Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nesi wa Ebola alalama alivyotengwa

Muuguzi aliyetengwa aliporejea nchini Marekani baada ya kuwatibu wagonjwa wa ebola nchini Sierra Leone amelalamikia .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Nesi wa Ebola alalama alivyotengwa-BBC


Muuguzi aliyetengwa aliporejea nchini Marekani baada ya kuwatibu wagonjwa wa ebola nchini Sierra Leone amelalamikia jinsi alivyohudumiwa.

Sheria mpya zilizotangazwa na majimbo matatu nchini Marekani yakiwemo New York , New Jersey na Illinois zinamaanisha kuwa kila mtu anayerejea kutoka nchi yoyote ya Afrika magharibi iliyoathirika na ugonjwa wa ebola, na huenda amekaribiana na wale walio na ugonjwa huo ni lazima awekwe kwenye karantini kwa muda wa wiki tatu

Kaci Hickox anasema kuwa hali...

 

10 years ago

Vijimambo

NESI WA EBOLA ALIYEWEKEWA KARANTINI KUFIKISHWA MAHAKAMANI

Nurse Kaci Hickox rides away from the home she is staying in on a rural road in Fort Kent, Maine, to take a bike ride, Thursday, Oct. 30, 2014. Hickox went on an hour-long ride with her boyfriend Ted Wilbur, followed by state police who were monitoring her movements and public interactions.Nesi Kaci Hickox akiendesha baiskeli baada ya kuvunja karatini aliyowekewa wakati akiwa kwenye uchunguzi wa Ebola baada ya kurudi toka Afrika Magharibi alipokua akiwatibu wagonjwa wa Ebola
Mamlaka ya afya mji wa Fort Kent, Maine uliopo mpakani wa Canada wamesema watamfikisha mahakamani Nesi Kaci Hickox baada ya kuvunja karantini siku ya Alhamisi Oktoba 30, 2014 kwa kutoka nje ya nyumba yake na kuendesha baiskeli takribani saa moja.
Nesi Kaci Hickox aliwekewa karantini hiyo baada ya kurudi toka...

 

10 years ago

Vijimambo

NESI WA EBOLA APONA NA AKUTANA NA KUMPA HAGI RAIS OBAMA KABLA YA KURUDI NYUMBANI

Mmoja wa manesi waliopata Ebola wakati akimuuguza mgonjwa wa Ebola Thomas Eric Duncan aliyepata wakati akitokea Liberia. Nesi Nina Pham leo Ijumaa Oct 24, 2014 ameruhusiwa kutoka hospitali NIH alipokua amelazwa baada ya kupona virusi vya Ebola. Nesi Nina baadae yeye na familia yake walipitia Ikulu kukutana na Rais Barack Obama kabla ya kuondoka na kuelekea Texas kwenda kuungana na ndugu, jamaa na marafiki.

 

10 years ago

GPL

11 years ago

Mwananchi

Rage alalama Simba

Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage amesema amesikitishwa na madai kuwa hakuhusika na ushindi dhidi ya Yanga.

 

10 years ago

BBCSwahili

Putin alalama kuwekewa vikwazo

Rais wa Urusi Vladmir Putin amesema Marekani na Umoja wa Ulaya, EU hautaathiri Urusi tu pekee isipokua uchumi wa Dunia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi:Gyan alalama

Mshambuliaji wa timu ya Ghana Asamoah Gyan amemshtumu mchezaji wa timu ya Al Hilal Mihai Pintilii kwa kum'bagua.

 

11 years ago

GPL

NESI ANASWA!

Stori: OFM YA GLOBAL PUBLISHERS
MARA nyingi manesi wamekuwa wakishiriki katika matukio mbalimbali ya kuua watoto wachanga na kutegemea kulipwa ujira kutokana na kazi hiyo. Nesi Maria (kushoto) mara baada ya kunaswa na OFM. Matukio mengi ya aina hiyo yamekuwa hayaripotiwi kutokana na usiri wa wahusika kutaka mambo yao yasiwekwe hadharani lakini Oparesheni Fichua Maovu (OFM), inaendelea kufichua unyama huo na kuumwaga...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mourinho: Alalama kurekodiwa kwa siri

Kocha wa timu ya Chelsea, Jose Mourinho ameshutumu tabia ya kurekodi kwa siri mazungumzo binafsi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani