Hatua zaidi kuzuia kusambaa kwa Ebola
Hatua zaidi zinachukuliwa kuzuia kusambaa kwa ugonjwa wa Ebola ulioua zaidi ya watu elfu moja, wengi wao kutoka Afrika magharibi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OUOhUfH_2ao/XqMLYpo0AdI/AAAAAAALoIY/AEkNAvMKvFQUvLGK0UkFqkGAIIaFyRKqwCLcBGAsYHQ/s72-c/94312930_2741905162575055_8908452115450429440_o.jpg)
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya corona: Wanyama wa mwituni wanavyokatiza mitaa ambayo watu wake wanajifungia ndani kuzuia kusambaa kwa Covid-19
Picha za Wanyama hao zimepigwa katika nchi tofauti duniani ambazo raia wake wanatekeleza maelekezo ya kuzuia kasi ya janga la corona.
10 years ago
BBCSwahili22 Nov
WHO:Laonya kusambaa kwa Ebola Mali
Mkuu wa shirika la afya duniani WHO Margaret Chan ameonya kuhusu kusambaa kwa ugonjwa wa ebola nchini Mali.
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona:Daktari mkuu wa aonya kuhusu uwezekano wa kusambaa zaidi kwa Covid-19 Marekani
The US's top infectious diseases doctor warns senators of the risks of reopening too soon.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C3a4yKmwRAE/XrPF64teG4I/AAAAAAALpWk/97uIbJQwWLkvAwXuwFZzxvuE-RRMu0P-gCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
THBUB: Msamaha kwa Wafungwa ni hatua muhimu kuzuia maambukizi ya Korona Magerezani
![](https://1.bp.blogspot.com/-C3a4yKmwRAE/XrPF64teG4I/AAAAAAALpWk/97uIbJQwWLkvAwXuwFZzxvuE-RRMu0P-gCLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa Mheshimiwa Rais, Dkt. John Pombe Magufuli wa kuwasamehe wafungwa 3973 ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya maradhi yanayosababishwa na Virusi vya Korona.
Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona.
Alieleza kuwa msamaha huo ni muhimu...
10 years ago
Habarileo09 Oct
Ulaya waonywa kusambaa ebola
MSHAURI maarufu kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO), ameonya kuwa hali ya ongezeko la watoa huduma za afya waliopata maambukizi ya ugonjwa wa ebola inaweza kuongezeka hata katika nchi zilizoendelea.
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Coronavirus: Je ni hatua gani zimechukuliwa na EU kuzuia maambukizi?
Marufuku ya safari ya siku 30 ambayo haikutarajiwa itawazuia wasafiri wa kigeni, isipokua wenye sababu za kipekee.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-et2uJEgzmVU/XkzN_lBg7kI/AAAAAAALeNM/3sXsBrWAa68604nCRB038A5ZvXieU-0hQCLcBGAsYHQ/s72-c/737637be12c25dbefdbd7da9f3ff81ec.jpg)
Uamuzi wa kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni TPL uangaliwe kwa mapana zaidi kabla ya hatua hiyo kuchukuliwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-et2uJEgzmVU/XkzN_lBg7kI/AAAAAAALeNM/3sXsBrWAa68604nCRB038A5ZvXieU-0hQCLcBGAsYHQ/s640/737637be12c25dbefdbd7da9f3ff81ec.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-L20P9priZ-E/XkzN_u0qfYI/AAAAAAALeNE/sj5RUD1VPGElAo3vLmEuxQAvqWPmAkmgwCLcBGAsYHQ/s640/_70607978_ivorians_.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_3tQEYqLbFg/XkzN_tYVs5I/AAAAAAALeNI/WO9NBKPlcPsiZfjEdlYRLMwqmK-AB9WmgCLcBGAsYHQ/s640/Yangapic.jpg)
Na Mdau wa Soka Arusha
Hatua hii itakuwa siyo ya kujenga bali ni kubomoa soka letu. Kiuhalisia kwa sasa ni timu 3 zenye uwezo wa kusajili wachezaji 10 wa kigeni; Simba, Yanga na Azam.
Usajili kwa sasa unaruhusu kila timu ya TPL kusajili wachezaji mpaka 30 kwa msimu.Kwa mahesabu hayo jumla ya namba ya wachezaji wanaosajiliwa na timu 20 za ligi kuu ni 600(30 x20).
Chukulia mfano timu 3 kubwa zimesajili wachezaji 10 wa kigeni kila moja ukijumlisha unapata wachezaji 30.
Chukulia pia mfano timu 17...
10 years ago
Mwananchi03 Oct
UTAFITI : Ebola inaenea haraka zaidi kwa wanawake kuliko wanaume
Ingawa binadamu wote ni sawa, lakini ni jambo la kushangaza kuona kuwa wakati wa mlipuko wa ugonjwa fulani, jinsi moja inaathirika zaidi kuliko nyingine.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania