NGOMA AFRICA BAND AKA FFU KUKAMUA TENA JUKWAANI JUMAMOSI 14 Juni 2014 katika DIETZEN FESTIVAL ,JIRANI NA FRANKFURT
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU ughaibuni wanatarajiwa kutingisha jukwaa tena katika onyesho kubwa la DIETZEN FESTIVAL,litakalofanyika siku ya jumamosi 14 Juni 2014 katika anuani Schwimmbad Freibad Waldschwimmbad Dietzenbach, Offenthaler Straße 85, 63128 Dietzenbach, jirani na Frankfurt,huko Ujeurimani,Muziki wa ngoma africa unafananishwa sawa na gwaride la FFU na wapenzi wa bendi hiyo. Wasilikilize FFU Ughaibuni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNGOMA AFRICA BAND (AKA FFU-UGHAIBUNI)WAFUNGA KAZI VECHELDE FESTIVAL,UJERUMANI
Kikosi Kazi Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni chenye maskani nchini ujerumani juzi siku ya Jumamosi ya 5 September 2015 kilifanikiwa kufunika katika onyesho Vechelde Festival nchini Ujerumani. Bendi hiyo maarufu barani ulaya kwa kuwadatisha washabiki wa muziki wa kiafrika kule ughaibuni imejijenga umaarufu katika kila kona na kuwekwa kileleni katika nafasi ya juu na washabiki wake wakimataifa. Inaongozwa na kamanda Ras Makunja na kuwa na utajiri wa wanamuziki vijana wenye wingi wa...
9 years ago
VijimamboNGOMA AFRICA BAND AKA FFU-UGHAIBUNI WAFUNGA KAZI VECHELDE FESTIVAL,UJERUMANI
Kikosi Kazi Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni chenye maskani nchini ujerumani juzi siku ya Jumamosi ya 5 September 2015 kilifanikiwa kufunika katikaonyesho Vechelde Festival nchini Ujerumani.bendi hiyo maarufu barani ulaya kwa kuwadatisha washabiki wa muziki wa kiafrika kule ughaibuni imejijenga umaarufu katika kila kona na kuwekwa kileleni katika nafasi ya juu na washabiki wake wakimataifa.inaongozwa na kamanda Ras Makunja na kuwa na utajiri wa wanamuziki vijana wenye wingi wa vipaji...
9 years ago
VijimamboMKONO WA EID AL HAJJ KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU
Bendi maarufu ya muziki wa dasni barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuniyenye makao kule Ujerumani inawatakia wadau wote mkono wa Eid el Hajj,bendi hiyo inawatakia kila la heri na baraka katika kusherekea siku hii ya Eid Al Hajj ,sikuu hii iwe ya amani,upendo na furaha. Ngoma Africa band inawapa mkono wa Eid Mubaraka.usikote kufungua sikio at www.reverbnation.com/ngomaafricaband
10 years ago
VijimamboNGOMA AFRICA BAND AKA FFU WALIFUNIKA JIJI LA BREMEN,UJERUMANI
Bremen,Ujerumani,
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni wanazidi kudatisha ughaibuni !
Katika onyesho lao ndani ya hekalu la Uebersee Museum mjini Bremen,ujerumani usiku wa jumamosi 30 Mei 2015 bendi imeonyesha kwa kiasi kikubwa kuwa inakubalika katika hadi katika mahekalu ya kutisha,Kikosi kazi hiko maarufu kwa muziki wa dansi barani ulaya
kinachoongozwa na mwanamuziki kamanda Ras Makunja,kikiwa
na wanamuziki waliojaa vipaji akiwemo yule mcharaza...
9 years ago
MichuziMKONO WA EID MUBARAK KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU UGHAIBUNI
Bendi maarufu ya muziki wa dasni barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuniyenye makao kule Ujerumani inawatakia wadau wote mkono wa Eid el Hajj.Bendi hiyo inawatakia kila la heri na baraka katika kusherekea siku hii ya Eid Al Hajj, na kusema sikuu hii iwe ya amani, upendo na furaha. Ngoma Africa band inawapa mkono wa Eid Mubaraka.
usikose kufungua sikio at www.reverbnation.com/ngomaafricaband
usikose kufungua sikio at www.reverbnation.com/ngomaafricaband
11 years ago
MichuziCD mpya "Bongo Tambarare" ya Ngoma Africa Band aka FFU ndani ya Ethopia !
Addis Ababa,Ethopia,
Kiongozi wa bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU aka Anunnaki Alien Kamanda Ras Makunja amewasili nchini Ethopia kwa ziara ya siku tatu ya kikazi,kwa ajili ya kuiporomoti CD mpya "Bongo Tambarare" ,baada ya wadau wa muziki nchini humo kuomba CD hiyo iweze kupigwa katika vituo vya redio nchini humo.
Wadau wa Ethopia wamevutiwa sana na mdundo uliomo ndani ya CD ya "Bongo Tambarare" yenye nyimbo tatu ambayo inasikika...
10 years ago
VijimamboSALAMU ZA HERI YA MEI MOSI ,KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni yenye makao yake nchini ujerumani inawatakia kila la heri watanzania wote walio nyumbani na nje ,Heri na baraka, Amani,Mshikamano na Upendo katika maadhimisho ya sherehe za siku kuu ya wafanyakazi MEI MOSI.
TUZIDISHE JUHUDI KAZINI ! KAZI NI KAZI
Sherehekea MEI MOSI kwa muziki at www.ngoma-africa.com
TUZIDISHE JUHUDI KAZINI ! KAZI NI KAZI
Sherehekea MEI MOSI kwa muziki at www.ngoma-africa.com
10 years ago
MichuziNgoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni walipoliweka jiji la Stuttgart chini yao
Na Paparazi wa Globu ya jamii Ughaibuni,
Bendi Maarufu ya Muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-Ughaibuni usiku wa Jumamosi ya 14 Machi 2015 walifanikiwa kufanya mavitu yao jukwaani na kuliweka jiji la Stuttgart,chini ya himaya na muziki wao,katika onyesho la Africa Unite Party.
pamoja na ulinzi ulioandaliwa lakini kikosi cha Ngoma Africa band kilikuwa "Fit on Fire",sheria za ughaibuni zinawaruhusu kutinga na viwalo ..kila nchi inautaratibu na sheria zakeKamanda Ras Makunja...
9 years ago
MichuziNGOMA AFRICA BAND AKA FFU WAKIENDELEA KUDATISHA UGHAIBUNI WAFANYA KWELI JIJINI BREMEN
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni inayoongozwa na Kamanda Ras Makunja juzi jumamosi ya 7 November 2015 walifanikiwa tena kwa mara nyingine kukonga nyoyo za washabiki mjini Bremen Ujerumani katika onyesho la kusherekea miaka 10 ya Pan African Organisation lililofanyika katika ukumbi wa Bugerhaus Weserterasse.Kikosi kazi kazi hiko cha FFU-ughaibuni kikiwa na madansa wao wawili Jessicha Ouyah na Sara Fina waliweza kulimudu jukwaa na kuwadatisha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania