Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngeleja: Yes, I took Escrow cash, but...

>Former Cabinet minister William Ngeleja found himself on the spot yesterday over Sh40.4 million he reportedly received from controversial Dar es Salaam businessman James Rugemalira.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Ngeleja amtumia Zitto kujitetea Escrow

willium NgelejaNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja (CCM), ameishangaa hatua ya Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kumtaka ajibu mashtaka ya kukiuka maadili ya umma.
Ngeleja pia aliishangaa sekretarieti hiyo kwa kile alichosema ‘limemuacha Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema)’ aliyedaiwa kufanya kosa linalofanana na lake kwa kupewa zaidi ya Sh milioni 30 kutoka Kampuni ya Pan African Solution Ltd (PAP).
Alitoa shutuma hizo Dar es Salaam jana...

 

10 years ago

Vijimambo

Moto Escrow wambabua Ngeleja jimboni.

Kashfa ya uchotwaji fedha zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imemuweka katika wakati mgumu Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja (pichani), baada ya wananchi wa jimbo lake kumuweka kiti moto wakimtaka atoe maelezo ya kina kuhusu Sh. milioni 40 alizopewa na mmiliki wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Ltd, James Rugemalira.

Ngeleja ambaye amewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba,...

 

10 years ago

TheCitizen

Prosecute Chenge, Ngeleja over escrow saga: activists

>Activists yesterday called for the arrest and prosecution of chairpersons of parliamentary committees who were implicated in the Public Accounts Committee report on the Tegeta Escrow Account scandal.

 

11 years ago

TheCitizen

Revealed: Who got paid the Sh201bn escrow cash

The $122 million (Sh201 billion), which was at the escrow account held at Bank of Tanzania (BoT), was transferred to Pan Africa Power Solutions (Tanzania) Ltd (PAP) account between November 28 and December 8, last year, The Citizen can reveal today.

 

10 years ago

TheCitizen

PCCB gives damning testimony on escrow cash

The Public Accounts Committee (PAC) yesterday heard how some top government officials and MPs were paid billions of shillings suspected to have come from the Tegeta escrow account.

 

10 years ago

TheCitizen

Civil societies want refund of Tegeta escrow cash

>Coalition of civil society organisations has appealed to the government to demand the immediate and transparent repayment of Sh207 billion from Tegeta escrow account that was fraudulently paid to Pan African Power Solutions Tanzania Limited (PAP).

 

10 years ago

TheCitizen

Ethics tribunal questions Chenge over escrow cash

Mr Chenge insisted that the money was payment for the consultancy

 

10 years ago

TheCitizen

Escrow cash lands top govt officials in court

Two senior public servants appeared in separate chambers at the Kisutu Resident Magistrate’s Court in Dar es Salaam yesterday, charged with corruptly receiving nearly Sh500 million between them from the Tegeta Escrow Account.

 

10 years ago

Vijimambo

Ngeleja ajimaliza Escrow, Adai hajapokea mgawo peke yake, Naye kigogo Ikulu kula kibano leo.

Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja, jana alipanda ‘kizimbani’ mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kujibu malalamiko dhidi yake ya kupokea zaidi ya Sh. milioni 40.4 kutoka kwa mmiliki wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Ltd, James Rugemalira, kinyume cha sheria ya maadili na kuliomba baraza hilo kwamba, iwapo litatumia rungu lake kutoa mwongozo wa adhabu, lisianzie kwake, kwani kitendo alichokifanya hufanywa pia na wabunge wengine.

Ngeleja (47), ambaye amewahi pia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani