Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nesi amchapa mjamzito ‘leba’, kitoto chafariki

Muuguzi mmoja wa Kituo cha Afya cha Muungano kilichoko wilayani Chamwino anatuhumiwa kumchapa viboko mma mjamzito aliyekwenda kujifungua na kusababisha mtoto afie tumboni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DIAMOND, HAYA NI YA KITOTO MSHIKAJI!

NIANZE kwa kutoa pole kwa wadau wote wa muziki wa kizazi kipya, kwa kuondokewa na mdau Abdul Bonge, muanzilishi wa Kundi la Tip Top Connection, wale vijana wenye maskani yao pale Manzese. Bonge ametutoka katika wakati ambao Bongo Fleva ndiyo ilikuwa inamhitaji zaidi, kwani hakuna ubishi kwamba muziki huu sasa unalazimisha njia kuelekea nje ya nchi na hawa ndiyo walikuwa wawezeshaji wakuu wa jambo hili. Mungu ampe mapumziko mema...

 

11 years ago

Habarileo

Mzazi aliyeozesha ‘kitoto’ kwa babu miaka 54 mbaroni

MZAZI aliyeoza mtoto wake kwa mzee wa miaka 54, juzi alikamatwa na polisi na kufikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda, na kufunguliwa kesi ya kula njama kwa nia ya kutenda kosa la kuozesha mtoto mdogo kinyume cha sheria.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Usiogope maumivu ya leba

TUANZE makala na kifungua mada tukiwasikiliza washkaji wawili wakijadiliana jambo Fulani. Mshikaji 1: Nimefurahia kumsindikiza mke wangu huko kliniki ya wajawazito. Kumbe humo kuna vichekesho. Unajua mke wangu amesoma mpaka...

 

11 years ago

GPL

MAMA ADAI KUIBIWA MTOTO LEBA

Stori: Chande abdallah na Deogratius Mongela  Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jinala Shakila Bakari (30),mkazi wa Mbagala jijini Dar, ametoa madai mazito kuwa manesi wa hospitali moja (jina linahifadhiwa) iliyopo Mbagala wamemuiba mmoja wa watoto wake wawili aliojifungua Machi 28, mwaka huu. Mama Shakila Bakari (30), mkazi wa Mbagala jijini Dar. Akizungumza na gazeti hili juzi, Shakila alisema siku ya tukio majira ya saa 6...

 

10 years ago

Vijimambo

"LULU: NI KWELI NAPENDA KUTEMBEA NA WANAUME WALIONIZIDI UMRI SABABU HAWANA MAMBO YA KITOTO"

Mrembo na muigizaji wa filamu za Bongo, Elizabeth ‘Lulu’ Michael amekiri kuwa anapenda kuwa na mahusiano na wanaume waliomzidi sana umri.

Akizungumza kwenye The Sporah Show, Lulu amezitaja sababu za kupendelea kutoka na wanaume waliomzidi umri.
SPORAH: Watu wanahisi kwamba Lulu anapenda sana kutembea na watu waliomzidi umri sana,

LULU: That’s true, sio uongo, sio sana, Napenda kudate mtu ambaye anayeweza kusimama kama mpenzi, kama kaka, kama baba, kama kiongozi. Sitakuwa tayari kuwa na ile...

 

10 years ago

GPL

RUHUSUNI WANAUME WADI ZA LEBA KUCHOCHEA UZAZI SALAMA

Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mh. Mahmoud Thabit Kombo akipitia kijarida cha maelezo kazi zinazofanywa na taasisi inayoshughulikia na utetezi wa watoto njiti ya Doris Mollel ambaye pia ni Miss Singida Kanda ya Kati 2014/15. Kushoto ni Mwenyekiti wa taasisi hiyo, Doris Mollel wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa taasisi hiyo uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye hoteli ya Hyatt Regency jijini...

 

11 years ago

GPL

NESI ANASWA!

Stori: OFM YA GLOBAL PUBLISHERS
MARA nyingi manesi wamekuwa wakishiriki katika matukio mbalimbali ya kuua watoto wachanga na kutegemea kulipwa ujira kutokana na kazi hiyo. Nesi Maria (kushoto) mara baada ya kunaswa na OFM. Matukio mengi ya aina hiyo yamekuwa hayaripotiwi kutokana na usiri wa wahusika kutaka mambo yao yasiwekwe hadharani lakini Oparesheni Fichua Maovu (OFM), inaendelea kufichua unyama huo na kuumwaga...

 

10 years ago

Dewji Blog

KOMBO: Ruhusuni wanaume wadi za leba kuchochea uzazi salama

DSC_0036

Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mh. Mahmoud Thabit Kombo akipitia kijarida cha maelezo kazi zinazofanywa na  taasisi inayoshughulikia na utetezi wa watoto njiti ya Doris Mollel ambaye pia ni Miss Singida Kanda ya Kati 2014/15. Kulia ni Mwenyekiti wa taasisi hiyo, Doris Mollel wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa taasisi hiyo uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Na Mwandishi...

 

10 years ago

Dewji Blog

KOMBO: Ruhusuni wanaume wadi za leba kupunguza kuchochea uzazi salama

DSC_0036

Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mh. Mahmoud Thabit Kombo akipitia kijarida cha maelezo kazi zinazofanywa na  taasisi inayoshughulikia na utetezi wa watoto njiti ya Doris Mollel ambaye pia ni Miss Singida Kanda ya Kati 2014/15. Kulia ni Mwenyekiti wa taasisi hiyo, Doris Mollel wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa taasisi hiyo uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Na Mwandishi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani