NGUMI KUPIGWA SIKU YA NYERERE DAY MUSOMA BAR TANDIKA MAGULUWE
Bondia Suma Ninja akitunishiana misuli na Shomali Mirundi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika katika ukumbi wa Musoma Bar Tandika Maguluwe siku ya Nyerere Day
Bondia Azizi Abdalla akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake utakaofanyika siku ya nyerere Day Oktoba 14 katika ukumbi wa musoma bar tandika maguluwe kulia ni mpinzani wake Azizi Rashid
Bondia Imani Daudi 'Imana Mapambano' kushoto akitunishiana misuli na Ally Sufiani baada ya kupima uzito kwa ajili ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo01 Oct
MPAMBANO WA NGUMI KUPIGWA SIKU YA NYERERE DAY TANDIKA
BONDIA Imani Daudi anatarajia kupigan
![](https://4.bp.blogspot.com/-vzGmvROQS_o/UH3BmEjEpjI/AAAAAAAAA78/E_XCPFwzd9s/s1600/SUPER+D+BOXING+COACH.jpg)
lina marengo ya kumkumbuka baba wa taifa katika siku hiyo ya kipekee kabisa kwa nchi yetu ya Tanzania
akizungumza na...
10 years ago
Vijimambo15 Oct
NGUMI ZILIVYOPIGWA TANDIKA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LXNighe7JOs/VfKdRUOUC0I/AAAAAAAAHUY/qGChT4HBgj4/s72-c/super%2Bd%2Bboxing%2Bpromotion.jpg)
NGUMI KUPIGWA CHANIKA SEPTEMBA 26
![](http://1.bp.blogspot.com/-LXNighe7JOs/VfKdRUOUC0I/AAAAAAAAHUY/qGChT4HBgj4/s640/super%2Bd%2Bboxing%2Bpromotion.jpg)
Kocha wa kimataifa nchini Rajabu Mhamila 'Super D' utakuwa ni wa kumaliza ubishi baada ya mpambano wa kwanza Dimoso kudundwa kwa point
Super D aliongeza kuwa siku iyo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dMOcDWN9t9w/VVRl3T_4w5I/AAAAAAAHXOo/VxoTv7Jh3cw/s72-c/SUPER%2BD%2BBOXING%2BCOACH.jpg)
NGUMI KUPIGWA MEI 16 BAGAMOYO MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-dMOcDWN9t9w/VVRl3T_4w5I/AAAAAAAHXOo/VxoTv7Jh3cw/s400/SUPER%2BD%2BBOXING%2BCOACH.jpg)
MABONDIA Iddi Pialali wa Kiwangwa Bagamoyo na Adam Ngange wa Chanika Dar es salaam watapima uzito siku ya ijumaa katika stendi kuu ya mabasi Bagamoyo na kupigana siku ya jumamosi ya mei 16 katika ukumbi wa che kwa che uliopo Bagamoyo mjini, ambapo mabondia hao watamalizia ubishi wao wa nani zaidi kati ya Bagamoyo na Chanika.
Mpambano huo utakaosimamiwa na Chama cha Ngumi za Kulipwa P.S.T utakuwa wa raundi sita na kwa uzito wa kg 61, ambapo kutakuwa na mapambano mengine ya...
10 years ago
Vijimambo24 Feb
NGUMI KUPIGWA FEB 28 UWANJA WA NDANI WA TAIFA
![](https://4.bp.blogspot.com/-3sK3dpj2IZM/VMM64uSiZ3I/AAAAAAAAG4I/fyLpvOZl_uU/s400/2.jpg)
BONDIA Fransic Miyeyusho 'Chichi Mawe' ametamba kumsambalatisha Fadhili MajihaStoper' katika raundi za awali za mpambano wao utakaofanyika siku ya jumamosi ya feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa mpambano huo wa raundi nane unasubiliwa kwa hamu kubwa na mashabiki mbalimbali wa mchezo wa masumbwi nchini ususani vitongoji vya Kinondoni, Manzese, mabibo na Mwananyamala ambapo ndio maeneo yao yenye wapenzi wao wa ngumi na sehermu mbalimbali
akizungumza na mwandishi wa habari hizi Miyeyusho...
10 years ago
Vijimambo06 Nov
NGUMI KUPIGWA JUMAPILI MANZESE UKUMBA WA MANYARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-KmR6rscr-wc/VEAmYBXNngI/AAAAAAAAGeg/Azf7n-Bfwl0/s1600/NDAME.jpg)
10 years ago
Michuzi25 Feb
NGUMI KUPIGWA UWANJA WA NDANI WA TAIFA JUMAMOSI
![](https://4.bp.blogspot.com/-3sK3dpj2IZM/VMM64uSiZ3I/AAAAAAAAG4I/fyLpvOZl_uU/s400/2.jpg)
BONDIA Fransic Miyeyusho 'Chichi Mawe'
ametamba kumsambalatisha Fadhili Majiha 'Stopper' katika raundi za awali za mpambano wao utakaofanyika siku ya jumamosi ya feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa mpambano huo wa raundi nane unasubiliwa kwa hamu kubwa na mashabiki mbalimbali wa mchezo wa masumbwi nchini ususani vitongoji vya Kinondoni, Manzese, mabibo na Mwananyamala ambapo ndio maeneo yao yenye wapenzi wao wa ngumi na sehermu mbalimbali
akizungumza na mwandishi wa habari hizi Miyeyusho...