Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Video: Eric — Maisha Safari

Angalia Video Mpya kutoka kwa Eric ngoma inaitwa “Maisha Safari” video imeongozwa na Kwetu Studio

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Eric Omondi – Je Utanipea

eric-omondi

Mchekeshaji maarufu Africa mashariki Eric Omondi kutoka Nchini Kenya ameachia Video yake alio ifanyia remix nyimbo ya Diamondplatnumz kaimba Eric kabadilisha kutoka “Je Utanipenda” na Kuwa “Je Utanipea? akimanisha kuwa Je demu wake atampa?
Ikumbukwe kuwa Erick alisha fanya remix nyimbo ya nasema nawe ya Diamond na kuwa “Nabeba Mawe”.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia...

 

10 years ago

Mwananchi

Maisha safari ndefu

Maisha kuwa makini, pale panapo kuweza, Maisha sawa vitani, Nyau Titu nakujuza, Kuwa kwako sumbukoni, kasome na kujifunza, Maisha safari ndefu, furaha chuki huzuni.

 

9 years ago

MillardAyo

Sekunde 30 za kuenjoy na Eric Omondi alivyojiimbia ‘Utanipenda’ ya Diamond.. (+Video)

Unajua kwenye namba ya wakali wa comedy wenye majina makubwa kutokea East Africa, jina la Eric Omond nalo limo !! Eric huwa anarudia kwa kuimba style na maneno yake mwenyewe, na bado anarudia na video kwa mtindo wa pekeyake… Utanipenda ndio jina la ‘hit’ ya Diamond iliyokamata mawimbi sasahivi… basi cheki na hii aliyoirudia Eric Omondi […]

The post Sekunde 30 za kuenjoy na Eric Omondi alivyojiimbia ‘Utanipenda’ ya Diamond.. (+Video) appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

Safari ya maisha ya Profesa Mwandosya

Wahenga walishasema maisha ni safari ndefu. Ni ukweli ulio dhahiri kwamba viongozi wengi wanaolitumikia taifa hili katika nyadhifa kubwa na tofauti wamepita katika hatua nyingi za maisha tangu kuzaliwa kwao.

 

10 years ago

Michuzi

ISOME HAPA SAFARI NZIMA YA MAISHA YA MAREHEMU MCH.MTIKILA


Imeandaliwa na Mzee wa matukio daima.
MCHUNGAJI Christopher Mtikila ni Mwenyekiti wa chama cha Democratic Party (DP) ambacho kina usajili wa kudumu hapa nchini. 
Mtikila alizaliwa mwaka 1950 mkoani Iringa, kusini mwa nchi yetu.(Kwa bahati mbaya, hadi nachapisha uchambuzi huu sikupata taarifa za elimu yake) kwani hakuwa mwepesi kutoa ushirikiano mwezi mmoja uliopita alisafiri kwenda nje ya nchi na kurejea wakati nikiwa katika hatua za mwisho za uhariri.
Pamoja na shughuli za siasa, Mchungaji...

 

5 years ago

BBCSwahili

Wapenzi wasioona waliofunga pingu za maisha wasimulia safari yao ya mapenzi

Mpiga picha wa India alipiga picha za wapenzi ambao mapenzi hayakuangalia muonekano.

 

10 years ago

Bongo5

Video: Damian Soul akiongelea safari yake kimuziki

Diamond Soul ni mmoja wa wasanii wa rnb na soul wanaofanya vizuri kwa sasa nchini. Tayari ameshatoa ngoma kadhaa kali zikiwemo Ni Penzi na Baraka ambazo zote amemshirikisha Joh Makini. Mfahamu zaidi kwa kutazama mahojiano tuliyofanya naye hivi karibuni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani