New Video: Butera Knowless f/ Roberto – Te Amo
Video ya wimbo mpya wa msanii wa Rwanda, Butera Knowless aliyomshirikisha Roberto wa Zambia. Wimbo unaitwa Te Amo (Nakupenda) na video imeongozwa na Enos Olik.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/d7QIDsc007k/default.jpg)
10 years ago
Bongo516 Jul
Video: Rwandan singer Butera Knowless releases visuals for her Swahili love song ‘Peke Yangu’
9 years ago
Bongo504 Nov
One Africa: Enos Olik wa Kenya aongoza video ya Butera Knowles wa Rwanda aliyemshirikisha Roberto wa Zambia
![12145346_998184826935184_1820880905_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12145346_998184826935184_1820880905_n-300x194.jpg)
Kiwanda cha muziki cha Afrika kinazidi kuungana pamoja.
Kuanzia Kushoto: Butera Knowles, Enos Olik na Roberto
Miaka ya hivi karibuni wasanii wa Afrika wamekuwa wakishirikiana kwenye nyimbo zao za hivyo kuzidi kuusogeza karibu zaidi muziki wa bara hili.
Baada ya kutoka kuongoza video ya wimbo wa Christian Bella na Alikiba ‘Nagharamia’ iliyofanyika nchini Afrika Kusini, Enos Olik ameongoza tena video ya collabo ya wasanii wa Afrika.
Butera na Roberto walipokuwa wakielekea Nairobi kushoot...
9 years ago
GPL24 Aug
9 years ago
Bongo520 Oct
Video: Roberto Ft. Sebastian Dutch — Am Gon Love Her
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/0hLwcET7JmM/default.jpg)
11 years ago
Michuzi17 Mar
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Roberto Martinez aitupia lawama FA
LONDON, ENGLAND
KOCHA wa Klabu ya Everton, Roberto Martinez, amekitupia lawama Chama cha Soka nchini Uingereza kwa utaratibu wa dirisha la usajili kuwa wazi wakati Ligi Kuu ikiwa inaendelea.
Martinez amesema kuwa hali hiyo itawafanya wachezaji wasifikirie michezo inayokuja na kuwazia juu ya kusajiliwa.
Ligi hiyo imeanza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki iliyopita lakini dirisha la usajili linatarajia kufungwa Septemba 1 mwaka huu.
Martinez ameyaeleza hayo baada ya kutoka sare ya 2-2 dhidi ya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zYvUvcLXovCOKbDIhgOUFSem-zIC2dBZ7fDIMGbVXngPJumTts4cM49WmnoAWX5dE97dZAkvvEnz*Rxe-QvgPoTyRgcsSTQv/photo.jpg?width=650)
ROBERTO: MTANGAZAJI ALIYETOLEWA N A AMARULAH