Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngoma moja tu inanirudisha kwenye chati – Z Anto

Z Anto

Z Anto amesema wimbo mmoja tu unaweza kurudisha heshima yake kama atazingatia vitu vinavyohitajika kwenye muziki.

Z Anto

Akizungumza na Bongo5, Z Anto alisema bado ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri kwakuwa anaamini hakuna kitu kikubwa kilichobadilika.

“Siku zote huwa nachoamini kuwa kurudi kwa msanii wa aina yoyote huwa kunakuja kwa kazi moja peke yake. Kwahiyo suala la kurudi katika hatua ambayo niliiacha sio kazi kubwa kihivyo kwa sababu ubora wa kazi moja peke yake unaweza kunirudisha kwenye...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee na Davido washirikishwa kwenye ngoma moja ya msanii wa Ghana, D-Black

Juhudi za msanii wa kike wa Tanzania, Vanessa Mdee katika kujitangaza kimataifa zinazidi kuonekana, baada ya kuchukua tuzo ya AFRIMMA nchini Nigeria mwaka jana, sasa amepata nafasi ya kushiriki kwenye wimbo mmoja na staa wa Nigeria, Davido. Vannessa na Davido wameshirikishwa kwenye Remix ya wimbo wa msanii wa Ghana aitwaye D-Black. Wasanii wa nchi nyingine […]

 

9 years ago

Mtanzania

Adele akimbiza kwenye chati za Billboard

Adele.NEW YORK, MAREKANI

NYOTA wa muziki nchini Uingereza, Adele Adkins, anamaliza mwaka kwa kushika nafasi ya kwanza katika chati za Billboard kwa wiki nne.

Katika chati hiyo kulikuwa na albamu 200 ambazo zilikuwa zinashindanishwa, lakini Adele amefanikiwa kushika nafasi ya kwanza kwenye ushindani huo kwa wiki nne.

Mkali huyo wa sauti amesema ni furaha kwake kuona kazi zake zikikubalika na idadi kubwa ya watu duniani na ndiyo maana ameweza kukaa kwa muda mrefu ambapo sio kawaida kutokana na...

 

10 years ago

Bongo5

Nicki Minaj avunja rekodi nyingine kwenye chati za Billboard

Single ya Nicki Minaj ’Only’ imefanikiwa kukamata nafasi ya kwanza kwenye Hot R&B/Hip-Hop Songs chart za Billboard, na kumfanya awe msanii wa kike aliyewahi kuwa na nyimbo nyingi zaidi zilizofika nafasi ya kwanza tokea chati hizo zianzishwe miaka 56 iliyopita. Nicki amevunja rekodi iliyokuwa ikishikiliwa na Missy Elliot aliyekuwa na nyimbo tatu zilizokamata nafasi ya […]

 

9 years ago

MillardAyo

Video 5 za juu kwenye chati ya RNB Trace TV ziko hapa….

Trace TV ya Ufaransa ni kituo kingine cha TV kinachoonekana Afrika kupitia huduma ya kulipia kikiwa na nafasi yake kwenye upande wa burudani hususani  muziki wa kizazi cha sasa, leo December 22, 2015 kilitoa list ya video za nyimbo bora za RNB ambazo kwenye hii countdown zipo 5. 5.Alessia Cara- Here 4.Post Malone – White […]

The post Video 5 za juu kwenye chati ya RNB Trace TV ziko hapa…. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

GoodNews ni hapa ilipofikia video ya #Game ya Navy Kenzo kwenye chati za MTV Base

Wasanii wawili wanaounda kundi la Navy Kenzo (Aika & Nahreel) wanazidi kupanda chart baada ya video ya wimbo wao Game waliyomshirikisha Vanessa Mdee kuendelea kushika  nafasi ya kwanza kwenye chati za MTV Base. Huku wakizishinda video 7 zilizoingia katika chati hiyo ya MTV Base. 7.Tecno – Duro 6.Joh Makini – Don’t Bother ft AKA 5.Cassper […]

The post GoodNews ni hapa ilipofikia video ya #Game ya Navy Kenzo kwenye chati za MTV Base appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Album mpya ya Janet Jackson ‘Unbreakable’ yaweka rekodi kwenye chati za Billboard 200

Album mpya ya Janet Jackson iitwayo ‘Unbreakable’ imekamata nafasi ya kwanza kwenye chati ya Billboard 200, na kuweka rekodi ya kuwa album ya saba ya mwimbaji huyo kushika namba moja kwenye chati hizo. Album hiyo iliyotoka October 2, 2015 imeuza nakala 116,000 katika wiki yake ya kwanza kwa mujibu wa Nielsen Music. ‘Unbreakable’ ni album […]

 

9 years ago

Bongo5

‘Selfie’ yamrudisha Koffi Olomide kwenye chati, azungumzia ndoto ya kuwa ‘Rais wa Afrika’

11429493_1452487665073871_1410855431_n

Koffie Olomide amerudi tena kwenye chati za muziki barani Afrika tangu aachie wimbo wake mpya, Selfie katikati ya mwezi uliopita.

Kama unasikiliza redio na kutazama TV za Tanzania utakubaliana nasi kuwa wimbo huo ni miongoni mwa nyimbo zinazochezwa zaidi kwa sasa.

Selfie unafanya vizuri katika bara lote la Afrika na nchi za Ulaya zikiwemo Ufaransa, Ubelgiji na Canada na umeweza kuwavutia mashabiki wengi vijana tofauti na nyimbo zake za hivi karibuni.

Mastaa akiwemo Didier Drogba...

 

9 years ago

Bongo5

‘Game’ ya Navy Kenzo yazidi kushika chati Nigeria, yakamata namba 1 kwenye Top 10 ya Radio nyingine ya Lagos

Navy Kenzo wanazidi kuwashika kina ‘Oga’, baada ya wimbo wao ‘Game’ kushika namba 1 kwenye Top 10 za The Beat 99.9 Fm ya Nigeria, wimbo huo umekamata nafasi ya 1 kwenye Top 10 ya Radio nyingine ya Lagos. ‘Game’ya Navy Kenzo wakiwa wamemshirikisha Vanessa Mdee imeshika namba 1 kwenye African Top 10 ya Naija 102.7 […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani