NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-zHoCEbvqcxE/VYuLrKG5dlI/AAAAAAAARgM/DJxZxOLGYcc/s72-c/E86A0837%2B%25281280x853%2529.jpg)
Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari ,akiwa na mtoto aliyevalia fulana iliyoandikwa Dogo Janja jina ambalo Nassari alipewa mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi uliompatia Ubunge,
Mbunge Nassari akiwahutubia wananchi katika kata ya King'ori jimbo la Arumeru Mashariki akihamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QToasQsruHc/VYHlIEqw0kI/AAAAAAAARMQ/cHSTN_av1j0/s72-c/E86A0679%2B%2528800x533%2529.jpg)
NASSARI AENDELEA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QToasQsruHc/VYHlIEqw0kI/AAAAAAAARMQ/cHSTN_av1j0/s640/E86A0679%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5z9YxFIi0Gw/VYHlIVP_iuI/AAAAAAAARMM/vyKSW3kb7YE/s640/E86A0705%2B%2528800x533%2529.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Dewji Blog18 Jun
Nassari atumia Helikopta kuhamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura jimboni kwake
![](http://4.bp.blogspot.com/-nthjGqrd-RA/VYHg27rg-kI/AAAAAAAARJs/5tND1sQl5dE/s640/E86A0545%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X66WMHKjTHA/VYHg2Gyks5I/AAAAAAAARJk/NiHifZm4vuc/s640/E86A0566%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Zk8fNPYota0/VYHg2ok9miI/AAAAAAAARJo/Hq0wTj9yTWI/s640/E86A0568%2B%2528800x450%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-C2t5Z4fj5Ns/VYHg4xXaUZI/AAAAAAAARJ8/VS-Kwjw0OhM/s640/E86A0578%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-_89w4z7Ze_w/VYJTXMYF9xI/AAAAAAABAOM/T9KzTjfIt24/s72-c/A%2B1.jpg)
MBUNGE NASSAR ATUMIA HELKOPTA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_89w4z7Ze_w/VYJTXMYF9xI/AAAAAAABAOM/T9KzTjfIt24/s640/A%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kKb04KzWZjQ/VYJTaMnzlmI/AAAAAAABAO4/Bsc7DJtVZmc/s640/A%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kWAiMKGaAN4/VYJTdre3qOI/AAAAAAABAPo/sMxr8xPhOg4/s640/A%2B9.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lkhunC8oj5E/VTOJNJNBG-I/AAAAAAAAaJ8/aPLP2jBtswY/s72-c/1.jpg)
KINANA ASHIRIKI BONANZA LA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUPIGA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lkhunC8oj5E/VTOJNJNBG-I/AAAAAAAAaJ8/aPLP2jBtswY/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Viongozi na waratibu wa Bonanza maalum la kuhamasisha wananchi kujiandikisha katika Daftari Maalum la kupiga kura mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Gonga, Karakata tayari kushiriki mchaka mchaka na vijana zaidi ya 500 kutoka vikundi mbali mbali vya wilaya ya Ilala na Temeke.
![](http://1.bp.blogspot.com/-PmYbB_Xa1y8/VTOJOsl63pI/AAAAAAAAaKI/oHFPf0hv7R8/s1600/2.jpg)
Vijana wakiwa wamekusanyika tayari kuanza kushiriki mazoezi ya jogging kwenye uwanja wa Gonga, Karakata ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9Xb5Tkxx60I/default.jpg)
10 years ago
Michuzi28 Apr
MBUNGE NATSE AWATAKA WANANCHI WA KARATU KUJITOKEZA KWA WINGI KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![SAM_2291](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/zOMv8JkVCbFSkBbIAnHyfn0960gF-QbzBd8w4sg7JjUqZw8tubgWnNuwKX3Vuc-h0ixUIyEP40U7zdzHt-cUkkI451MECd9ayqolqQeVWiMDPF8=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/04/sam_2291.jpg)
10 years ago
MichuziCHADEMA YAENDELEA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIJINI MWANZA
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Chatanda awataka Vijana Singida kujitokeza kujiandikisha daftari la wapiga kura
Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, akitoa nasaha zake kwenye hafla iliyofana ya CCM kata ya Mughanga kusherehekea ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika desemba mwaka jana. CCM kata ya Mitunduruini imezoa nafasi zote zilizokuwa zikigombewa.Wa kwanza kulia ni diwani viti maalum,Anita Awadh na kushoto (wa pili kushoto ni katibu CCM mkoa wa Singida,Mary Chatanda na wa kwanza kushoto ni mwenyekiti CCM kata ya Mughanga.
Na Nathaniel Limu, Singida
VIONGOZI wa...
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Jerry Silaa awataka wakazi wa Lindi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura
Mjumbe wa Kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jerry Silaa.
Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi
Wakazi wa mkoa wa Lindi wametakiwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura ili waweze kushiriki kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.
Rai hiyo imetolewa na Mjumbe wa Kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jerry Silaa wakati akiongea kwenye kilele cha sherehe za kutimiza miaka 38 ya chama hicho...