Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WHO:Laonya kusambaa kwa Ebola Mali

Mkuu wa shirika la afya duniani WHO Margaret Chan ameonya kuhusu kusambaa kwa ugonjwa wa ebola nchini Mali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hatua zaidi kuzuia kusambaa kwa Ebola

Hatua zaidi zinachukuliwa kuzuia kusambaa kwa ugonjwa wa Ebola ulioua zaidi ya watu elfu moja, wengi wao kutoka Afrika magharibi.

 

10 years ago

Habarileo

Ulaya waonywa kusambaa ebola

MSHAURI maarufu kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO), ameonya kuwa hali ya ongezeko la watoa huduma za afya waliopata maambukizi ya ugonjwa wa ebola inaweza kuongezeka hata katika nchi zilizoendelea.

 

9 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA ,JESHI LA POLISI IRINGA LAONYA WANAOCHANA MABANGO YA WAGOMBEA .

Maandamano  ya  askari  polisi kuelekea katika  maadhimisho  ya  wiki ya nenda kwa usalama Maadhimisho ya wiki ya  nenda  kwa  usalama mkoa  wa Iringa  leo Askari  wa FFU  wakiwa katika maadhimisho hayo. 
Mkuu  wa  mkoa  wa Iringa Amina Masenza akiongoza kupokea maandamano leo.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.




 















 

11 years ago

GPL

DALILI ZA KUSAMBAA KWA KANSA YA TITI

Wiki iliyopita tuliendelea kueleza matatizo ya kansa ya matiti, leo tunaelezea dalili za kusambaa kwa saratani hii mwilini.Kitendo cha kansa kusambaa mwilini kupitia mkondo wa damu na limfu huitwa metastasis.  Kusambaa kwa saratani hadi kwenye viungo na tishu muhimu kama vile ubongo, ini, mifupa au mapafu  bado kunaufanya ugonjwa huo kuwa hatari. Dalili za saratani kusambaa mwilini ni maumivu ya mifupa, maumivu kwenye...

 

10 years ago

BBC

Mali says it is free from Ebola

Mali says it is now free from the Ebola virus, after 42 days without a new case, the country's health minister says.

 

11 years ago

CloudsFM

SAKATA LA KUSAMBAA KWA PICHA ZA NGONO MITANDAONI LAIBUKA BUNGENI

SIKU chache baada ya kusambazwa picha za ngono zikiwahusisha baadhi ya wabunge katika mitandao ya kijamii, serikali imesema inawasaka waliozisambaza kwa kuwa ina uwezo wa kuwabaini.
Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa, alitoa kauli hiyo jana bungeni baada ya Spika Anne Makinda, kumtaka azungumzie picha chafu za baadhi ya wabunge zilizotolewa na kusambazwa kwenye mitandao.

Waziri Mbarawa, alisema serikali inafuatilia na kuchunguza waliosambaza picha hizo...

 

10 years ago

BBC

Mali confirms second Ebola death

A Malian nurse dies of Ebola, the second confirmed death in Mali, but officials say it is unrelated to the first case.

 

11 years ago

BBC

Mali on alert over Ebola fears

Mali is on alert over the deadly Ebola virus after three suspected cases were reported near the border with Guinea, where 86 people have died.

 

10 years ago

BBC

First Ebola case in Mali confirmed

Mali says a two-year-old girl - believed to have recently visited Guinea - becomes the country's first person to be infected by the deadly virus.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani