Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NDUGU ZAKE FLOYD WAISHIKA MIGUU UN, WAIOMBA IWASAIDIE WAMAREKANI WEUS

Philonise FloydPhilonise FloydNduge zake George Floyd, Mmarekani mweusi aliyeuawa kikatili na polisi mzungu huko Marekani, wameuomba Umoja wa Mataifa kuwasaidia watu weusi wa Marekani na kusikiliza kilio chao.Philonise Floyd ambaye ni ndugu yake George Floyd jana alihutubia kikao cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kilichofanyika Geneva huko Uswisi kujadili ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi ya Marekani dhidi ya raia weusi, akitoa wito wa kuundwa tume huru ya kufanya uchunguzi kuhusu...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Trump ashutumiwa kugawanya Wamarekani huku maafisa wanaouhishwa na kifo cha Floyd wakishtakiwa tena

Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Marekani James Mattis amemshutumu Rais Donald Trump, kwa kuleta mgawanyiko na kutumia vibaya mamlaka yake.

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Jinsi Wamarekani weusi wanavyokabiliwa kisheria?

We've looked at some of the data around ethnicity and the US crime and justice system.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha Floyd: Wamarekani weusi wasema 'hawako salama'

Kifo cha Floyd: Wamarekani weusi wasema wanahofu kuhusu usalama wao

 

10 years ago

Michuzi

NDUGU NSAJIGWA KENNEDY MWANG'ONDA ANATAFUTWA NA NDUGU ZAKE

Familia ya Marehemu Robert Mwang'onda wa Mabibo jijini Dar es Salaam wanapenda kutangaza kupotelewa na ndugu yao Nsajigwa Kennedy Mwang'onda ambaye aliondoka nyumbani Mabibo CCM - Karibu na Chuo Cha Usafirishaji toka tarehe 26-2-2015. Anamatatizo la kupoteleza Kumbukumbu.Atakayemuona awafahamishe kwa simu namba 0715 919 168 Frank Mwang'onda, 0682 822 111/ 0754 631 888.Au atoe taarifa kituo chochote cha Polisi kwa URP/RB/2331/2015.

 

11 years ago

Michuzi

ANATAFUTWA NA NDUGU ZAKE

Salaam aleikum Ankal na timu nzima ya Globu ya Jamii,
Msaada tutani Ankal, kuna anko wetu amepotea (pichani hapo). jina lake Amir Husein Binyaga ni mkazi wa Kiluvya amewahi kuishi Tanga majani mapana ana umri wa miaka 56 alipotea tangu tarehe 15/05/2014 saa 12 asubuhi hadi leo familia bado inamtafuta taarifa zipo kituo cha Polisi Kibaha, maili moja. Taarifa zozote tutapokea kupitia namba 0754322317 0754273711,0653768329,0718260177.
Shukrani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ndugu zake Msuya wamtega DPP

WIKI chache baada ya Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) kumfutia mashitaka ya mauaji, mmoja kati ya watuhumiwa nane wa mauaji ya kukusudia dhidi ya mfanyabiashara wa madini ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Miriam Mawira alizaliwa bila mikono, hutumia miguu yake kufanya kazi zake

Miriam Mawira : alizaliwa bila mikono, hutumia miguu yake kufanikisha kazi zake, changamoto hiyo si kikwazo kwake

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Wachezaji mbalimbali duniani walivyozungumzia kifo cha Floyd

Wachezaji wa Liverpool walipiga goti katikati ya uwanja wa Anfield kufikisha ujumbe wa kupinga mauaji ya raia wa Marekani mwenye asili ya Afrika George Floyd mjini Minneapolis.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani