Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NATOA HOJA : Wanamichezo tujitathmini, mwaka 2016 umeanza

Kama ilivyo miaka yote, Tanzania imekuwa ikivurunda katika michezo huku vikitolewa visingizio vya kila aina.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

NATOA HOJA :Kazi ya Mkwasa isiwe kufundisha Stars tu

Ninaamini kila Mtanzania ana matumaini na kocha wa Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa kuwa anaweza akaivuisha Tanzania kufikia mahali fulani.

 

11 years ago

Mwananchi

NATOA HOJA: Waliolaumu waende wakaone hali Jangwani

>Nawasabahi wote wanaoendelea kupambana na maisha pamoja na wote wanaojenga taifa hasa baada ya mchakamchaka wa wiki-endi.

 

10 years ago

Mwananchi

NATOA HOJA: Hebu anzeni kuwafuatilia Etoile du Sahel

Wiki iliyopita, Yanga iliwatoa kimasomaso Watanzania kwa kuirarua Platinum ya Zimbabwe mabao 5-1 katika mchezo wa kwanza wa raundi ya kwanza.

 

10 years ago

Mwananchi

NATOA HOJA : Taifa Stars majanga, halafu tumeitia janga

Mwishoni mwa wiki iliyopita, nilisikia habari kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limepitisha utaratibu wa klabu za Ligi Kuu kusajili wachezaji saba wa kigeni kwa ajili ya kuchezea klabu hizo.

 

9 years ago

Mwananchi

NATOA HOJA :Tunakwenda Brazaville kwa ajili ya kupata posho

Septemba 4 hadi 19 mwaka huu, mataifa ya Afrika, yanakusanyika Congo, Brazaville kwa ajili ya Michezo ya Afrika.

 

10 years ago

Mwananchi

NATOA HOJA : Kama vipi kocha wa Taifa Stars afanyiwe haya

Naingia ulingoni tena katika kona ya hoja, nikiwa na machache, ninataka kuyasema. Ukweli ni kwamba leo ninataka kumzungumzia kocha wa timu ya taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Tujitathmini, mwaka huu umeshamalizika

Kama ilivyo miaka yote, Tanzania imekuwa ikivurunda katika michezo huku vikitolewa visingizio vya kila aina.Mwaka huu wa 2013, kimsingi ndiyo umemalizika na ninaweza kusema hakukuwa na mafanikio katika michezo kwa ujumla wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanamichezo wanaoutaka ubunge mwaka huu

Wakati vuguvugu la uchaguzi mkuu wa mwaka huu likiendelea nchini, Tasnia ya michezo nayo imeanza kupata msukumo kwa wanamichezo kujitosa katika kinyang’anyiro hicho kwenye uchaguzi utakaofanyika baadaye mwaka huu.

 

10 years ago

GPL

TUNZO KWA WANAMICHEZO BORA WA MWAKA MICHEZO MBALI MBALI ZATOLEWA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein na Waziri wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Dr. Finella Mukangara (katikati) Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Zanzibar Abdilah Jihadi Hassan (kulia) wakiwa na Mwandishi wa Habari Salim Said Salim na Mama Fatma Karume wakiwa katika Hafla ya utoaji wa tunzo kwa wanamichezo bora kwa mwaka 2013/2014 katika ukumbi wa  Diamond Jubilee...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani