Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema “Hatutetereki”
Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema “Hatutetereki”
Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya Kamati ninayoongoza ya PAC kuwasilisha Bungeni Taarifa Maalumu kuhusu ukaguzi maalumu wa akaunti ya Tegeta Escrow, kumekuwa na kampeni za chini chini zinazoendeshwa kwenye korido za Bunge na kwenye mitandao dhidi yangu binafsi na baadhi ya wabunge waliosimama kidete dhidi ya wizi wa fedha kutoka Benki Kuu ya Tanzania akaunti ya Escrow.
Baadhi ya tuhuma nimezipeleka kwenye vyombo vya dola ili...
Zitto Kabwe, MB
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo09 Nov
Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema “Hatutetereki” asema Zitto
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kabwe-May30-2014.jpg)
Baadhi ya tuhuma nimezipeleka kwenye vyombo vya dola ili zichunguzwe kwani zina vielelezo vya mahala pa kuanzia (kama...
9 years ago
Mwananchi19 Aug
CCM- Hatutetereki Mgeja kuondoka
10 years ago
Habarileo29 Oct
PAC yaibana BOT
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupeleka hatua zote za mkataba wa ubinafsishwaji wa benki ya NBC ili kufahamu ukweli wa mhusika aliyesababisha hasara kwa benki hiyo.
10 years ago
Zitto Kabwe, MB29 Jan
10 years ago
Zitto19 Apr
Dr Mengi never influenced PAC
IPPmedia
IPPmedia
Former chairman of the Parliamentary Public Accounts Committee Zitto Kabwe has strongly refuted reports in a weekly tabloid that he conversed with President Jakaya Kikwete that the committee was being influenced by IPP Executive Chairman Dr Reginald ...
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
PAC yataka mikataba ya gesi
NA MARIAM MZIWANDA
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imelitaka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuwasilisha mikataba yote ya gesi ambayo haijafanyiwa ukaguzi.
Pia imeagiza kuwasilishwa kwa taarifa za mapitio ya mikataba hiyo kesho kwa Katibu wa Bunge baada ya saa za kazi ili ifanyiwe ukaguzi kubaini utekelezaji wa miradi.
Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe, alisema hayo jana wakati wajumbe wa kamati hiyo walipokutana na uongozi wa TPDC.
Alisema TPDC lazima iwasilishe...
10 years ago
Habarileo27 Nov
Mapendekezo mengine mazito ya PAC
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ilitoa mapendekezo mengine bungeni mjini Dodoma yafuatayo:
Hukumu ya Jaji
Utamwa Kamati inaitaka Serikali kwenda mahakamani kuomba mapitio ya hukumu iliyoletwa na Jaji John Utamwa.
Kamati inaitaka Serikali kwa mujibu wa sheria na makubaliano ya mkataba, kuchukua mtambo wa IPTL na kuumilikisha kwa Tanesco Kamati inaielekeza Serikali kufanya uchunguzi kwanza kama malipo ya Capacity Charges yaliyolipwa kwa miaka minne kama kuhudumia mkopo kabla ya...
10 years ago
IPPmedia07 Mar
PAC hails Mzumbe varsity
IPPmedia
IPPmedia
The Acting Chairperson of the Parliamentary Public Accounts Committee (PAC), Aden Rage (second left) listens to the Acting Head of Library Services, Ms Reine Mdundo at Mzumbe University Dsm. Members of the Parliamentary Public Accounts Committee ...
Bunge team commends Mzumbe varsityDaily News
all 4
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Zitto apata mrithi PAC