Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Video: Tox Star Ft Seseme — Ole

Video mpya kutoka kwa msanii Tox Star akimshirikisha Seseme wimbo uanaitwa “Ole” video imeongozwa na Jeff

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

10 years ago

GPL

9 years ago

Michuzi

ELISANTE OLE GABRIEL AZINDUA FAINALI ZA AIRTEL RISING STAR JIJINI DAR ES SALAAM

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Elisante Ole Gabriel leo Jumapili, Septemba 13, amezindua rasmi michuano ya Airtel Rising Stars kitaifa kwenye uwanja wa Karume jijini Dar es salaam.Akiongea wakati wa uzinduzi wa michuano hiyo, Ole Gabreil ameipongeza kampuni ya simu za mkononi ya Airtel nchini kwa kuendesha michuano hiyo, ambayo inawapa nafasi vijana wa kike na kiume kuonyesha vipaji vyao vya kucheza mpira wa miguu.Ole Gabriel ameiomba Airtel kuendelea...

 

11 years ago

Bongo5

Video: Linah azungumzia video ya Ole Themba, aeleza sababu ya kuonesha utamaduni wa kizulu

Linah amesema uamuzi wa kutumia utamaduni wa kizulu kwenye video yake ya ‘Ole Themba’ (‘tumaini’ kwa Kiswahili), ni kutanua soko la muziki na pia Afrika Kusini ni kama ndugu wa Tanzania hivyo anaamini kubalishana utamaduni ni jambo jema. Akiongea kwenye mahojiano na Bongo5, Linah amesema video ya wimbo huo imeigharimu kampuni inayomsimania, No Fake Zone, […]

 

11 years ago

Bongo5

Video: Teaser ya video mpya ya Linah ‘Ole Themba’ aliyoshoot Afrika Kusini na director GodFather

Baada ya Diamond Platnumz, Ommy Dimpoz na wasanii wengine wachache wa Tanzania kuanza kutafuta upenyo wa kulikamata soko la kimataifa, msanii wa kike Linah Sanga naye ameongezeka kwenye orodha hiyo. Hivi karibuni Linah alikuwa nchini Afrika Kusini ambako alifanikiwa kurekodi nyimbo kadhaa na maprodyuza wa huko akiwa chini ya usimamizi wake mpya. Licha ya kurekodi […]

 

11 years ago

Bongo5

New Video: Linah — Ole Themba

Hatimaye video mpya ya Linah aliyoifanya Afrika Kusini na muongozaji GodFather imeachiwa rasmi. Wimbo unaitwa ‘Ole Themba, video na audio vyote vimefanyika Afrika Kusini. Linah ambaye kwa sasa ana uongozi mpya uitwao No Fake Zone Entertainment (NFZ), jana ameagwa rasmi na Tanzania House of Talenta (THT) iliyompika na kumlea hadi alipopata jina na kuanza kujitegemea.

 

11 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani