Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEPAD YASAIDIA HARAKATI ZA KUTAFUTA CHANJO NA TIBA YA EBOLA, PROF. AMBALI

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb) kulia akiongea na mmoja wa viongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Argentina walipokutana jijini Addis Ababa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika.

Na Ally Kondo, Addis Ababa
Nchi za Afrika zimehimizwa kuweka mazingira mazuri na wezeshi kwa ajili ya kufanya tiba na chanjo za maribio dhidi ya ugonjwa wa Ebola. Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu na Mshauri wa Kituo cha Sayansi,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NEPAD YASAIDIA HARAKATI ZA KUTAFUTA CHANJO NA TIBA YA EBOLA - PROF. AMBALI

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb) kulia akiongea na mmoja wa viongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Argentina walipokutana jijini Addis Ababa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika.

Na Ally Kondo, Addis Ababa

Nchi za Afrika zimehimizwa kuweka mazingira mazuri na wezeshi kwa ajili ya kufanya tiba na chanjo za maribio dhidi ya ugonjwa wa Ebola. Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu na Mshauri wa Kituo cha Sayansi,...

 

10 years ago

Dewji Blog

African infrastructure investment top priority for continent, need to rally behind NEPAD says Prof Jeffrey Sachs at Addis Financing Conference

nepad-en-1

*Thousands of delegates have descended on Addis Ababa to set the new financing architecture for a new global partnership

Closing Africa’s infrastructure gap is a top priority in order to put the continent on a path for double digit growth and sustainable development. This is according to world-renowned professor of economics, Jeffrey Sachs.

“There is no choice, Africa needs 10 per cent per year of economic growth in the next 15 years,” Professor Sachs said. The only way to achieve this,...

 

5 years ago

CCM Blog

KAMPUNI YA JAPAN YASAIDIA TAASISI YA MIFUPA (MOI) MSAADA WA VIFAA TIBA VYA MILIONI 80.9

Kampuni ya EAA Co. Ltd ya nchini Japan bandia imetoa msaada wa viungo bandia vyenye thamani ya Shilingi milioni 80.9 kwa Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI) leo Jijini Dar es Salaam.
Akipokea msaada huo, Mkurugenzi wa Tiba (MOI) Dkt. Samwel Swai amesema kuwa msaada huo utasaidia kwa kiasi kikubwa matibabu ya wagonjwa wenye ulemavu wa miguu na mikono. 
Kwa upande wake Meneja wa Kampuni ya EAA Co. Ltd, Josiah Benedict amesema wameguswa na changamoto zinazowakabili watanzania ndiyo maana wameamua...

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA JAPAN YASAIDIA TAASISI YA MIFUPA (MOI) MSAADA WA VIFAA TIBA VYENYE THAMANI YA MILIONI 80.9



Mkurugenzi wa Tiba (MOI) Dkt. Samwel Swai (kulia) akipokea baadhi ya vifaa kutoka kwa Meneja wa Kampuni ya EAA Josiah Benedict leo katika viwanja vya (MOI) jijini Dar es SalaamMkurugenzi wa Tiba (MOI) Dkt. Samwel Swai akiwa katika picha ya pamoja na Meneja wa Kampuni ya EAA Josiah Benedict pamoja na baadhi ya wafanyakazi wengine waliohudhuria...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ni nani aliyetoa fursa ya kwanza ya chanjo ya tiba duniani?

Kusaga makaratasi na kudunga watoto usaa zilikua ni sehemu za historia ya chanjo alizotumia Dkt. Muingereza Edward Jenner ilinusuru maisha ya mamilioni ya watu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Harakati za Ulaya dhidi ya Ebola

Mawaziri wa mambo ya nje wa muungano wa ulaya wanakutana hii leo kujadili mikakati ya kudhibiti maambukizi ya Ebola .

 

11 years ago

BBCSwahili

Benki ya dunia yasaidia Ebola

Benki ya Dunia imetangaza kutoa msaada wa hadi dola milioni mia mbili, ili kuzisaidia tatu za Afrika magharibi kukabiliana na Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yasaidia katika vita dhidi ya Ebola

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameadhidi kutoa mchango wa dola milioni moja kwa mataifa yanayokabiliwa na janga la Ebola

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani