Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Music: Marley — Hapana Mbaya

Huu ni Wimbo Mpya kutoka kwa Msanii Marley ameimba katika stail ya Kimasai wimbo unaitwa “Hapana Mbaya” Producer Muchmore

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

New Music: Jan B f/ Marley — My Life

1941219_1517369731918312_532821997_n

Rapper Jan B amerejea tena na wimbo wake mpya ‘My Life’ aliomshirikisha Marley. Usikilize hapo chini.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Nikki Mbishi f/ Songa & Bob Marley – Feel Alright

Ngoma ya Nikki Mbishi aliyowashirikisha Songa na Bob Marley. Wimbo umetayarishwa na The Invincible KTB.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Marasta kumkumbuka Bob Marley leo

JUMUIYA ya Marastafarian Tanzania, (Taramo), imeandaa Tamasha la kumbukumbu ya muasisi wa muziki wa Reggae ulimwenguni, Nesta Robert, maarufu kama Bob Marley litakalofanyika ufukwe wa hoteli  ya Mbalamwezi jijini Dar...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mmiliki wa nyimbo za Bob Marley aamuliwa

Jaji wa mahakama kuu mjini London ameamua ni nani anastahiki kumiliki nyimbo za Bob Malrey ukiwemo 'No Woman, No Cry'

 

10 years ago

BBCSwahili

Familia ya Bob Marley kuuza bidhaa za Bangi

Familia ya aliyekuwa mwanamuziki wa Jamaica, Bob Marley imezindua kampuni wanayoitaja ya kwanza duniani kuuza bidhaa za Bangi

 

5 years ago

The Guardian

Rapper Naira Marley: 'A big bum is better than qualifications in Nigeria'

Rapper Naira Marley: 'A big bum is better than qualifications in Nigeria'  The Guardian

 

10 years ago

Bongo5

Familia ya Bob Marley yaanzisha brand ya kwanza ya bangi

Familia ya hayati Bob Marley ikishirikiana na kampuni moja ya Seattle, imeanzisha brand ya kwanza ya dunia ya bangi chini ya jina lake, mmea ambao msanii huyo wa reggae alipenda kuuita “the herb”. Kampuni hiyo, Privateer Holdings imepata kibali kutoka kwa warithi wa Marley kuzalisha bidhaa za bangi zitakazokuwa chini ya jina ‘Marley Natural’. Miongoni […]

 

10 years ago

Vijimambo

LAND ROVER YA MWAKA 1976 ALIYOKUA AKIITUMIA BOB MARLEY YAFUFULIWA

Hivi ndio mwonekano wa Land Rover aliyokua akiitumia Bob Marley ilivyokua ikionekana kwenye makumbusho ya masanii huyo nchini Jamaica.Mwonekano wa ndani\Land Rover hiyo inavyoonekana kwa sasa baada ya kufamyiwa matengenezo upya na kampuni ya Land Rover ya Jamaica kwa ushirikiano na familia ya Bob Marley ambaye kama angekua hai angekua amefikisha miaka 70 Februari 7 mwaka huu.Pamoja na mwonekano mpya pia gari hiyo linaendesha kama jipya.Mwonekano wa ndani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani