Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngumi mkononi bungeni

>Ngumi mkononi ndilo neno jepesi ambalo linafaa kutumika baada ya vurugu kubwa kutokea jana ndani ya Ukumbi wa Bunge Maalumu la Katiba kiasi cha kumlazimisha Mwenyekiti wa Muda, Pandu Ameir Kificho kuahirisha semina kabla ya wakati wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ngumi bungeni

MWENENDO wa Bunge Maalumu la Katiba ambao umekuwa ukionyesha kila dalili za kutokea vurugu kutokana na namna wajumbe wanavyojadili rasimu ya kanuni za Bunge hilo, umedhihirika jana baada ya kuibuka...

 

10 years ago

GPL

NGUMI ZAPIGWA BUNGENI NCHINI KENYA

Seneta Johnston Muthama aliyejeruhiwa mguuni na kuchaniwa suruali yake wakati wa vurugu bungeni leo. WABUNGE nchini Kenya leo wametofautiana bungeni na kuamua kutupiana makonde huku wengine wakichaniana nguo kufuatia mjadala kuhusu muswada tatanishi wa usalama ambao wabunge wa upinzani wanasema unakiuka uhuru wa Wakenya. Bunge nchini Kenya. Bunge lililazimika kuahirisha vikao vyake kwa dakika 30 kufuatia mtafaruku… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siioni Katiba mpya, nasubiri ngumi bungeni

NIMESOMA majina 201 yaliyoteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuunda Bunge Maalumu ya Katiba, nimebaini uwepo wa safari ndefu kufikia kile wengi wetu tulichokuwa tukitarajia. Bunge Maalumu la Katiba ndilo litakalopitia...

 

11 years ago

GPL

HAFRA FUPI YA SHIRIKISHO LA NGUMI ZA RIDHAA TANZANIA KWA AJILI YA KUHAMASISHA MCHEZO WA NGUMI KWA VIJANA TANZANIA

Baadhi ya wachezaji wa timu ya Taifa wa ngumi za Ridhaa pamoja na wadau wengine wa mchezo huo katika Picha ya pamoja, wakati wa hafra hiyo.

Aliyesimama kushoto ni mkurugenzi wa Afrika Mashariki kupitia kinywaji cha Battery Bwana Tony Misokia akiwa anaongea na wananchi walioshiriki katika Hafra hiyo.…

 

11 years ago

Habarileo

Wanaojichukulia sheria mkononi kukamatwa

Msemaji wa Polisi, Advera Senso KUTOKANA na kukithiri kwa vitendo vya kujichukulia sheria mkononi, kunakosababishwa na imani za kishirikina, Jeshi la Polisi limeweka mkakati maalumu wa kukabiliana na vitendo hivyo.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Natembea na barua ya kifo mkononi’

>Hebu fikiri... Unaamka asubuhi na kukuta kundi la majirani nje ya mlango wa nyumba yako. Uwepo wao siyo kwa lengo la kukusalimu, bali kukupa ujumbe wa hatima ya maisha yako.

 

11 years ago

Habarileo

Wanaojichukulia sheria mkononi washutumiwa

MTANDAO wa watu wanaotumia dawa za kulevya Tanzania (TaNPUD), umeomba Serikali iwachukulie hatua watu wanaochukua sheria mkononi dhidi ya watumia dawa za kulevya kwa kuwaona wao ni wahalifu na hawafai kwenye jamii. Kauli hiyo ilitolewa wiki iliyopita na Mwenyekiti wa mtandao huo, Godfrey Ten alipokuwa akizungumzia taarifa ya hivi karibuni iliyotolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utawala Bora, George Mkuchika kuhusu Utawala Bora.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani