NESI ANASWA!

Stori: OFM YA GLOBAL PUBLISHERS MARA nyingi manesi wamekuwa wakishiriki katika matukio mbalimbali ya kuua watoto wachanga na kutegemea kulipwa ujira kutokana na kazi hiyo. Nesi Maria (kushoto) mara baada ya kunaswa na OFM. Matukio mengi ya aina hiyo yamekuwa hayaripotiwi kutokana na usiri wa wahusika kutaka mambo yao yasiwekwe hadharani lakini Oparesheni Fichua Maovu (OFM), inaendelea kufichua unyama huo na kuumwaga...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 Oct
Nesi wa Ebola alalama alivyotengwa
10 years ago
GPL
NESI ADAI KUFA MARA 2
11 years ago
GPL
NESI MUHIMBILI AKATWA MIGUU
11 years ago
Vijimambo26 Oct
Nesi wa Ebola alalama alivyotengwa-BBC

Muuguzi aliyetengwa aliporejea nchini Marekani baada ya kuwatibu wagonjwa wa ebola nchini Sierra Leone amelalamikia jinsi alivyohudumiwa.
Sheria mpya zilizotangazwa na majimbo matatu nchini Marekani yakiwemo New York , New Jersey na Illinois zinamaanisha kuwa kila mtu anayerejea kutoka nchi yoyote ya Afrika magharibi iliyoathirika na ugonjwa wa ebola, na huenda amekaribiana na wale walio na ugonjwa huo ni lazima awekwe kwenye karantini kwa muda wa wiki tatu
Kaci Hickox anasema kuwa hali...
11 years ago
Vijimambo31 Oct
NESI WA EBOLA ALIYEWEKEWA KARANTINI KUFIKISHWA MAHAKAMANI

Mamlaka ya afya mji wa Fort Kent, Maine uliopo mpakani wa Canada wamesema watamfikisha mahakamani Nesi Kaci Hickox baada ya kuvunja karantini siku ya Alhamisi Oktoba 30, 2014 kwa kutoka nje ya nyumba yake na kuendesha baiskeli takribani saa moja.
Nesi Kaci Hickox aliwekewa karantini hiyo baada ya kurudi toka...
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Nesi amchapa mjamzito ‘leba’, kitoto chafariki
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Nesi atekwa Dar, watekaji wataka Sh5 mil
11 years ago
GPL
MAMA AJIFANYA NESI, AAJIRIWA HOSPITALINI KWA MUDA MREFU, ADAKWA!
11 years ago
Vijimambo25 Oct
NESI WA EBOLA APONA NA AKUTANA NA KUMPA HAGI RAIS OBAMA KABLA YA KURUDI NYUMBANI
