Nesi wa Ebola alalama alivyotengwa
Muuguzi aliyetengwa aliporejea nchini Marekani baada ya kuwatibu wagonjwa wa ebola nchini Sierra Leone amelalamikia .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo26 Oct
Nesi wa Ebola alalama alivyotengwa-BBC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/07/141007152912_nurse_ebola_spain_512x288_reuters.jpg)
Muuguzi aliyetengwa aliporejea nchini Marekani baada ya kuwatibu wagonjwa wa ebola nchini Sierra Leone amelalamikia jinsi alivyohudumiwa.
Sheria mpya zilizotangazwa na majimbo matatu nchini Marekani yakiwemo New York , New Jersey na Illinois zinamaanisha kuwa kila mtu anayerejea kutoka nchi yoyote ya Afrika magharibi iliyoathirika na ugonjwa wa ebola, na huenda amekaribiana na wale walio na ugonjwa huo ni lazima awekwe kwenye karantini kwa muda wa wiki tatu
Kaci Hickox anasema kuwa hali...
10 years ago
Vijimambo31 Oct
NESI WA EBOLA ALIYEWEKEWA KARANTINI KUFIKISHWA MAHAKAMANI
![Nurse Kaci Hickox rides away from the home she is staying in on a rural road in Fort Kent, Maine, to take a bike ride, Thursday, Oct. 30, 2014. Hickox went on an hour-long ride with her boyfriend Ted Wilbur, followed by state police who were monitoring her movements and public interactions.](http://www.theday.com/apps/pbcsi.dll/storyimage/NL/20141030/NWS13/141039991/AR/0/AR-141039991.jpg)
Mamlaka ya afya mji wa Fort Kent, Maine uliopo mpakani wa Canada wamesema watamfikisha mahakamani Nesi Kaci Hickox baada ya kuvunja karantini siku ya Alhamisi Oktoba 30, 2014 kwa kutoka nje ya nyumba yake na kuendesha baiskeli takribani saa moja.
Nesi Kaci Hickox aliwekewa karantini hiyo baada ya kurudi toka...
10 years ago
Vijimambo25 Oct
NESI WA EBOLA APONA NA AKUTANA NA KUMPA HAGI RAIS OBAMA KABLA YA KURUDI NYUMBANI
![](https://lh4.googleusercontent.com/-M9s0XN4mSJE/VEq_Qi_75ZI/AAAAAAACmu4/25yh5qsqVPg/w878-h585-no/P102414PS-0253.jpg)
10 years ago
GPL19 May
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Rage alalama Simba
Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage amesema amesikitishwa na madai kuwa hakuhusika na ushindi dhidi ya Yanga.
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Putin alalama kuwekewa vikwazo
Rais wa Urusi Vladmir Putin amesema Marekani na Umoja wa Ulaya, EU hautaathiri Urusi tu pekee isipokua uchumi wa Dunia.
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Ubaguzi wa rangi:Gyan alalama
Mshambuliaji wa timu ya Ghana Asamoah Gyan amemshtumu mchezaji wa timu ya Al Hilal Mihai Pintilii kwa kum'bagua.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sTg6vyO*vvGIiOyUsaR-UGxFZEYaqfwJ1m76dMaQ6LC9-zjN5izHX9UsTGlh5kf*S5GcRtY-AeyNyRQMMBzBX4NJPjCiyHyz/ofm.jpg?width=650)
NESI ANASWA!
Stori: OFM YA GLOBAL PUBLISHERS
MARA nyingi manesi wamekuwa wakishiriki katika matukio mbalimbali ya kuua watoto wachanga na kutegemea kulipwa ujira kutokana na kazi hiyo. Nesi Maria (kushoto) mara baada ya kunaswa na OFM. Matukio mengi ya aina hiyo yamekuwa hayaripotiwi kutokana na usiri wa wahusika kutaka mambo yao yasiwekwe hadharani lakini Oparesheni Fichua Maovu (OFM), inaendelea kufichua unyama huo na kuumwaga...
11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Mourinho: Alalama kurekodiwa kwa siri
Kocha wa timu ya Chelsea, Jose Mourinho ameshutumu tabia ya kurekodi kwa siri mazungumzo binafsi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania