0WRVxyI/AAAAAAACZ24/g2jqv0AR71o/s72-c/16.jpg)
MWENYEKITI WA CCM,RAIS KIKWETE AONGOZA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO YA MIAKA 37 YA CCM JIJINI MBEYA,KUHUTUBIA TAIFA MCHANA
![](http://1.bp.blogspot.com/-aAkh_1ON7VA/Uu3r0WRVxyI/AAAAAAACZ24/g2jqv0AR71o/s1600/16.jpg)