Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndege ya KDF yaanguka Kismayu Somalia

Ndege ya jeshi la KDF nchini Kenya imeanguka katika eneo la Kismayu nchini Somali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

KDF itaendelea kuwepo Somalia

Jeshi la Kenya lasema haliondoki Somalia hadi lihakikishe limeikomboa Somalia nzima.

 

9 years ago

BBCSwahili

'Mti wa wageni' uwanja wa ndege wa kismayu

Iwapo umezoea kuwasili katika maeneo yaliotengewa wageni wanaowasili katika viwanja vya ndege vya kimataifa ,basi pengine ungetembea kusini mwa Somalia katika mji wa Kismayu.

 

10 years ago

TheCitizen

Withdrawal of KDF from Somalia ‘won’t stop attacks’

>Withdrawal of the Kenya Defence Forces contingents from Somalia is unlikely to stop terrorist attacks as the Al-Shabaab group is already deeply entrenched in Kenya, a new report on national security status says.

 

11 years ago

Mwananchi

Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria yapotea katika rada, yaanguka na abiria 116

Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria (Air Algerie) iliyopoteza mawasiliano ya Rada katika anga la Mali mapema leo ikiwa na abiria 116 na watumishi sita imeanguka, Shirika la Habari la Reuters linaripoti.

 

11 years ago

Mwananchi

Ndege ya Algeria yaanguka

Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria iliyokuwa ikiruka kutoka Uwanja wa Ndege wa Ouagadougou, Burkina Faso kwenda Algiers ikiwa na abiria 116, imeanguka.

 

10 years ago

Habarileo

Ndege yaanguka Serengeti

UCHUNGUZI wa awali kuhusu kupotea kwa ndege ya mizigo ya Shirika la Safari Express ya nchini Kenya, umeonesha kuwa ndege hiyo yenye usajili namba 5Y SXP, aina ya Fokker 27, imepata ajali.

 

9 years ago

Mtanzania

Ndege ya JWTZ yaanguka baharini

kanaliNa Aziaza Masoud, DAR ES SALAAM

MARUBANI  wawili  wa kikosi cha jeshi la anga wamefariki baada ya ndege ya mafunzo ya   Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ) kupata hitilafu na kuanguka  eneo la Silversands Msasani katika kisiwa cha Mbudya,   Dar es Salaam.

Taarifa za kuanguka kwa ndege hiyo zilianza kusambaa kupitia mitandao ya jamii jana asubuhi   zikieleza kuwa  wavuvi walikuwa wa kwanza kutambua ajali hiyo baada ya   kuona kofia ngumu.

Akizungumza na Mtanzania Dar es Salaam jana, Mkurugenzi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ndege yaanguka Sudan Kusini

Watu kadha wanahofiwa kufariki baada ya ndege iliyotengenezewa Urusi kuanguka muda mfupi baada ya kupaa kutoka Juba, Sudan Kusini.

 

10 years ago

Mtanzania

Ndege ya JWTZ yaanguka Mwanza

Na Mwandishi Wetu,

NDEGE ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) imeanguka jana katika eneo la Uwanja wa Ndege wa Kijeshi wa Mwanza wakati ikifanya mazoezi.
Akitoa taarifa za kuanguka kwa ndege hiyo katika Makao Makuu ya jeshi hilo yaliyopo Dar es Salaam jana, Msemaji wa JWTZ, Joseph Masanja, alisema ndege za kivita za JWTZ zilikuwa katika mazoezi ya kawaida na wakati rubani wake, Meja Peter Lyamunda, akijiandaa kuruka, ndipo ndege mnyama akaingia katika moja ya injini na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani