Ndege yaahirisha safari kuokoa mbwa
Safari ya Ndege iliyokuwa ikielekea Toronto Canada siku ya jumapili ilielekezwa Frankfurt nchini Germany kwa ghafla, baada ya rubani kugundua kuwa kifaa kinachoweka joto katika chumba cha kubeba mizigo kilikuwa hakifanyi kazi huku maisha ya mbwa aliyekua
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Shirika la ndege la Etihad Airways litaongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku ya mji wa Dar es Salaam
Shirika la ndege la Etihad Airways (http://www.etihad.com) ni shirika la ndege la kitaifa la Umoja wa Falme za Kiarabu, ambalo linatarajia kuongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku Mjini Dar es Salaam, mji mkubwa zaidi Tanzania.
Safari hizi za ndege kati ya Abu Dhabi na Dar es Salaam, zitaanza tarehe 1 mwezi Desemba 2015, zikiendeshwa kwa kutumia ndege ya Airbus A320 yenye viti 16 vya kitengo cha Biashara na 120 vya kitengo cha Uchumi.
Dar es Salaam itakuwa...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD laendelea kukuza wigo wake Afrika Mashariki baada ya kuzindua huduma za safari za ndege kati ya Dar Es Salaam na Abu Dhabi
Ndege iliyozinduliwa na Shirika la Ndege la Etihad ilipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam na kupokelewa na magari ya zimamoto kwa kumwaga maji kuashiria uzinduzi rasmi wa Safari za ndege za shirika la ndege la Etihad lenye makao makuu Abudhabi. Uzinduzi huo unatoa fursa sasa kwa watanzania kusafiri moja kwa moja kutoka Dar es salaam mpaka Abudhabi kila siku.
Makamu wa Rais- Mauzo ya Kimataifa wa shirika la ndege la Etihad Bw. Daniel Barranger akisalimiana...
11 years ago
Habarileo05 Feb
Mwakilishi CUF apinga mbwa Uwanja wa Ndege
MWAKILISHI wa Chonga, Abdalla Juma Abdalla (CUF) amepinga mbwa kutumika kunusa mizigo ya abiria katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar. Abdalla alikuwa akichangia taarifa ya Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya Mawasiliano na Ujenzi, inayohusisha miundo mbinu ya uwanja huo na bandari.
10 years ago
Michuzi24 Aug
MH. MWIGULU NCHEMBA ASITISHA SAFARI YAKE KWA MUDA ILI KUOKOA MAJERUHI KATIKA AJALI YA GARI
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/zNSUlad0f0waWsFOdB5TagOux0BJktrAtUiOmPzXHqRjttpbGrgPhWPZkZbba6JozK24hxPqady5HnzWfmuv41b5tqNT-VHYA9pA9wVV0up5kqOjgAoMO7ZmVAzXjGiwgqaAhWFm7AHBsbNMXMlHeD2DqS0CvPIykuJiiN3aPH9Nm2yyhA2HcKY4l4qXd_gu-sjyVj1vp6nixnZsCTl9iexZEnkH4qnqiDUNRdr-bngLZ_ZcC_mGMnwhtExBxqwFqMbGH0Ku69WN-9QM0WyTBjtEUePcsQQt-JjqFUy1X0sGzlNamm95HKnfdbA=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/10250342_280900248778877_347680025182044098_n.jpg?oh=23b9cfd01c14c4381d5172620916f2ab&oe=5461CCB1&__gda__=1417320399_db63509e4b817492a59ae81dafb1b89a)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/8wf6dWeWJi36DjT6xNX2AmlfXJSHR4QrYj_gzNxSXKXTWi4qtb_6jaXOxJVlN5AkkENW0Qod7IkL0n69_UkMS2uThtbJnICdRQosdQVUp8VfK_JQRj2uWj3TqaohP1vrRJaD3oNN7ZOTUxwpyk2pokN8gF2wxjXn1_iX_sjK9Wvkot6cuXs8AkqsEooLDXYRN3l4LhOEimHC7Jnh53IDa1YEtpipT7tV1-kExDtuN0Y5QQg=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10511125_280900188778883_2263182981070753717_n.jpg?oh=57f90863f692a4cb510ae6029f1dd0fa&oe=54811CFC)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/uNb8WgcuWX6P5qXLdrmuoVxacJc6sl-R_x0_pJiVYvYs3hDcgBw2hfcCqfLs4JALif0oJxMkjSBQFKenYnvNwWYsT2kaufmTRtHi5Dy4xQDB-ZNgroV2jM8pzGW3fgxhgjsxXFdtfSRLfSsOXKvavrq5cTFy0lUY3kaB5lMsTdgkMySBmsTF6cysXhZ8WR9auLxUlfZQBKBv2C802qNdh4lYea-bcqO-BQJEfTB7f_YJ3-VO043b41SUhvUXuXvP8nbQygTWuGZlOX1yVK_oMBmyCl4GZkWYaWwxDTJjPsZRVtpflPZpZpxk1LFX=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10629866_280900275445541_1641465419404022922_n.jpg?oh=f157a76850a17118d2fa08b4dc24159f&oe=5480E7A7&__gda__=1417158267_202c931c85e15e7a9aa7d40a4ae5e9d2)
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
Emirates yabadilisha safari za ndege
10 years ago
Habarileo15 Aug
WHO: Safari za ndege hazienezi ebola
SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limesema kuna uwezekano mdogo sana wa maambukizi ya virusi vya ebola kumpata mtu anaposafiri kwa ndege au kupokea wasafiri wanaotoka nchi zenye maambukizi ya ugonjwa huo.
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
Ebola: Ndege ya Arik yasitisha safari
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Ndege zasitisha safari kuingia Israili