Moto Escrow wambabua Ngeleja jimboni.
Kashfa ya uchotwaji fedha zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imemuweka katika wakati mgumu Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja (pichani), baada ya wananchi wa jimbo lake kumuweka kiti moto wakimtaka atoe maelezo ya kina kuhusu Sh. milioni 40 alizopewa na mmiliki wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Ltd, James Rugemalira.
Ngeleja ambaye amewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ouI1tYRpdm4/VYg9WfLAYAI/AAAAAAAAvu0/u7ud9HmDRgI/s72-c/1.%2BKinana%2Bmkutano%2Bsengerema%2Bmjini.jpg)
KINANA ATINGISHA JIMBONI KWA NGELEJA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ouI1tYRpdm4/VYg9WfLAYAI/AAAAAAAAvu0/u7ud9HmDRgI/s640/1.%2BKinana%2Bmkutano%2Bsengerema%2Bmjini.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TNA8NV9lQq4/VYg9VylE1VI/AAAAAAAAvuw/K-Nt6LBt-Ng/s640/2.Kinana%2Bmkutano%2BSengerema%2Bmjini%2B2.jpg)
10 years ago
TheCitizen04 Mar
Ngeleja: Yes, I took Escrow cash, but...
10 years ago
Mtanzania04 Mar
Ngeleja amtumia Zitto kujitetea Escrow
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja (CCM), ameishangaa hatua ya Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kumtaka ajibu mashtaka ya kukiuka maadili ya umma.
Ngeleja pia aliishangaa sekretarieti hiyo kwa kile alichosema ‘limemuacha Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema)’ aliyedaiwa kufanya kosa linalofanana na lake kwa kupewa zaidi ya Sh milioni 30 kutoka Kampuni ya Pan African Solution Ltd (PAP).
Alitoa shutuma hizo Dar es Salaam jana...
10 years ago
TheCitizen30 Dec
Prosecute Chenge, Ngeleja over escrow saga: activists
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-byhRmhnSq9A/VYhauNbjmEI/AAAAAAAC7SU/PW6OWEKHfjs/s72-c/15.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA APOKELEWA KWA SHANGWE JIMBONI KWA NGELEJA LEO,AKAGUA MRADI MKUBWA WA MAJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-byhRmhnSq9A/VYhauNbjmEI/AAAAAAAC7SU/PW6OWEKHfjs/s640/15.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NP8v4adA1L4/VYhayw9EaSI/AAAAAAAC7S8/koQqWmtO87Q/s640/19.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wapo kwenye ziara ya Kukagua na kuimarisha uhai wa chama,Kukagua na kuhimiza utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM...
10 years ago
Vijimambo04 Mar
Ngeleja ajimaliza Escrow, Adai hajapokea mgawo peke yake, Naye kigogo Ikulu kula kibano leo.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ngeleja-04March2015.jpg)
Ngeleja (47), ambaye amewahi pia...
10 years ago
Michuzi24 Sep
DK. TIZEBA ATOA MISAADA KWA WAATHIRKA WA MOTO JIMBONI KWAKE
![SAM_0783](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/SAM_0783.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Dk. Tizeba atoa misaada kwa wahanga wa moto jimboni kwake
Naibu Waziri wa Uchukuzi ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Buchosa, Dk Charles Tizeba akipanda boti kuelekea kisiwa cha Nyamango kulikotokea ajali ya moto kwa ajili ya kukabidhi misaada.
Na Daniel Makaka, Sengerema
NAIBU Waziri wa Uchukuzi ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Buchosa Dk Charles Tizeba ametoa msaada kwa wahanga wa ajali ya moto na nyumba zilizoezuliwa na mvua ya upepo katika kisiwa cha Nyamango kijiji cha Lushamba kata ya Bulyaheke jimbo la Buchosa wilayani Sengerema mkoa wa...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/SAM_0783.jpg)
DK. TIZEBA ATOA MISAADA KWA WAHANGA WA MOTO JIMBONI KWAKE