Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEC kujadili daftari la wapiga kura leo

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), inakutana leo kuangalia namna ya kuanza kwa zoezi la uandikishwaji daftari la wapiga kura ambalo linatarajiwa kuanza hivi karibuni. Akizungumza na Tanzania Daima jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI WAPIGA KURA NEC

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu, Semistocles Kaijage akizungumza wakati wa mkutano na Viongozi wa Vyama vya Siasa kuhusu mafanikio ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Awamu ya Kwanza kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Nec, Dkt.  Wilson Charles Mahera Baadhi ya viongozi  wa Vyama vya Siasa na wadau wengine wakisikiliza kwa makini wakati Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Kaijage akihutubia katika mkutano...

 

5 years ago

CCM Blog

WAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA NEC

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu, Semistocles Kaijage akizungumza wakati wa mkutano na Viongozi wa Vyama vya Siasa kuhusu mafanikio ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Awamu ya Kwanza kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Nec, Dkt.  Wilson Charles Mahera Baadhi ya viongozi  wa Vyama vya Siasa na wadau wengine wakisikiliza kwa makini wakati Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Kaijage akihutubia katika mkutano...

 

10 years ago

Tanzania Daima

NEC yajipanga uboreshaji daftari la wapiga kura

“NINAPENDA niwahakikishie ninyi wanahabari na umma wa Watanzania kuwa kazi hii itafanyika kwa uangalifu mkubwa na inatarajiwa kukamilika kwa muda uliopangwa”. Hiyo ni kauli  ya   Tume ya Taifa ya Uchaguzi...

 

11 years ago

Michuzi

NEC yafafanua kuhusu daftari la kudumu la wapiga kura

Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu, Damian Lubuva Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura linalotarajiwa kuanza hivi karibuni linamhusu kila raia mwenye sifa ya kupiga kura.Ufafanuzi huu unakuja wakati pakiwa na mawazo tofauti ya nani hasa anatakiwa kushiriki katika zoezi hilo huku baadhi ya watu wakidhani kuwa jambo hili linawahusu wale ambao hawakupata kujiandikisha kupiga kura au waliopoteza kadi au waliofikia umri wa kupiga...

 

10 years ago

Dewji Blog

NEC yakamilisha maandalizi uboreshwaji wa daftari la wapiga kura kwa mikoa 4

Maandalizi ugawaji wa mashine kwa ajili ya kuandikisha wanchi katika daftari la wapiga kura kwa Kanda ya 5 Tano kati ya Sita yamekamilika leo Mei 29, 2015 zaidi ya Biometric Voter Registration (BVR) zipatazo 1492 zinaanza kusambazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Kuanzia mapema Alfajiri Kanda ya Tano ni Mikoa ya Mara, Arusha, Manyara na Kilimanjaro.

 

5 years ago

Michuzi

NEC yaongeza siku za uandikishaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura Dar

Na Chalila Kubuda, Globu ya Jamii .

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza muda wa uandikishaji katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa ya Dar es Salaam.

Muda uliongezwa kwa katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura ni siku tatu ambapo zoezi hilo litaitimishwa Februari 23, 2020.

Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Uchanguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt Wilson Charles amesema kuwa kusogezwa kwa...

 

10 years ago

Michuzi

NEC YAKAMILISHA MAANDALIZI UBORESHWAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA KWA MIKOA 4

Maandalizi ya Kanda ya 5 Tano kati ya Sita yamekamilika leo 29/5/2015 zaidi ya BVR 1492 zinaanza kusambazwa na Tume ya Uchaguzi Kuanzia mapema Alfajiri kesho,Kanda ya Tano ni Mikoa ya Mara,Arusha,Manyara na Kilimanjaro.

 

5 years ago

CCM Blog

MWENYEKITI WA NEC, ATANGAZA KUANZA UHAKIKI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI


HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

MHE.  JAJI WA RUFAA (MST.) SEMISTOCLES KAIJAGE (PICHANI)  KWENYE MKUTANO WA TUME NA  VYAMA VYA SIASA KATIKA

UKUMBI WA MIKUTANO WA MWL. NYERERE, 

TAREHE 8 APRILI, 2020


•             Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,

•             Waheshimiwa Wajumbe wa Tume,

•             Mkurugenzi wa Uchaguzi,

•             Msajili wa Vyama vya Siasa,

•             Viongozi wa Vyama vya Siasa,

•             Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani