Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Video: Butera Knowless f/ Roberto – Te Amo

Neww

Video ya wimbo mpya wa msanii wa Rwanda, Butera Knowless aliyomshirikisha Roberto wa Zambia. Wimbo unaitwa Te Amo (Nakupenda) na video imeongozwa na Enos Olik.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Video: Rwandan singer Butera Knowless releases visuals for her Swahili love song ‘Peke Yangu’

Rwanda’s songbird, Butera Knowless, born Butera jeanne d’Arc, has released visuals for her latest single ‘Peke Yangu. ‘Peke Yangu’ is a love song in Swahili, although it’s not her first single to use Swahili language. Her previous single ‘Tulia’ was also in Swahili. She started releasing Swahili songs after realizing that Swahili is widely used […]

 

9 years ago

Bongo5

One Africa: Enos Olik wa Kenya aongoza video ya Butera Knowles wa Rwanda aliyemshirikisha Roberto wa Zambia

12145346_998184826935184_1820880905_n

Kiwanda cha muziki cha Afrika kinazidi kuungana pamoja.

12145346_998184826935184_1820880905_n
Kuanzia Kushoto: Butera Knowles, Enos Olik na Roberto

Miaka ya hivi karibuni wasanii wa Afrika wamekuwa wakishirikiana kwenye nyimbo zao za hivyo kuzidi kuusogeza karibu zaidi muziki wa bara hili.

Baada ya kutoka kuongoza video ya wimbo wa Christian Bella na Alikiba ‘Nagharamia’ iliyofanyika nchini Afrika Kusini, Enos Olik ameongoza tena video ya collabo ya wasanii wa Afrika.

1941275_1656963451187936_1818602726_n
Butera na Roberto walipokuwa wakielekea Nairobi kushoot...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Roberto Ft. Sebastian Dutch — Am Gon Love Her

Hii ni video mpya ya wimbo wa msanii Roberto kutoka Zambia baada ya kufanya vizuri na wimbo wa “Amarula” huu ni wimbo wake mwingine unaitwa “Am Gon Love Her” amemshirikisha Sebastian Dutch. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia […]

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mtanzania

Roberto Martinez aitupia lawama FA

Roberto MartinezLONDON, ENGLAND

KOCHA wa Klabu ya Everton, Roberto Martinez, amekitupia lawama Chama cha Soka nchini Uingereza kwa utaratibu wa dirisha la usajili kuwa wazi wakati Ligi Kuu ikiwa inaendelea.

Martinez amesema kuwa hali hiyo itawafanya wachezaji wasifikirie michezo inayokuja na kuwazia juu ya kusajiliwa.

Ligi hiyo imeanza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki iliyopita lakini dirisha la usajili linatarajia kufungwa Septemba 1 mwaka huu.

Martinez ameyaeleza hayo baada ya kutoka sare ya 2-2 dhidi ya...

 

9 years ago

GPL

ROBERTO: MTANGAZAJI ALIYETOLEWA N A AMARULAH

Mwanamuziki kutoka nchini Zambia, Roberto. Andrew Carlos
MWAKA 2000 aliibuka mwanamuziki wa kike kutoka nchini Zambia, Samantha Tamania Anne Cecilia Mumba ‘Samantha Mumba’ na kuweka historia Afrika kuwa miongoni mwa wanamuziki walioteka ulimwengu wa muziki wa R&B kupitia ngoma kama Gotta Tell You. Mwaka 2002 akaionesha Afrika na dunia nzima kuwa hakubahatisha baada ya kuibuka tena na Ngoma ya I’m Right Here...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani