Kampeni ya Bukua na Ushinde’ya kampuni ya ZOLA yazinduliwa Dar Es Salaam
![](https://1.bp.blogspot.com/-zlcMpwazgzU/XmansLasytI/AAAAAAALiVM/wJnlKqZYzHw4bI1ngjt7qZU4HvaqUxS0ACLcBGAsYHQ/s72-c/5d114982-8ab2-470e-88ba-419bff7f2f4a.jpg)
Kunufaisha wanafunzi wakaofanya vizuri katika mitihani yao ya taifa
Kampeni ya kampuni ya ZOLA Electric Tanzania, ambayo zamani ilijulikana kama Mpower, inayolenga kuhamasihisha wanafunzi wa sekondari kusoma kwa bidii ijulikanayo kama ‘Bukua na Ushinde’ imezinduliwa wilayani Ilala jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Kupitia kampeni hii ambayo pia imelengakusaidia jamii na kuunga mkono jitihada za serikali kuboresha sekta ya elimu, ambapo itazawadia vifaa vya nishati ya umeme wa jua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NszFa7NTsoI/Xkg-6HN82hI/AAAAAAALdhs/RzCmMJiYjiscFub-uKaQLNU0u0W6ws7DwCLcBGAsYHQ/s72-c/17703646_303.jpg)
Kampuni ya Zola yaahidi kutoa mitambo kwa wanafunzi
Ahadi hiyo ilitolewa jana Jijini Arushawakati wa uzinduzi wa ofisi ya Zola mkoani Arusha,Mkurugenzi wa Kampuni ya Zola Afrika Mashariki Yusuph Nassor alisema serikali ya sasa imejilota mumsaidia mtoto kielimu kwa kutoa elimu bure, hivyo na wao wanaunga mkono jitihada hizo.
Licha ya kusaidia sekta ya elimu...
9 years ago
MichuziKAMPUNI MPYA YA SIMU YAZINDULIWA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-6IYbFZA1nnM/ViB28AD6IFI/AAAAAAAIAMc/GoFzs7YDYeY/s640/02.jpg)
11 years ago
GPLKAMPENI YA KUPAMBANA NA HOMA YA INI YAZINDULIWA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vIsRoygPXgA/VWuMQ5bFa_I/AAAAAAABgyc/_7zhr0brRAc/s72-c/A.jpg)
KAMPENI YA UELEWA KUHUSU TATIZO LA USONJI YAZINDULIWA JIJINI DAR
Familia nyingi Tanzania hazina ufahamu wa hali hii
Kliniki ya Lotus kwa kushirikiana na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zimeanzisha kampeni mpya inayolenga kuelimisha uma kuhusu ugonjwa wa usonji (autism), ambao watanzania wengi hawaufahamu.Ugomjwa huu sasa unatishia familia nyingi kwani dalili zake huanza utotoni na zinaweza kuendelea hadi ukubwani.Akizugumza wakati wa uzinduzi huo Jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Chama cha Kuhudumia...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-woQ-3_rGb-Y/UymtirLwO8I/AAAAAAACc_k/Vz0hw1o4_TA/s72-c/2.jpg)
KAMPUNI MPYA YA MTANDAO WA SIMU ZA MIKONINI SMART TELECOM YAZINDULIWA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-woQ-3_rGb-Y/UymtirLwO8I/AAAAAAACc_k/Vz0hw1o4_TA/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ezRJ3-ldIRk/Uymti6KVtqI/AAAAAAACc_s/OUYuA2qhpIc/s1600/3.jpg)
10 years ago
Habarileo26 Mar
Treni ya kisasa yazinduliwa Dar es Salaam
TRENI nne za kisasa za mizigo mali ya Shirika la Reli nchini (TRL) zinazokwenda nchi nne za Ukanda wa Kati zimezinduliwa jana jioni Dar es Salaam kwenda kwenye nchi hizo, tukio lililoshuhudiwa na marais na wawakilishi wa nchi husika.
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Paisha yazinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam
Mgeni rasmi ambae pia ni rais wa Makampuni ya Convivium Africa Investment, Ndg Alfonso ippolito akizungumza machache wakati wa uzinduzi wa platform mpya ya matangazo iliyozinduliwa hapo jana katika hoteli ya Serena.Paisha ni platform ya matangazo ambayo inapatikana kupitia simu za mkononi yaani smartphone na kupitia tovuti ambapo watumiaji wa simu za smartphone wanaweza kuipakua kupitia google play and playstore bure kabisa.
Meneja bidhaa wa Paisha, Godfrey Fataki akizungumzia jinsi...