NEC kujadili daftari la wapiga kura leo
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), inakutana leo kuangalia namna ya kuanza kwa zoezi la uandikishwaji daftari la wapiga kura ambalo linatarajiwa kuanza hivi karibuni. Akizungumza na Tanzania Daima jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI WAPIGA KURA NEC
5 years ago
CCM BlogWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA NEC
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
NEC yajipanga uboreshaji daftari la wapiga kura
“NINAPENDA niwahakikishie ninyi wanahabari na umma wa Watanzania kuwa kazi hii itafanyika kwa uangalifu mkubwa na inatarajiwa kukamilika kwa muda uliopangwa”. Hiyo ni kauli ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/j-s5uWimLkk/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--hgo6viiJmo/U-nU4kr5y_I/AAAAAAAF-3M/FfkXAXXuf5s/s72-c/download%2B(1).jpg)
NEC yafafanua kuhusu daftari la kudumu la wapiga kura
![](http://4.bp.blogspot.com/--hgo6viiJmo/U-nU4kr5y_I/AAAAAAAF-3M/FfkXAXXuf5s/s1600/download%2B(1).jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 May
NEC yakamilisha maandalizi uboreshwaji wa daftari la wapiga kura kwa mikoa 4
Maandalizi ugawaji wa mashine kwa ajili ya kuandikisha wanchi katika daftari la wapiga kura kwa Kanda ya 5 Tano kati ya Sita yamekamilika leo Mei 29, 2015 zaidi ya Biometric Voter Registration (BVR) zipatazo 1492 zinaanza kusambazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Kuanzia mapema Alfajiri Kanda ya Tano ni Mikoa ya Mara, Arusha, Manyara na Kilimanjaro.
5 years ago
MichuziNEC yaongeza siku za uandikishaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura Dar
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza muda wa uandikishaji katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa ya Dar es Salaam.
Muda uliongezwa kwa katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura ni siku tatu ambapo zoezi hilo litaitimishwa Februari 23, 2020.
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Uchanguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt Wilson Charles amesema kuwa kusogezwa kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MlgNPcUiO1E/VWjJRNi6iUI/AAAAAAAHau4/OrxSqmH1LUA/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
NEC YAKAMILISHA MAANDALIZI UBORESHWAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA KWA MIKOA 4
![](http://4.bp.blogspot.com/-MlgNPcUiO1E/VWjJRNi6iUI/AAAAAAAHau4/OrxSqmH1LUA/s640/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-00aZWO7P7A8/VWjJRf2HPWI/AAAAAAAHau8/RN7uAPxt9rc/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-6RBbNbDFeMw/Xo7LxMClfdI/AAAAAAABL_g/UEw-oL9azFkSUfcvouPCuENDIgPC6f0JwCLcBGAsYHQ/s72-c/f2c70339-aa23-4cbc-9db9-7f8aabf8daca.jpg)
MWENYEKITI WA NEC, ATANGAZA KUANZA UHAKIKI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-6RBbNbDFeMw/Xo7LxMClfdI/AAAAAAABL_g/UEw-oL9azFkSUfcvouPCuENDIgPC6f0JwCLcBGAsYHQ/s640/f2c70339-aa23-4cbc-9db9-7f8aabf8daca.jpg)
HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZIMHE. JAJI WA RUFAA (MST.) SEMISTOCLES KAIJAGE (PICHANI) KWENYE MKUTANO WA TUME NA VYAMA VYA SIASA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA MWL. NYERERE, TAREHE 8 APRILI, 2020
• Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,• Waheshimiwa Wajumbe wa Tume,• Mkurugenzi wa Uchaguzi,• Msajili wa Vyama vya Siasa,• Viongozi wa Vyama vya Siasa,• Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri...