Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndassa amrithi Mwambalaswa uenyekiti wa kamati

>Kamati tatu za Bunge ambazo wenyeviti wake walitakiwa kuwajibika  kutokana na kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow, zimeanza kuchagua wenyeviti wapya huku ile na Nishati na Madini ikimchagua Mbunge wa Sumve, Richard Ndassa kuwa mwenyekiti wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Ndassa awa Mwenyekiti Mpya wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini

Mwenyekiti Mteule wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini Mhe. Richard Ndassa (Mb) akiwashukuru wajumbe wa Kamati hiyo baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo baada ya Mwenyekiti wa awali Mhe. Victor Mwambalaswa kujiuzulu kufuatia maazimio ya Bunge kuhusu sakata la Account ya Tegeta ya Escrow. Mhe. Ndasa alimshinda mpinzani wake Mhe. Jerome Bwanausi (Mb) katika uchaguzi huo. Makamu Mwenyekiti wa Kamati Bunge ya Nishati na Madini Mhe. Jerome Bwanausi akitoa neno la shukrani mbele...

 

10 years ago

Vijimambo

TUHUMA YA ESCROW ZAMFANYA MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI, VICTOR MWAMBALASWA, KUSALIMU AMRI

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Victor Mwambalaswa, amesalimu amri ambapo ametoa msimamo wake kuwa, yupo tayari kuachia nafasi ya uenyekiti kwani ni maamuzi ya Bunge.Kauli ya Mwambalaswa inakuja siku moja tu, baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai kuweka wazi wenyeviti watatu wa kamati za Bunge ambao wanatuhumiwa kwenye sakata la Escrow wanatakiwa kuachia ngazi nafasi hizo.Akizungumza na gazeti hili katika mahojiano maalumu, Mwambalaswa alisema tayari Bunge...

 

11 years ago

GPL

11 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA AKABIDHIWA UENYEKITI WA KAMATI YA MABALOZI WA AFRIKA, KARIBIANI NA PACIFIC (ACP)

  Balozi wa Tanzania  Ubelgiji, Luxembourg na Jumuiya  ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Samoa Ubelgiji na Jumuiya ya Ulaya Mhe. Balozi Dr. Luteru  aliyemaliza kipindi chake cha uenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa ACP. Balozi Luteru amemkabidhi Balozi Kamala uenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa ACP leo, Brussels.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbunge Mwambalaswa alia na wanasiasa

Mbunge wa Chunya, Victor Mwambalaswa amesema Katiba inayoendelea kutumika nchini ya mwaka 1977 ina kasoro, ndiyo maana inaundwa mpya.

 

9 years ago

Vijimambo

WILLY MWAMBALASWA AFANYIWA SHEREHE YA SIKU YAKE YA KUZALIWA DALLAS, TEXAS

Willy Mwambalaswa akikata keki yake siku ya kuzaliwa sherehe iliyofanyika siku ya Jumamosi Septemba 19, 2015 jijini Dallas, Texas.Marafiki wa karibu waliomfanyia Willy tafrijaMarafiki wakijumuika na birthday boy huku wakipata picha ya pamoja.



 

10 years ago

TheCitizen

Ndassa to head key committee

Sumve MP Richard Ndassa yesterday took over as chairman of Parliament’s Energy and Minerals Committee.

 

11 years ago

TheCitizen

Media misleading the public: Ndassa

A Constituent Assembly member yesterday accused the media of misleading the public aboutassembly proceedings.

 

11 years ago

Mwananchi

Ndassa ‘alia’ na vyombo vya habari

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Richard Ndassa amekerwa na baadhi ya taarifa za vyombo vya habari vilivyoandika habari kuhusu madai ya wajumbe kutaka waongezewe posho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani