Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Harakati za Ulaya dhidi ya Ebola

Mawaziri wa mambo ya nje wa muungano wa ulaya wanakutana hii leo kujadili mikakati ya kudhibiti maambukizi ya Ebola .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Soka, vyama vya kifashisti ulaya na harakati za waafrika ...

Mashindano kuwania Kombe la Dunia la Soka yataanza juma lijalo.Timu shiriki zimekuwa zikicheza mechi za kirafiki kujipima, mara nyingi na mataifa ambayo hayatakuwepo ndani ya kichamchela hicho cha FIFA. Wiki iliyopita Ufaransa ilipambana na Norway na Paraguay.

 

9 years ago

Vijimambo

Tanzania na harakati dhidi ya mauaji ya Albino: Balozi Manongi


Balozi Tuvako Manongi, mwakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa. (Picha:UN/Idhaa ya Kiswahili/Joseph Msami)
Katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa wakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa Balozi Tuvako Manongi amezungumza na waandishi wa habari kuhusu hali ya mauaji ya albino nchini Tanzania na kile ambacho kinafanyika kuondokana na vitendo hivyo ambavyo ameviita ni janga. Assumpta Massoi wa Idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Umoja wa Mataifa alizungumza na Balozi...

 

10 years ago

Mwananchi

Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana

Tangu kuzuka kwa ugonjwa wa ebola nchini Guinea mwezi Machi mwaka huu, watu 2,500 wamefariki dunia kutokana na virusi vyake, zaidi ya nusu ni raia wa Liberia.

 

10 years ago

Vijimambo

NEPAD YASAIDIA HARAKATI ZA KUTAFUTA CHANJO NA TIBA YA EBOLA, PROF. AMBALI

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb) kulia akiongea na mmoja wa viongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Argentina walipokutana jijini Addis Ababa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika.

Na Ally Kondo, Addis Ababa
Nchi za Afrika zimehimizwa kuweka mazingira mazuri na wezeshi kwa ajili ya kufanya tiba na chanjo za maribio dhidi ya ugonjwa wa Ebola. Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu na Mshauri wa Kituo cha Sayansi,...

 

10 years ago

Michuzi

NEPAD YASAIDIA HARAKATI ZA KUTAFUTA CHANJO NA TIBA YA EBOLA - PROF. AMBALI

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb) kulia akiongea na mmoja wa viongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Argentina walipokutana jijini Addis Ababa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika.

Na Ally Kondo, Addis Ababa

Nchi za Afrika zimehimizwa kuweka mazingira mazuri na wezeshi kwa ajili ya kufanya tiba na chanjo za maribio dhidi ya ugonjwa wa Ebola. Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu na Mshauri wa Kituo cha Sayansi,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ulaya yaungana zaidi dhidi ya Urusi

Nchi za Ulaya zinasema zimeungana katika kuikabili nchi ya Urusi

 

10 years ago

Habarileo

Ulaya waonywa kusambaa ebola

MSHAURI maarufu kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO), ameonya kuwa hali ya ongezeko la watoa huduma za afya waliopata maambukizi ya ugonjwa wa ebola inaweza kuongezeka hata katika nchi zilizoendelea.

 

5 years ago

BBCSwahili

Jaribio la kwanza la chanjo dhidi ya virusi vya corona laanza Ulaya

Chanjo hii imetetengenezwa katika Chuo Kikuu cha Oxford, kuna matumaini ya kufanikiwa kwa chanjo hii?

 

10 years ago

Habarileo

Obama ataka Ulaya kudhibiti ebola

RAIS wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa nchi za Ulaya kufanya juhudi kuhakikisha homa ya ebola inadhibitiwa huku Ufaransa ikitangaza kufanya ukaguzi zaidi katika viwanja vya ndege ili kuhakikisha kuwa watu wanaoingia katika ardhi ya Ufaransa wamefanyiwa vipimo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani