Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema “Hatutetereki”

Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema “Hatutetereki”

Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya Kamati ninayoongoza ya PAC kuwasilisha Bungeni Taarifa Maalumu kuhusu ukaguzi maalumu wa akaunti ya Tegeta Escrow, kumekuwa na kampeni za chini chini zinazoendeshwa kwenye korido za Bunge na kwenye mitandao dhidi yangu binafsi na baadhi ya wabunge waliosimama kidete dhidi ya wizi wa fedha kutoka Benki Kuu ya Tanzania akaunti ya Escrow.

Baadhi ya tuhuma nimezipeleka kwenye vyombo vya dola ili...

Zitto Kabwe, MB

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema “Hatutetereki” asema Zitto

Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya Kamati ninayoongoza ya PAC kuwasilisha Bungeni Taarifa Maalumu kuhusu ukaguzi maalumu wa akaunti ya Tegeta Escrow, kumekuwa na kampeni za chini chini zinazoendeshwa kwenye korido za Bunge na kwenye mitandao dhidi yangu binafsi na baadhi ya wabunge waliosimama kidete dhidi ya wizi wa fedha kutoka Benki Kuu ya Tanzania akaunti ya Escrow.

Baadhi ya tuhuma nimezipeleka kwenye vyombo vya dola ili zichunguzwe kwani zina vielelezo vya mahala pa kuanzia (kama...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM- Hatutetereki Mgeja kuondoka

Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Shinyanga kimesema hakitatetereka kwa kuondoka kwa mwenyekiti wake mkoani hapa, Khamis Mgeja badala yake kitazidi kuimarika kwa kuwa kina hazina ya wanachama na viongozi makini.

 

10 years ago

Habarileo

PAC yaibana BOT

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupeleka hatua zote za mkataba wa ubinafsishwaji wa benki ya NBC ili kufahamu ukweli wa mhusika aliyesababisha hasara kwa benki hiyo.

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Taarifa ya PAC 2014

View this document on Scribd

 

10 years ago

Zitto

Dr Mengi never influenced PAC


IPPmedia
Dr Mengi never influenced PAC - Zitto
IPPmedia
Former chairman of the Parliamentary Public Accounts Committee Zitto Kabwe has strongly refuted reports in a weekly tabloid that he conversed with President Jakaya Kikwete that the committee was being influenced by IPP Executive Chairman Dr Reginald ...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

PAC yataka mikataba ya gesi


NA MARIAM MZIWANDA
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imelitaka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuwasilisha mikataba yote ya gesi ambayo haijafanyiwa ukaguzi.
Pia imeagiza kuwasilishwa kwa taarifa za mapitio ya mikataba hiyo kesho kwa Katibu wa Bunge baada ya saa za kazi ili ifanyiwe ukaguzi kubaini utekelezaji wa miradi.
Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe, alisema hayo jana wakati wajumbe wa kamati hiyo walipokutana na uongozi wa TPDC.
Alisema TPDC lazima iwasilishe...

 

10 years ago

Habarileo

Mapendekezo mengine mazito ya PAC

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ilitoa mapendekezo mengine bungeni mjini Dodoma yafuatayo:

Hukumu ya Jaji

Utamwa Kamati inaitaka Serikali kwenda mahakamani kuomba mapitio ya hukumu iliyoletwa na Jaji John Utamwa.

Kamati inaitaka Serikali kwa mujibu wa sheria na makubaliano ya mkataba, kuchukua mtambo wa IPTL na kuumilikisha kwa Tanesco Kamati inaielekeza Serikali kufanya uchunguzi kwanza kama malipo ya Capacity Charges yaliyolipwa kwa miaka minne kama kuhudumia mkopo kabla ya...

 

10 years ago

IPPmedia

PAC hails Mzumbe varsity


IPPmedia
PAC hails Mzumbe varsity
IPPmedia
The Acting Chairperson of the Parliamentary Public Accounts Committee (PAC), Aden Rage (second left) listens to the Acting Head of Library Services, Ms Reine Mdundo at Mzumbe University Dsm. Members of the Parliamentary Public Accounts Committee ...
Bunge team commends Mzumbe varsityDaily News

all 4

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto apata mrithi PAC

Mbunge wa Viti Maalumu (CUF), Amina Mwidau amerithi mikoba ya aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe baada ya kuteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa kamati ya Hesabu za Serikai(PAC).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani