New seven-kilo gold coin unveiled to celebrate James Bond film
New seven-kilo gold coin unveiled to celebrate James Bond film RFIJames Bond: Royal Mint releases 7kg gold coin to mark 25th film No Time To Die Sky NewsRoyal Mint releases new James Bond coins and they could be worth £150 The SunMost valuable ever coin unveiled by Royal Mint - and it has James Bond's car on it Mirror OnlineThe Royal Mint unveils £7,000 gold coin as part of its new James Bond collection Wales OnlineView Full coverage on Google...
RFI
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBC News11 Mar
Edinburgh Film Festival: Plans for hub tower unveiled
9 years ago
Mtanzania09 Nov
Filamu ya James Bond yazinduliwa Dar
Na Theresia Gasper, Dar es Salaam
WADAU na watu maarufu mbalimbali hapa nchini mwishoni mwa wiki walijumuika katika uzinduzi wa filamu mpya ya Spectre James Bond iliyofanyika Cape Town Fish Market jijini Dar es Salaam.
Uzinduzi wa filamu hiyo iliyoigizwa na Daniel Craig kama James Bond, uliratibiwa na kampuni ya QWAY International chini ya udhamini wa kinywaji cha Belvedere Vodka ikishirikiana na Heineken, Jaguar pamoja na Land Rover.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo...
5 years ago
Bongo514 Feb
Muigizaji wa filamu za James Bond afariki dunia
Muigizaji Clifton James, maarufu kama ‘JW Pepper’ kwenye filamu mbili za James Bond, amefariki dunia akiwa na miaka 96.
Alifariki karibu na mji wa Gladstone, Oregon, siku ya Jumamosi kutokana na matatizo ya ugonjwa wa kisukari.
James alifahamika sana kutokana na uigizaji wake katika filamu za Bond za ‘Live and Let Die’ na ‘The Man with the Golden Gun’ miaka ya sabini.
Binti yake Lynn amesema: ”Alikuwa mtu mpenda watu na mwenye uwazi sana. Alipendwa sana na kila mtu.”
Aliongeza: “Sidhani...
9 years ago
MichuziParty ya uzinduzi wa filamu ya James Bond, Spectre ilivyofana
WATU mbalimbali walihudhuria hafla ya uzinduzi wa filamu ya Spectre ya James Bond iliyofanyika Cape Town Fish Market chini ya udhamini wa Belvedere Vodka, Heineken, Jaguar pamoja na Land Rover.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo, mwakilishi wa kampuni ya QWAY International inayosambaza kinywaji cha Belvedere Vodka,Tanya Mulamula alisema hafla hiyo inalenga kuwakutanisha wadau na kuifurahia filamu hiyo, ikiwa siku moja kabla ya uzinduzi wake.
Filamu ya...
9 years ago
Bongo509 Nov
Filamu mpya ya James Bond, Spectre yazinduliwa Dar
Mastaa mbalimbali nchini mwishoni mwa wiki hii walijumuika katika uzinduzi wa filamu mpya ya James Bond, Spectre uliofanyika Cape Town Fish Market jijini Dar es Salaam.
Uzinduzi wa filamu hiyo iliyoigizwa na muigizaji wa Uingereza Daniel Craig kama James Bond, uliratibiwa na kampuni ya QWAY International.
Pamoja na Fish Market, filamu hiyo ilizinduliwa kwenye majumba mengine ya sinema nchini na duniani kote.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo mwakilishi wa kampuni ya...
5 years ago
BBCSwahili05 Mar
Uzinduzi wa filamu ya James Bond umesongezwa hadi Novemba
10 years ago
BBCSwahili29 Mar
James Bond akana kum'bagua Idris Elba
5 years ago
Aljazeera.Com05 Mar
No Time to Die: New Bond film release delayed due to coronavirus
9 years ago
Bongo503 Oct
Video: Trailer ya mwisho ya filamu mpya ya James Bond ‘Spectre’