Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Narendra Modi awasili nchini China

Waziri mkuu wa India, Narendra Modi, amewasili nchini Uchina kwa ziara ya siku tatu, akipania kuboresha ushirikiano wa kiuchumi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Huffington Post India

Why Narendra Modi Needs A More Careful Speech Writer


Huffington Post India
Why Narendra Modi Needs A More Careful Speech Writer
Huffington Post India
India€'s Prime Minister Narendra Modi said on Friday that the Tanzanian President's state visit to India was a first by an African head of state. | ASSOCIATED PRESS. Share 0 · Tweet. Email 0. Comment 0. NEW DELHI -- There was a startling line in Prime ...

 

10 years ago

Oneindia

Tanzanian Prez visit to India to further cement ties: Narendra Modi


Oneindia
Tanzanian Prez visit to India to further cement ties: Narendra Modi
Oneindia
New Delhi, June 17: Prime Minister Narendra Narendra Modi today welcomed Tanzanian President Jakaya Mrisho Kikwete to India and said his visit will further cement the close and friendly ties between the two countries. Kikwete, accompanied by a ...
Tanzania Prez visit will cement ties with India: PM ModiANINEWS
Tanzania President to visit IndiaHindu Business Line
Kikwete in 'Goodbye Africa' SpeechAllAfrica.com

all...

 

9 years ago

Michuzi

Rais Kikwete apokea ujumbe kutoka kwa Waziri Mkuu wa India Narendra Modi

 Mjumbe maalum wa Waziri Mkuu wa India Narendra Modi ambaye pia ni Waziri wa nchi anayeshughulikia Maendeleo ya Ujasiriamali Mhe.Shri Rajiv Pratap Rudy akiwasilisha kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete barua yenye ujumbe kutoka kwa kiongozi huyo wa India ikulu jijini Dar es Salaam   Mjumbe maalum wa Waziri Mkuu wa India Narendra Modi ambaye pia ni Waziri wa nchi anayeshughulikia Maendeleo ya Ujasiriamali Mhe.Shri Rajiv Pratap Rudy akiwasilisha kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete barua yenye...

 

11 years ago

Michuzi

MHE. MEMBE AWASILI NCHINI CHINA KWA ZIARA YA KIKAZI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.)  akipokelewa na mwenyeji wake Mhe. wang Yi, Waziri wa Mambo ya Nje wa China mara baada ya kuwasili kwenye  Wizara ya Mambo ya Nje ya China.   Mhe. Membe na Mhe. Wang Yi katika picha ya pamoja. Mhe. Membe akiongozana na Mhe. Wang Yi mara baada ya kupokelewa.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Michuzi

MWANAMITINDO TAUSI LIKOKOLA AWASILI NCHINI,AWAPA CHANGAMOTO WANAMITINDO NCHINI

 Mwanamitindo,Tausi Likokola akiwasili leo wa uwanja wa Ndege Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akitoke nchini Marekani kwa ziara ya siku 10 kushoto ni mama mdogo,Beatrice Likokola Mwanamitindo,Tausi Likokola akizungumza na waandishi habari (hawapo pichani) mara baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere leo Jijini Dar es Salaam.Mwanamitindo Tausi Likokola akishiriki kucheza ngoma ya asili ya kundi la wanne Star mara baada ya kuwasili wa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu...

 

11 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS WA CHINA AWASILI ZANZIBAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya watu wa China Li Yuanchao akipunga mkono wakati akiteremka katika ndege na kuwasili Zanzibar kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao akivishwa shada la Mauwa baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Zanzibar. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya watu wa China Li Yuanchao wakwanza kulia akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Zanzibar baada ya kuwasili,katikati ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI WA CHINA NCHINI NA MHE. MASELE WAZUNGUMZA JUU YA MKUTANO WA JUKWAA LA VIONGOZI VIJANA AFRIKA NA CHINA

Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Dr. Lu Youqing akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)  juu ya mkutano wa kimataifa wa viongozi vijana wa Afrika na China unatorajiwa kufanyika kuanzia Machi 27 na kumalizika Machi 31 katika Ukumbi wa Hoteli ya Ngurdoto, jijini Arusha.Kushoto ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira),Mhe. Stephen Masele.Balozi wa China hapa nchini, Mhe. Dr. Lu Youqing akipeana mkono na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani