Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ulaya waonywa kusambaa ebola

MSHAURI maarufu kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO), ameonya kuwa hali ya ongezeko la watoa huduma za afya waliopata maambukizi ya ugonjwa wa ebola inaweza kuongezeka hata katika nchi zilizoendelea.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

WHO:Laonya kusambaa kwa Ebola Mali

Mkuu wa shirika la afya duniani WHO Margaret Chan ameonya kuhusu kusambaa kwa ugonjwa wa ebola nchini Mali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatua zaidi kuzuia kusambaa kwa Ebola

Hatua zaidi zinachukuliwa kuzuia kusambaa kwa ugonjwa wa Ebola ulioua zaidi ya watu elfu moja, wengi wao kutoka Afrika magharibi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Harakati za Ulaya dhidi ya Ebola

Mawaziri wa mambo ya nje wa muungano wa ulaya wanakutana hii leo kujadili mikakati ya kudhibiti maambukizi ya Ebola .

 

10 years ago

Habarileo

Obama ataka Ulaya kudhibiti ebola

RAIS wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa nchi za Ulaya kufanya juhudi kuhakikisha homa ya ebola inadhibitiwa huku Ufaransa ikitangaza kufanya ukaguzi zaidi katika viwanja vya ndege ili kuhakikisha kuwa watu wanaoingia katika ardhi ya Ufaransa wamefanyiwa vipimo.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa kusambaa nchi nzima

 Siku moja baada ya kususia Bunge, wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wametangaza kuanza utaratibu wa kuzungumza na wananchi juu ya kilichotokea na kinachoendelea bungeni.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Bajeti inakwamisha mawasiliano kusambaa

SERIKALI imesema utekelezaji wa mpango wa kufikisha huduma za mawasiliano nchi nzima unakwamishwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ufinyu wa bajeti katika kukidhi gharama za mpango huo. Katika kukabiliana na changamoto...

 

11 years ago

GPL

DALILI ZA KUSAMBAA KWA KANSA YA TITI

Wiki iliyopita tuliendelea kueleza matatizo ya kansa ya matiti, leo tunaelezea dalili za kusambaa kwa saratani hii mwilini.Kitendo cha kansa kusambaa mwilini kupitia mkondo wa damu na limfu huitwa metastasis.  Kusambaa kwa saratani hadi kwenye viungo na tishu muhimu kama vile ubongo, ini, mifupa au mapafu  bado kunaufanya ugonjwa huo kuwa hatari. Dalili za saratani kusambaa mwilini ni maumivu ya mifupa, maumivu kwenye...

 

11 years ago

CloudsFM

SAKATA LA KUSAMBAA KWA PICHA ZA NGONO MITANDAONI LAIBUKA BUNGENI

SIKU chache baada ya kusambazwa picha za ngono zikiwahusisha baadhi ya wabunge katika mitandao ya kijamii, serikali imesema inawasaka waliozisambaza kwa kuwa ina uwezo wa kuwabaini.
Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa, alitoa kauli hiyo jana bungeni baada ya Spika Anne Makinda, kumtaka azungumzie picha chafu za baadhi ya wabunge zilizotolewa na kusambazwa kwenye mitandao.

Waziri Mbarawa, alisema serikali inafuatilia na kuchunguza waliosambaza picha hizo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shindano la Serengeti Masta lawasha moto Ulaya Ulaya Bar ya Manzese

CAMPIX PRODUCTION

Mshereheshaji wa shindano la Serengeti Premium Lager liliopewa jina la “Serengeti Masta” Razani Kapalatu akiwa pamoja na mabalozi wa bia ya Serengeti premium Lager ambao kwa pamoja walitoa maelezo kwa wateja wa bia hiyo waliofika kushiriki katika shindano la kumtafuta Serengeti Masta ndani ya baa ya Ulaya Ulaya iliyopo Manzese jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Shindano hilo limedumu jijini Dar na mikoani kwa takriban muda wa miezi miwili sasa na kuweza kuzifikia baa mbalimbali ambapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani