Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Natembea na barua ya kifo mkononi’

>Hebu fikiri... Unaamka asubuhi na kukuta kundi la majirani nje ya mlango wa nyumba yako. Uwepo wao siyo kwa lengo la kukusalimu, bali kukupa ujumbe wa hatima ya maisha yako.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ujauzito Rukwa: Tiketi ya kifo mkononi

>Siyo jambo geni kusikia wanawake wakiwalalamikia wauguzi ama kwa kuwapiga au kuwatukana wakati wa kujifungua.

 

11 years ago

Mwananchi

Natembea na Mkalimani wangu

Maisha ni magumu Brazil linapokuja suala la mawasiliano na sasa nimeajiri Mkalimani wangu. Kijana mmoja Mtanzania anaitwa Tuli ambaye ni mkazi wa Ilala jijini Dar es Salaam na anafahamu vyema lugha ya Kireno.

 

11 years ago

Mwananchi

Ngumi mkononi bungeni

>Ngumi mkononi ndilo neno jepesi ambalo linafaa kutumika baada ya vurugu kubwa kutokea jana ndani ya Ukumbi wa Bunge Maalumu la Katiba kiasi cha kumlazimisha Mwenyekiti wa Muda, Pandu Ameir Kificho kuahirisha semina kabla ya wakati wake.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani

Afisa akamatwa kwa mauaji ya Mmarekani mweusi aliyekuwa amekamatwa na polisi

 

9 years ago

Habarileo

‘Rekodi sheria mkononi uzawadiwe’

JESHI la Polisi nchini limekemea tabia inayoendelea kujengeka miongoni mwa baadhi ya wananchi ya kutoheshimu sheria na kujichukulia sheria mikononi kwa kuwapiga, kuwadhalilisha watuhumiwa, kuwachoma na kuwaua.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ZARI ROHO MKONONI

MUSA MATEJA NA SIFAEL PAUL TAHADHARI ichukuliwe! Habari zikufikie kuwa, baada ya staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz‘ na mpenzi wake, Zarinah Hassani ‘Zari’, kuhamia kwenye mjengo wake mpya uliopo Madale jijini Dar, imebainika kuwa familia hiyo inaishi roho mkononi kufuatia ulinzi sifuri, jambo linalowafanya kuishi kwa hofu tupu, Ijumaa Wikienda linakuhabarisha. Nyumba mpya ya...

 

11 years ago

Habarileo

Wanaojichukulia sheria mkononi kukamatwa

Msemaji wa Polisi, Advera Senso KUTOKANA na kukithiri kwa vitendo vya kujichukulia sheria mkononi, kunakosababishwa na imani za kishirikina, Jeshi la Polisi limeweka mkakati maalumu wa kukabiliana na vitendo hivyo.

 

10 years ago

Habarileo

Wanaojichukulia sheria mkononi kukiona

MKUU wa Wilaya ya Magharibi Unguja, Ayoub Mohamed amesema Serikali ya Mkoa haitokubali kuwaachia wananchi kujichukulia sheria mikononi mwao na kukataa nyumba zao kupigwa dawa kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa malaria.

 

11 years ago

GPL

ROSE MUHANDO ROHO MKONONI

Stori:   Erick Evarist MY GOD! Mwanamuziki wa Injili daraja la kwanza nchini, Rose Muhando anaishi roho mkononi kufuatia madai kwamba kuna watu wanaomsaka wakisemekana wametumwa kuichukua roho yake, Ijumaa Wikienda lina kisa kizima. Mwanamuziki wa Injili daraja la kwanza nchini, Rose Muhando. Kwa mujibu wa chanzo makini, Rose…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani