KOMBO: Ruhusuni wanaume wadi za leba kupunguza kuchochea uzazi salama
Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mh. Mahmoud Thabit Kombo akipitia kijarida cha maelezo kazi zinazofanywa na taasisi inayoshughulikia na utetezi wa watoto njiti ya Doris Mollel ambaye pia ni Miss Singida Kanda ya Kati 2014/15. Kulia ni Mwenyekiti wa taasisi hiyo, Doris Mollel wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa taasisi hiyo uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
KOMBO: Ruhusuni wanaume wadi za leba kuchochea uzazi salama
Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mh. Mahmoud Thabit Kombo akipitia kijarida cha maelezo kazi zinazofanywa na taasisi inayoshughulikia na utetezi wa watoto njiti ya Doris Mollel ambaye pia ni Miss Singida Kanda ya Kati 2014/15. Kulia ni Mwenyekiti wa taasisi hiyo, Doris Mollel wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa taasisi hiyo uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi...
10 years ago
Michuzi24 Mar
Ruhusuni wanaume wadi za leba kuchochea uzazi salama - Mahmoud Thabit Kombo
Na Mwandishi wetuNAIBU...
10 years ago
GPLRUHUSUNI WANAUME WADI ZA LEBA KUCHOCHEA UZAZI SALAMA
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Wanaume wa Tanzania na uzazi salama
10 years ago
Habarileo31 Oct
Changamoto zinazokwamisha uzazi salama kudhibitiwa
KAMATI ya Afya ya Uendeshaji ya Wilaya ya Nkasi imeahidi kufanyia kazi changamoto zinazokabili vituo kadhaa vya afya na kukwamisha ufanisi katika utoaji wa huduma za dharura wakati wa kujifungua.
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Mambo muhimu ya kuzingatia uzazi salama
10 years ago
Habarileo12 Dec
RC: Ongezeko watumiaji wa uzazi wa mpango kupunguza vifo
MKUU wa Mkoa wa Tabora, Ludovick Mwananzila amesema ongezeko la watumiaji wa huduma ya uzazi wa mpango nchini utachangia kupunguza vifo vya akina mama na watoto vitokanavyo na uzazi.
10 years ago
Dewji Blog12 Jan
Singida wafanikiwa kupunguza vifo vya uzazi
Kaimu mganga mkuu mkoa wa Singida, Dk.Ernest Mgeta, akitoa taarifa yake kwenye uzinduzi mpango mkakati wa mkoa wa Singida wa kuongeza kasi ya kupunguza vifo vya akina mama vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aqua Vitae mjini Singida.Wa kwanza kushoto ni mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone na anayefuata ni kaimu katibu tawala mkoa wa Singida, Marando.
Na Nathaniel Limu, Singida
MKOA wa Singida umefanikiwa kupunguza vifo vya akina mama...
11 years ago
MichuziZanzibar yajivunia kupunguza vifo vya uzazi