Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nazizi aibukia kwenye Kickboxer

nazMKALI wa muziki wa reggae aliyewahi kuwa katika kundi la Necessary Noise la nchini Kenya, Nazizi Hirji, ameungana na msanii wa Tanzania, Zola D kwa ajili ya mafunzo ya mchezo unaotumia ngumi na mateke (Kickboxer).

Nazizi alisema amejiunga na mchezo huo ili aweke mwili wake sawa huku akidai ataendelea kuvumilia changamoto zikiwemo mazoezi magumu anayopata katika mafunzo ya mchezo huo.

“Baada ya kucheza mchezo huo uzito wangu umepungua, nazidisha kujituma katika mazoezi hayo kwa kuwa naamini...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Nazizi aibukia kwenye Kick boxer

Nazizi na Zora DNAIROBI, Kenya

MKALI wa muziki wa reggae aliyewahi kuwa katika kundi la Necessary Noise la nchini Kenya, Nazizi Hirji, ameungana na msanii wa Tanzania, Zola D kwa ajili ya mafunzo ya mchezo unaotumia ngumi na mateke (Kick boxer).

Nazizi alisema amejiunga na mchezo huo ili aweke mwili wake sawa, huku akidai ataendelea kuvumilia changamoto, zikiwemo mazoezi magumu anayopata katika mafunzo ya mchezo huo.

“Baada ya kucheza mchezo huo uzito wangu umepungua, nazidisha kujituma katika mazoezi hayo...

 

10 years ago

GPL

NEW VIDEO: OVER YOU - NAZIZI

VIDEO: OVER YOU ARTIST: NAZIZI DIRECTOR: CREAM VISION FILMS PRODUCER: SAPPY, LOVE CHILD RECORDS

 

9 years ago

Bongo5

Zola D na Nazizi kuja na ‘Workout TV Show’

Zola Dee

Rapper Zola D na rapper wa kike wa Kenya, Nazizi wanatarajia kuja na kipindi cha TV kiitwacho ‘Workout TV Show’ kitakachohusiana na ufanyaji mazoezi na kitaoneshwa kwenye runinga za nchini Kenya.

Zola Dee

Zola D amesema project hiyo haitomzuia kutoa burudani kwa mashabiki wake kupitia muziki .

“Kwenye muziki bado nipo poa na hivi tayari nina kazi kadhaa na video ambazo nitaachia hivi karibuni, sema nilikuwa busy na maandalizi ya TV Show yetu mimi na Nazizi wa Kenya,” ameiambia Bongo5.

“Lakini kwenye...

 

10 years ago

Mtanzania

Mongela aibukia Chadema

Kada wa CCM, Balozi Getrude Mongella, akisalimiana na mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), Hawa Mwaifunga (kulia), wakati wa ufunguzi wa mkutano wa uchaguzi wa viongozi wa baraza hilo jijini Dar es Salaam jana. Picha na Fidelis Felix

Kada wa CCM, Balozi Getrude Mongella, akisalimiana na mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), Hawa Mwaifunga (kulia), wakati wa ufunguzi wa mkutano wa uchaguzi wa viongozi wa baraza hilo jijini Dar es Salaam jana. Picha na Fidelis Felix

NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Gertrude Mongela, ameibukia kwenye Uchaguzi Mkuu wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema (BAWACHA), na kueleza kwamba wanawake...

 

11 years ago

GPL

Yondani aibukia Arusha

Beki wa Yanga, Kelvin Yondani ‘Vidic’. Na Martha Mboma
SIKU moja baada ya gazeti hili kuripoti kuwa beki wa Yanga, Kelvin Yondani ‘Vidic’, hajulikani alipo, huku baba yake mzazi, mzee Patrick Yondani, akikiri juu ya hilo, mchezaji huyo amerejea kikosini na kujiunga na msafara ulienda Arusha kucheza mechi dhidi ya JKT Oljoro. Yondani japokuwa amesafili na timu hiyo lakini kuna kila dalili kuwa mchezaji...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ngassa aibukia Yanga

mshambuliaji Mrisho Ngassa ameibukia katika klabu yake ya zamani, Yanga na kufanya mazoezi ili kujiweka fiti.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lowassa aibukia ACT

IMEGUNDULIKA kwamba Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (CCM) ndiye mfadhili mkuu na mpanga mikakati mkuu wa kundi linalomfuata Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), ambalo limeanzisha chama kipya cha...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Profesa Lipumba aibukia Kigali

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu unawanyima demokrasia wananchi kwa kuwa watakuwa na wagombea urais wawili kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Akizungumza na kituo cha runinga cha Azam juzi baada ya vyombo kadhaa vya habari kuandika uvumi kwamba ametoweka nchini kwa shinikizo huku akiwa amefadhaika, Profesa Lipumba alikanusha taarifa hizo na kuonyesha masikitiko yake jinsi Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa)...

 

10 years ago

Habarileo

Arfi wa Chadema aibukia CCM

Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi, akizungumza na waandishi wa habari.MBUNGE wa jimbo la Mpanda Mjini kwa miongo miwili, Said Amour Alfi (Chadema) amejiunga rasmi na CCM. Amekuwa miongoni mwa makada 23 wa chama hicho, waliochukua na kurejesha fomu za kuomba kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani