NHC kujenga miji midogo 3
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limesema limedhamiria kubadili na kuboresha mandhari katika Mkoa wa Dar es Salaam na mikoa mingine baada ya kuzindua miradi mitatu ya ujenzi wa miji midogo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Nov
NHC sasa kujenga miji ya kisasa Dar es salaam
10 years ago
StarTV08 Oct
NHC yashauriwa kujenga nyumba za kisasa pembezoni mwa miji
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete amewashauri watendaji wa shirika la nyumba kuwa wabunifu kwa kujenga nyumba zenye hadhi ya juu pembezoni mwa mji ili kupunguza msongamano katikati ya jiji la Dar Es Salaam.
Pia amelitaka shirika la nyumba la taifa kujiunga na mkongo wa taifa ili kuweza kufanya shughuli zake kupitia mtandao na kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa watanzania.
Akiweka jiwe la msingi kwenye mradi wa Morroco Square, ulio chini ya shirika la...
10 years ago
Michuzi09 Jan
ARUSHA KUPATA MIJI MIWILI YA KISASA-NHC
Pichani.
10 years ago
Mwananchi12 Jan
NHC Arusha kujenga nyumba 4,500
11 years ago
MichuziNHC kujenga Satelite City Jijini Arusha
Eneo hilo la Tengeru ambalo zamani lilikuwa likimilikiwa na Hortculture Tanzania Ltd linatazamiwa kujengwa mji wa kisasa utakaojulikana kama Satelite City.
Mkurugenzi wa shirika la nyumba la taifa NHC Nehemea Mchechu aliwaambia wajumbe wa kamati ya ardhi ,amaliasili na mazingira kuwa tayari NHC imenunua ekari 600 ambazo zimegharimu kiasi cha shilingi za kitanzania bilioni 5.
Nyumba 300 zinatarajiwa kujengwa katika awamu ya kwanza ya mradi huo...
11 years ago
Habarileo06 Sep
JK aahidi kuisukuma NHC kujenga nyumba Chemba lakini…
RAIS Jakaya Kikwete ameiagiza Halmashauri ya Chemba kutoa ardhi kwa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ili liweze kujenga nyumba kwa ajili ya watumishi wa halmashauri hiyo.
10 years ago
Habarileo18 Mar
Lukuvi: NHC ipatiwe viwanja vya kujenga nyumba nafuu
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amezitaka halmashauri kote nchini kutenga maeneo ya viwanja ili Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) liweze kujenga nyumba bora na za gharama nafuu zitakazouzwa kwa wananchi.
10 years ago
Mwananchi19 Nov
UJASIRIAMALI: Mitaji midogo kikwazo kwa vikundi
11 years ago
Mwananchi04 May
Mipango, mikakati na miradi midogo ina uwezo kufanikiwa