NEW VIDEO: OVER YOU - NAZIZI
VIDEO: OVER YOU ARTIST: NAZIZI DIRECTOR: CREAM VISION FILMS PRODUCER: SAPPY, LOVE CHILD RECORDS
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Nazizi aibukia kwenye Kickboxer
MKALI wa muziki wa reggae aliyewahi kuwa katika kundi la Necessary Noise la nchini Kenya, Nazizi Hirji, ameungana na msanii wa Tanzania, Zola D kwa ajili ya mafunzo ya mchezo unaotumia ngumi na mateke (Kickboxer).
Nazizi alisema amejiunga na mchezo huo ili aweke mwili wake sawa huku akidai ataendelea kuvumilia changamoto zikiwemo mazoezi magumu anayopata katika mafunzo ya mchezo huo.
“Baada ya kucheza mchezo huo uzito wangu umepungua, nazidisha kujituma katika mazoezi hayo kwa kuwa naamini...
9 years ago
Bongo502 Jan
Zola D na Nazizi kuja na ‘Workout TV Show’
![Zola Dee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Zola-Dee-300x194.jpg)
Rapper Zola D na rapper wa kike wa Kenya, Nazizi wanatarajia kuja na kipindi cha TV kiitwacho ‘Workout TV Show’ kitakachohusiana na ufanyaji mazoezi na kitaoneshwa kwenye runinga za nchini Kenya.
Zola D amesema project hiyo haitomzuia kutoa burudani kwa mashabiki wake kupitia muziki .
“Kwenye muziki bado nipo poa na hivi tayari nina kazi kadhaa na video ambazo nitaachia hivi karibuni, sema nilikuwa busy na maandalizi ya TV Show yetu mimi na Nazizi wa Kenya,” ameiambia Bongo5.
“Lakini kwenye...
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Nazizi aibukia kwenye Kick boxer
NAIROBI, Kenya
MKALI wa muziki wa reggae aliyewahi kuwa katika kundi la Necessary Noise la nchini Kenya, Nazizi Hirji, ameungana na msanii wa Tanzania, Zola D kwa ajili ya mafunzo ya mchezo unaotumia ngumi na mateke (Kick boxer).
Nazizi alisema amejiunga na mchezo huo ili aweke mwili wake sawa, huku akidai ataendelea kuvumilia changamoto, zikiwemo mazoezi magumu anayopata katika mafunzo ya mchezo huo.
“Baada ya kucheza mchezo huo uzito wangu umepungua, nazidisha kujituma katika mazoezi hayo...