Zola D na Nazizi kuja na ‘Workout TV Show’
Rapper Zola D na rapper wa kike wa Kenya, Nazizi wanatarajia kuja na kipindi cha TV kiitwacho ‘Workout TV Show’ kitakachohusiana na ufanyaji mazoezi na kitaoneshwa kwenye runinga za nchini Kenya.
Zola D amesema project hiyo haitomzuia kutoa burudani kwa mashabiki wake kupitia muziki .
“Kwenye muziki bado nipo poa na hivi tayari nina kazi kadhaa na video ambazo nitaachia hivi karibuni, sema nilikuwa busy na maandalizi ya TV Show yetu mimi na Nazizi wa Kenya,” ameiambia Bongo5.
“Lakini kwenye...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo531 Oct
Nick wa Pili kuja kuja na wimbo ‘Baba Swalehe’
![nikki wa pili](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/03/nikki-wa-pili-94x94.jpg)
10 years ago
GPL11 Jan
NEW VIDEO: OVER YOU - NAZIZI
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Nazizi aibukia kwenye Kickboxer
MKALI wa muziki wa reggae aliyewahi kuwa katika kundi la Necessary Noise la nchini Kenya, Nazizi Hirji, ameungana na msanii wa Tanzania, Zola D kwa ajili ya mafunzo ya mchezo unaotumia ngumi na mateke (Kickboxer).
Nazizi alisema amejiunga na mchezo huo ili aweke mwili wake sawa huku akidai ataendelea kuvumilia changamoto zikiwemo mazoezi magumu anayopata katika mafunzo ya mchezo huo.
“Baada ya kucheza mchezo huo uzito wangu umepungua, nazidisha kujituma katika mazoezi hayo kwa kuwa naamini...
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Nazizi aibukia kwenye Kick boxer
NAIROBI, Kenya
MKALI wa muziki wa reggae aliyewahi kuwa katika kundi la Necessary Noise la nchini Kenya, Nazizi Hirji, ameungana na msanii wa Tanzania, Zola D kwa ajili ya mafunzo ya mchezo unaotumia ngumi na mateke (Kick boxer).
Nazizi alisema amejiunga na mchezo huo ili aweke mwili wake sawa, huku akidai ataendelea kuvumilia changamoto, zikiwemo mazoezi magumu anayopata katika mafunzo ya mchezo huo.
“Baada ya kucheza mchezo huo uzito wangu umepungua, nazidisha kujituma katika mazoezi hayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NszFa7NTsoI/Xkg-6HN82hI/AAAAAAALdhs/RzCmMJiYjiscFub-uKaQLNU0u0W6ws7DwCLcBGAsYHQ/s72-c/17703646_303.jpg)
Kampuni ya Zola yaahidi kutoa mitambo kwa wanafunzi
Ahadi hiyo ilitolewa jana Jijini Arushawakati wa uzinduzi wa ofisi ya Zola mkoani Arusha,Mkurugenzi wa Kampuni ya Zola Afrika Mashariki Yusuph Nassor alisema serikali ya sasa imejilota mumsaidia mtoto kielimu kwa kutoa elimu bure, hivyo na wao wanaunga mkono jitihada hizo.
Licha ya kusaidia sekta ya elimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zlcMpwazgzU/XmansLasytI/AAAAAAALiVM/wJnlKqZYzHw4bI1ngjt7qZU4HvaqUxS0ACLcBGAsYHQ/s72-c/5d114982-8ab2-470e-88ba-419bff7f2f4a.jpg)
Kampeni ya Bukua na Ushinde’ya kampuni ya ZOLA yazinduliwa Dar Es Salaam
Kampeni ya kampuni ya ZOLA Electric Tanzania, ambayo zamani ilijulikana kama Mpower, inayolenga kuhamasihisha wanafunzi wa sekondari kusoma kwa bidii ijulikanayo kama ‘Bukua na Ushinde’ imezinduliwa wilayani Ilala jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Kupitia kampeni hii ambayo pia imelengakusaidia jamii na kuunga mkono jitihada za serikali kuboresha sekta ya elimu, ambapo itazawadia vifaa vya nishati ya umeme wa jua...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83257000/jpg/_83257423_83257415.jpg)
VIDEO: Street workout to get SA children fit
5 years ago
CNET04 Apr
Best workout headphones in 2020: Apple, Beats, Bose and more compared
5 years ago
The Citizen Daily09 Apr
Museveni to post workout video to show Ugandans how to exercise