NEWZ ALERT: MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI,AMJULIA HALI BI HELLEN KIJO BISIMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-azfiwlfwiR8/VkCTr4Wqs0I/AAAAAAADB_8/6bL25eYMV6M/s72-c/12234865_10153753965789345_196551622758800344_n.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimjulia hali Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za Binadam,Bi Hellen Kijo Bisimba aliyelazwa hospital ya Agakhan mapema leo kufuatia ajali ya gari aliyoipata mwishoni mwa wiki barabara ya Al-Hassan Mwinyi jijini Dar, Dkt Magufuli pia amefanya ziara ya kushtukiza katika hopsitali ya Taifa ya Muhimbili ikiwemo pia alitembelea wodi mbalimbali za wagonjwa na kuwajulia hali zao.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qKdvPbo3dMk/XlqfazeDnnI/AAAAAAALgKE/AepBIr9ij-Agl_tYGozXy16MFs24BUYiACLcBGAsYHQ/s72-c/20200229_171553.jpg)
NEWZ ALERT: Rais Magufuli amjulia hali Mzee Mangula Hospitalini Muhimbili
![](https://1.bp.blogspot.com/-qKdvPbo3dMk/XlqfazeDnnI/AAAAAAALgKE/AepBIr9ij-Agl_tYGozXy16MFs24BUYiACLcBGAsYHQ/s640/20200229_171553.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo tarehe 29 Februari, 2020 amemtembelea na kumjulia hali Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula ambaye amelazwa katika chumba cha uangalizi maalum katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.Ndg. Mangula aliugua ghafla jana na kisha kukimbizwa hospitali kwa matibabu.
![](https://1.bp.blogspot.com/-_euRxtzEVi4/XlqfbFx0vKI/AAAAAAALgKI/IjecBetw02s7XXeq3P3Bou0Z17KzZ-z_wCLcBGAsYHQ/s640/20200229_171741.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IT5ThVq_ZhA/XlqfbHRei4I/AAAAAAALgKM/1tX9HkwoxQUlucLT3bzmh3trrFWX9QALQCLcBGAsYHQ/s640/20200229_172106.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rQicRrfdA7M/XlqfcMp5sXI/AAAAAAALgKQ/FPD4KBDF3K8wJis7supbWUBprTOrUGlkACLcBGAsYHQ/s640/20200229_172107.jpg)
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
Ajali ya Mkurugenzi wa kituo cha LHRC, Dr. Hellen Kijo Bisimba yaibua maswali mitandao ya kijamii!
Picha ya ajali hiyo kama inavyoonekana (Picha kwa hisani ya mitandao ya kijamii).
[DAR ES SALAAM-TANZANIA] Saa chache zilizopita imetokea ajali mbaya inayoelezwa kuwa mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC.Dr. Hellen Kijo Bisimba amekumbwa na ajali hiyo na kukimbizwa Hospital kwa matibabu zaidi.
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya habari ikiwemo mtandao wa habari wa Jamiiforum (JF) umechapisha taarifa hiyo pamoja na picha na kueleza kuwa ajali imetokea Barabara ya Ali...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Kigwangalla Afanya Ziara ya Kushtukiza Hospitali za Rufaa Lindi na Mtwaraâ€
Kaimu Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Damasiana Msalla akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea kwenye wodi za hospitali wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya mkoa wa Lindi.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga akimkaribisha Dkt. Hamisi Kigwangalla alipotembelea wodi za hospitali hiyo wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoa wa Lindi.Katikati...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lPWwKsoWXn4/VmxMopWsORI/AAAAAAAIL8w/76NnhuNnxeM/s72-c/201512120815%252C52.jpg)
WAZIRI WA AFYA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA MWANANYAMALA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-lPWwKsoWXn4/VmxMopWsORI/AAAAAAAIL8w/76NnhuNnxeM/s640/201512120815%252C52.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ITALQRWR9Mc/VmxMo0GxL2I/AAAAAAAIL8s/tj7_ifV35PQ/s640/2015121208155%252C1.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cSwPJlayw1M/XlqYNakadVI/AAAAAAACIAo/AwWYRraRx6IBDz2aMKvG3tJmYxYzM73MACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AMTEMBELEA KUMJULIA HALI MZEE MAGULA AMBAYE AMELAZWA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-cSwPJlayw1M/XlqYNakadVI/AAAAAAACIAo/AwWYRraRx6IBDz2aMKvG3tJmYxYzM73MACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-KP7s6ibHGNY/XlqYNWFjbuI/AAAAAAACIAs/J958LarX3skYP2qam-e7zBP-YrN86BvNgCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kxwngdLZIns/XlqYNcMSD6I/AAAAAAACIAw/YoYl5iTnxAAQuRTMmdj0bo0EZ1sIh3aiQCLcBGAsYHQ/s400/3.jpg)
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Hazina Kuu
9 years ago
MichuziRais Magufuli afanya Ziara ya Kushtukiza Hazina
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AMJULIA HALI MUADHAMA KADINALI POLYCARP PENGO ANAYEFANYIWA UCHUNGUZI WA AFYA YAKE MUHIMBILI
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Naibu Waziri Dkt. Kigwangalla afanya ziara ya kushtukiza leo katika hospitali za rufaa mikoa ya Lindi na Mtwara
Kaimu Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Damasiana Msalla akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea kwenye wodi za hospitali wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya mkoa wa Lindi.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog)
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga akimkaribisha Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi...