New Music: Young Dee Ft Jux — Siyo Mchoyo
Wimbo mpya kutoka kwa Young Dee akimshirikisha Jux ngoma inaitwa “Siyo Mchoyo” Producer Rash Don
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL19 Sep
10 years ago
Bongo531 Mar
New Music: Navy Kenzo Ft Young Dee — Viza
Wimbo mpya kutoka kwa Navy Kenzo wakimshirikisha Young Dee wimbo unaitwa “Viza” Producer Nahreel
10 years ago
Bongo507 Oct
Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa
Baada kuwa kimya kwa takribani miaka miwili, Kundi la Mtu Chee lililokuwa linaundwa na rappers watatu, Ibrahim Mandingo a.k.a Country Boy, David Genzi a.k.a Young Dee pamoja na Boniventure Kabogo a.k.a Stamina linarudi rasmi likiwa na mabadiliko. Country Boy Member na mmoja wa waanzilishi wa kundi hilo Country Boy amesema kuwa Mtu Chee imepata member […]
10 years ago
Bongo529 Oct
Music: Young Dee — Ujanja Ujanja
Rapper Young Dee baada ya kuacha video ya wimbo mpya wa “Ujanja Ujanja” hii ni Audio Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Bongo524 Mar
New Music: Jimmy Chansa — We Mchoyo
Wimbo mpya kutoka kwa msanii mpya anajulikana Jimmy Chansa wimbo unaitwa “We Mchoyo” Producer Lollipop
10 years ago
Bongo513 Oct
Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram
Wiki iliyopita mmoja wa waanzilishi wa kundi la Mtu Chee, Country Boy alisema kuwa Young Dee amejiengua kwenye kundi hilo na nafasi yake imechukuliwa na Young Killer. Wiki hii kuna cover imeanza kusambazwa ya ngoma mpya ya Mtu Chee ambayo kweli wanaonekana Country Boy, Stamina na Young Killer. Bongo5 imemtafuta Young Killer kutaka kufahamu kuhusu […]
11 years ago
GPL20 Jul
10 years ago
Africanjam.Com
11 years ago
GPL
FUMANIZI LA LULU, YOUNG DEE UTATA
Stori:Â Musa Mateja na Mayasa Mariwata
MWISHONI mwa wiki iliyopita, taarifa zilienea katika mitandao ya kijamii na vyombo mbalimbali vya habari Bongo kwamba msanii wa Bongo Fleva, David Genzi ‘Young Dee’ na nyota wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ wamebambwa na polisi wa doria wakivunja amri ya sita ndani ya gari aina ya Hyundai, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, tukio lililojaa utata mkubwa. ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania