Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND, HAYA NI YA KITOTO MSHIKAJI!

NIANZE kwa kutoa pole kwa wadau wote wa muziki wa kizazi kipya, kwa kuondokewa na mdau Abdul Bonge, muanzilishi wa Kundi la Tip Top Connection, wale vijana wenye maskani yao pale Manzese. Bonge ametutoka katika wakati ambao Bongo Fleva ndiyo ilikuwa inamhitaji zaidi, kwani hakuna ubishi kwamba muziki huu sasa unalazimisha njia kuelekea nje ya nchi na hawa ndiyo walikuwa wawezeshaji wakuu wa jambo hili. Mungu ampe mapumziko mema...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA KUACHANA NA DIAMOND AAMUA KUFANYA HAYA JUU YA MALI ALIZOPEWA NA DIAMOND


Lile gari jipya aina ya Nissan Murano la staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alilompa aliyekuwa mwandani wake, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ limezua mapya ambapo baada ya kudai linamchefua sasa anadaiwa kuwa analiuza kwa kigezo kwamba hataki gundu mwaka huu mpya wa 2015.Gari jipya aina ya Nissan Murano la staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alilompa aliyekuwa mwandani wake, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’KUMBE LIPO KWA...

 

11 years ago

GPL

AMANDA AGEUZA DUKA LA MSHIKAJI NYUMBANI KWAKE

  Amanda akiwa ametoa macho kwa mshangao baada ya kuona paparazi akimpiga picha. Akiwa kwenye picha ya pozi. MSANII  wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’, leo amenaswa na kamera yetu dukani kwa watu akiwa ameligeuza kama nyumbani kwake  au mmiliki kutokana na jinsi alivyokuwa amejiachia.…

 

9 years ago

Bongo Movies

Haya Ndiyo Maneno ya Diamond kwenda Kwa Dr. Mwaka

Staa wa Bongo Fleva anayetamba hivi sasa na kibao cha Je Utanipenda, Diamond Platinum amemtakia kheri na Baraka mtaalamu wa dawa za tiba mbadala kwa magonjwa ya kinamama, Dr J J Mwaka wa kituo cha Foreplan Herbal Clinic kutokana na mchango wake kwenye kusaidia mziki wa kibongo.

Diamond Akiwa na Dr.Mwaka

Diamond Akiwa na Dr.Mwaka

Mbali na Dokta huyo kukabiliwa na changamoto kubwa kuhusu huduma zake kwa sasa, Diamond ambaye ametumika kwenye matangazo ya Dokta huyo ameandika haya leo mtandaoni mara baada ya kuweka picha...

 

10 years ago

Vijimambo

Haya ni maneno ya Wema Sepetu kuhusu inshu ya kumdai Diamond

Ukubwa wa stori hii ambayo jana aliizungumzia Martin Kadinda kama Meneja wa Wema Sepetu imefanya millardayo.com kutaka kuujua undani zaidi kutoka kwa Wema mwenyewe.Kwenye exclusive Interview,Wema amesema>>’Taarifa hii imenishtua sana maana asubuhi ya jana nimekuta kwenye gazeti wameandika nikashangaa yaani hapa nimekaa kwa sababu muda mwingi siendeshi mimi akaunti yangu ya twitter,anaiendesha mtu wangu wa blog Bestizo maana nilikua nataka kutoa tamko’‘Nilishasema ukurasa huu tulishaufunga na...

 

10 years ago

Mwananchi

Nesi amchapa mjamzito ‘leba’, kitoto chafariki

Muuguzi mmoja wa Kituo cha Afya cha Muungano kilichoko wilayani Chamwino anatuhumiwa kumchapa viboko mma mjamzito aliyekwenda kujifungua na kusababisha mtoto afie tumboni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani