Nelly Muosha Magari wa Posta-20
Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale sharobaro Nelly apomuuliza Doreen, Anne alikwenda wapi ndipo msichana huyo alimfahamisha kwamba licha ya Anne kuwa ni msichana wa kazi, baba yake alimpeleka chuo cha kompyuta na pale nyumbani alibaki peke yake. Je, kilifuatia nini? Songa mbele na utamu huu…
“Da! Kumbe baba yako ana roho nzuri sana, anamsomesha hata hausigeli?” Nelly alimwambia Doreen lakini ukweli ni kwamba alikuwa amefurahi kutokuwepo kwa Anne.
“Yea, hapendi akitoka hapa kwetu...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Nelly Muosha Magari wa Posta-19
Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale sharobaro Nelly alipoulizwa na fundi Yassin alijisikiaje kufanya kazi ya ufundi ambapo kijana huyo alimwambia alijisikia vizuri kwani mtoto wa kiume hapaswi kuchagua kazi. Je, kilifuatia nini? Songa mbele na utamu huu…
“Kama ni hivyo, poa sana tena kadiri tutakavyokuwa pamoja nitakufundisha kazi kibao,” fundi Yassin alimwambia Nelly.
Kwa kuwa gari lilikuwa likienda kwa kasi, kufumba na kufumbua walifika Tegeta ambapo walipanda basi la kuelekea...
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Nelly Muosha Magari wa Posta-21
Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Haruni aliyeshangazwa na tabia ya usharobaro wa Nelly alipomwambia Zakayo kwamba alihisi Nelly alikwishakuwa mwenyeji kuliko wao ndipo Zakayo akamwuliza alimaanisha nini?
Je, alipewa jibu gani?
Songa mbele na utamu huu…
“Hivi sisi tangu tulipoanza kazi hapa miezi miwili sasa na ushee tumewahi kuingia hata jikoni kwa bosi?” Haruni alimwuliza Zakayo.
Zakayo alimwambia hawakuwahi kisha alimfahamisha kwa jinsi alivyomuona, Nelly alikuwa ametoka ndani...
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Posta waadhimisha Siku ya Posta Duniani jijini Dar es Salaam
Wafanyakazi na wadau wa Shirika la Posta nchini (TPC), wa ndani na nje ya nchi wakiwa katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani kwenye jengo la Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), jijini Dar es Salaam jana. Maadhimisho hayo, huadhimishwa duniani kote Oktoba 9. (Picha zote na Kassim Mbarouk- www.bayana.blogspot.com)
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Elia Madulesi (kulia), akiteta jambo na mmoja wa Maofisa wa shirika hilo, wakati...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fWyZFEZucHg/U-sxP-7Rg2I/AAAAAAAF_IE/dQULh-NCqKI/s72-c/unnamed%2B(93).jpg)
Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) limerudi na Matoleo Mapya ya Magari
![](http://2.bp.blogspot.com/-fWyZFEZucHg/U-sxP-7Rg2I/AAAAAAAF_IE/dQULh-NCqKI/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
9 years ago
Bongo528 Sep
New Video: Nelly ft. Jeremih — The Fix
10 years ago
BBCSwahili12 Apr
Dawa za kulevya:Nelly mashakani
9 years ago
Africanjam.ComNEW VIDEO: NELLY - THE FIX ft. JEREMIH (Watch it here)
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0DRPrPYaDrdn6418bK8uwr32l00eRbav0fP6vFF84rA46kaoxRFqF8V3dxTAMFeBo6GqIshXfGRmBx7D24HD6y6/TanzaniaNellyKamwelu.jpg?width=650)
NELLY KAMWELU AWASHANGAA WANAOSEMA KACHUJA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6A05RJELsOAMCWaLnZ*GJNYNYUSdK2CibEVVbL6DSt941JF0R4*LBmbnmweG*1Vlrv3Wt40yGqc3Ld9jXG*caRyltZIZ*qN6/NELLY.jpg?width=650)
NELLY KIM KUTUMIA MAUTUNDU YA KANUMBA