Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali ya Mkurugenzi wa kituo cha LHRC, Dr. Hellen Kijo Bisimba yaibua maswali mitandao ya kijamii!

10989453_856894261097306_3195698131161374537_o

Picha ya ajali hiyo kama inavyoonekana (Picha kwa hisani ya mitandao ya kijamii).

[DAR ES SALAAM-TANZANIA]  Saa chache zilizopita imetokea ajali mbaya inayoelezwa kuwa mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC.Dr. Hellen Kijo Bisimba amekumbwa na ajali hiyo  na  kukimbizwa Hospital kwa matibabu zaidi.

Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya habari ikiwemo mtandao wa habari wa Jamiiforum (JF) umechapisha taarifa hiyo pamoja na picha na kueleza  kuwa  ajali imetokea Barabara ya Ali...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT: MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI,AMJULIA HALI BI HELLEN KIJO BISIMBA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimjulia hali Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za Binadam,Bi Hellen Kijo Bisimba aliyelazwa hospital ya Agakhan mapema leo kufuatia ajali ya gari aliyoipata mwishoni mwa wiki barabara ya Al-Hassan Mwinyi jijini Dar, Dkt Magufuli pia amefanya ziara ya kushtukiza katika hopsitali ya Taifa ya Muhimbili ikiwemo pia alitembelea wodi mbalimbali za wagonjwa na kuwajulia hali zao. 

 

9 years ago

Mtanzania

Dk. Kijo Bisimba afanyiwa upasuaji

Dr-Helen-Kijo-BisimbaVeronica Romwald na Nicodemas Kikwati (GHITBS), Dar es Salaam

MKURUGENZI wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk. Hellen Kijo Bisimba, amefanyiwa upasuaji wa mguu  wa kushoto.

Upasuaji huo umefanyika  katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI).

Akizungumza na MTANZANIA jana hospitalini hapo, Dk. Bisimba alisema alifanyiwa upasuaji huo  juzi jioni na   anaendelea vizuri na matibabu.

“Namshukuru Mungu naendelea vizuri, nimefanyiwa upasuaji na madaktari wameniwekea...

 

9 years ago

Mwananchi

Mkurugenzi LHRC apata ajali Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk Hellen-Kijo Bisimba amepata ajali ya gari na kujeruhiwa sehemu mbalimbali za mwili wake.

 

9 years ago

Habarileo

Kijo-Bisimba anusurika kifo ajalini

MKURUGENZI wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk Helen Kijo-Bisimba amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akitembelea kuacha njia na kupinduka jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Kijo-Bisimba adai wajumbe hawaaminiani

Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk. Helen-Kijo Bisimba amepinga utaratibu wa upigaji wa kura katika kupitisha Rasimu ya Katiba Mpya akisema wajumbe wengi hawaaminiani ndiyo maana kuna mvutano katika suala la kura.

 

10 years ago

Dewji Blog

EU Wampa Tuzo Mama Helen- Kijo Bisimba

MAMA

Umoja wa Ulaya umemtunuku Mama Helen Kijo- Bisimba (pichani) kutokana na mchango wake kwa ajili ya kutetea na kulinda haki za binadamu nchiini.

Tuzo hiyo, ilitolewa juzi na EU siku ya Jumanne wiki hii jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa Mwaka  wa Maendeleo Ulaya  2015.

Balozi wa Umoja wa Ulaya bwana Filberto Sebregondi alitoa tuzo hizo na kusema kuwa lengo lake ni kusimamia haki kwenye masuala ya kiulimwengu ikiwemo  kupambana na umasikini na kuhamasisha raia kujihusisha na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk.Kijo-Bisimba: Haki za binadamu bado zinavunjwa

TANZANIA ni moja kati ya nchi zinazokabiliana na matukio mbalimbali ya ukatili wa kijinsia, licha ya juhudi zinazofanyika ili kulinda haki za binadamu. Makala haya yanamuangazia mmoja kati ya wanawake...

 

10 years ago

GPL

EU WAMPA TUZO MAMA HELEN- KIJO BISIMBA‏

Dr. Helen Kijo Bisimba akiwa ameshikilia tuzo yake Tuzo hiyo, ilitolewa juzi na EU siku ya Jumanne wiki hii jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa Mwaka  wa Maendeleo Ulaya  2015.…

 

11 years ago

Dewji Blog

NHC yakanusha taarifa za upotashaji zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii na gazeti kuhusiana na Mkurugenzi wa Shirika hilo

138

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba NHC Bw. David Shambwe akisoma taarifa ya shirika hilo kukanusha taarifa zilizoandikwa na gazeti moja la kila siku na mitandao ya kijamii kuwa Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu Kyando ameundiwa zengwe na baadhi ya wabunge ili aondolewe katika shirika hilo, wanaofuaia katika picha ni Muungano Saguya Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii, Bw. Martin Mdoe Mkuu wa Kitengo cha Sheria na Benedict Kilimba Mkurugenzi wa Uendeshaji Miliki

2

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani