NEC kutangaza tarehe uchaguzi Jimbo Kalenga
>Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema wiki hii itatangaza tarehe ya uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Kalenga, lililopo wazi baada ya aliyekuwa Mbunge wake, Dk William Mgimwa (CCM) kufariki dunia Januari Mosi mwaka huu nchini Afrika Kusini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-feEhwFEag-s/UxH85khES4I/AAAAAAACbYw/T1a-IoTL9To/s72-c/3.jpg)
KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA ZAZIDI KUSHIKA KASI,CCM YATAMBA KUNYAKUA JIMBO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-feEhwFEag-s/UxH85khES4I/AAAAAAACbYw/T1a-IoTL9To/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6GXqgDp6kj4/UxH8vP0yjaI/AAAAAAACbXc/ZMAW2mThT1w/s1600/13.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-auPsqvIuirU/UyLBfvVzoaI/AAAAAAAFTe0/yyaMarrlRHs/s72-c/IMG_8915.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATOA UFAFANUZI KUHUSU DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA KALENGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-auPsqvIuirU/UyLBfvVzoaI/AAAAAAAFTe0/yyaMarrlRHs/s1600/IMG_8915.jpg)
10 years ago
MichuziNEC KUTANGAZA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI MKUU 2015, JUNI 31
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ,Kailima Ramadhani amesema ugawaji huo utakuwa umezingatia idadi ya watu,jiografia ya eneo husika pamoja mawasiliano na uchumi ili kuweza kuwalishwa na bunge katika maendeleo ya jimbo.
Ramadhan...
11 years ago
Michuzi13 Feb
TAARIFA YA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA, IRINGA
![](https://4.bp.blogspot.com/-bB37K3eVcuU/UvuUysp06QI/AAAAAAACpCc/YoKooi7s91I/s1600/NEC_BANNER2.gif)
1. Uteuzi wa Wagombea Ubugne utafanyika tarehe...
11 years ago
GPLUCHAGUZI JIMBO LA KALENGA WAENDELEA KWA AMANI
9 years ago
Habarileo12 Nov
NEC yatangaza tarehe za uchaguzi ‘viporo’
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza tarehe za uchaguzi wa ubunge na baadhi ya kata nchini ambazo hazikufanya uchaguzi Oktoba 25, mwaka huu, huku Jimbo la Lulindi wilayani Masasi mkoani Mtwara, likitarajiwa kumchagua mbunge wake, Jumapili wiki hii.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fjDlEFNDK04/UvmfktoKVnI/AAAAAAAFMTc/yau44oQ0eVY/s72-c/0,,6109263_4,00.jpg)
CUF KUTOWEKA MGOMBEA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-fjDlEFNDK04/UvmfktoKVnI/AAAAAAAFMTc/yau44oQ0eVY/s1600/0,,6109263_4,00.jpg)
Mbio za kuwania ubunge katika Jimbo la Kalenga unabaki kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya Chama cha Wananchi (CUF) kuthibitisha kutosimamisha mgombea. Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Umma wa CUF, Abdul Kambaya, amesema chama chake hakina mpango wa kusimamisha mgombea katika jimbo hilo na kwamba hivi sasa wanaandaa mikutano ya kuimarisha chama chao.“Mpaka sasa CUF haina mpango wa kusimamisha mgombea ubunge Kalenga… kwa sasa...
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA UCHAGUZI JIMBO LA KALENGA:CCM YAZIDI KUJIHAKIKISHIA USHINDI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OQNqlept6ZA/UyaVs2pHqnI/AAAAAAACcqs/7XjhzB477YE/s72-c/IMG-20140317-WA0001.jpg)
CCM YASHINDA KWA KISHINDO UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE JIMBO LA KALENGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-OQNqlept6ZA/UyaVs2pHqnI/AAAAAAACcqs/7XjhzB477YE/s1600/IMG-20140317-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vhJuSM-SSJU/UyaNwBA1W-I/AAAAAAACcqU/-dpC61Zc4ps/s1600/IMG_0099.jpg)