NHIF yakabidhiwa Kituo chake mkoani Dodoma
Kaimu Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Michael Mhando akikagua Kituo cha Kisasa cha Matibabu kilichopo katika Hospitali ya Mkoa Dodoma. Kituo hicho kinatarajiwa kuanza kutumika mwishoni mwa mwaka huu.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF akionesha ufunguo wa kituo hicho baada ya kukabidhiwa na baadae alikikabidhi rasmi katika uongozi wa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma.
Na Mwandishi Wetu
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umekabidhiwa kituo chake cha matibabu cha mfano mara baada ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi14 Nov
NHIF YAJENGA KITUO CHA KISASA CHA UCHUNGUZI NA MATIBABU YA MAGONJWA YA BINADAMU UDOM MKOANI DODOMA
![1](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/r-tQZqy8PH7f_inBM6_Ovwu3tsLLHkq3SmHT1mG1kk-TUZkvVr7Hzolv5zo6SIMvgw0E6BdfLXG6mdTap2GCbaxcJCC_Dw7vM2JW6ChZPit4mX7IbiuN=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/132.jpg)
10 years ago
Michuzi14 Nov
NHIF YAJENGA KITUO KIKUBWA CHA KISASA CHA UCHUNGUZI NA MATIBABU YA MAGONJWA YA BINADAMU MKOANI DODOMA
![1](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/r-tQZqy8PH7f_inBM6_Ovwu3tsLLHkq3SmHT1mG1kk-TUZkvVr7Hzolv5zo6SIMvgw0E6BdfLXG6mdTap2GCbaxcJCC_Dw7vM2JW6ChZPit4mX7IbiuN=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/132.jpg)
Kituo hiki kitahudumia wagonjwa kutoka maeneo mbalimbali ya mikoa ya jirani ya na mkoa wa Dodoma na kinajengwa kwa ufadhili wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF kwa gharama ya shilingi Bilioni 36 ambazo zimetolewa na mfuko huo kwa silimia 100.
Akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali wanaohudhuria kongamano la Mfuko...
10 years ago
Michuzi13 Nov
NHIF YAJENGA KITUO KIKUBWA CHA KISASA CHA UCHUNGUZI NA MATIBABU YA MAGONJWA YA BINADAMU UDOM MKOANI DODOMA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-6uZC2qqFLE4/VGR-asVfGRI/AAAAAAAGw48/ZPiH2BXcPmQ/s1600/7.jpg)
Kwa mujibu wa Profesa Shaban Mlacha,amesema kuwa kituo hicho kitajikita zaidi kwenye magonjwa ya uchunguzi /Utafiti na...
10 years ago
Michuzi14 Nov
KONGAMANO LA TISA LA NHIF NA WAANDISHI WA HABARI LAENDELEA LEO MKOANI DODOMA.
![](https://4.bp.blogspot.com/-c4o4-SMQybs/VGW1u0aof_I/AAAAAAAGxFE/fwP00dXq4kE/s640/2.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
NHIF yajenga kituo cha kisasa cha kuchunguza magonjwa Dodoma
SERIKALI kupitia Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), imejenga kituo kikubwa cha kisasa cha uchunguzi wa magonjwa mbalimbali mkoani hapa ili kuokoa fedha zinazotumika kusafirisha wagonjwa nje ya...
9 years ago
MichuziNHIF YAKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA KISASA CHA UCHUNGUZI NA MATIBABU KILICHOJENGWA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-YF8Cl6f9BDk/Vlhpe8ekmZI/AAAAAAADC6U/V0-ykHicOj4/s640/NHIF%2BKAIMU%2BMKURUGENZI%2BMKUU%2B1.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Nov
WAZIRI WA AFYA DKT SEIF RASHID AZINDUA KONGAMANO LA TISA LA NHIF NA WAANDISHI WA HABARI MKOANI DODOMA LEO.
![](https://4.bp.blogspot.com/-Kv8hM3kigJw/VGTPmsdDGAI/AAAAAAACuuw/XavUXIIgdu0/s640/IMG_7807.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vE9LjkJZf-U/VGS3UbqImhI/AAAAAAACuuI/SWXZgJePy7s/s1600/IMG_7845.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-4XxH90HUjBM/VGTNkchG03I/AAAAAAACuuk/Xt1k-xcdCsg/s640/IMG_7784.jpg)
9 years ago
Mtanzania03 Dec
NHIF yazindua kituo
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umezindua kituo cha huduma kwa ajili ya kupokea malalamiko kutoka kwa wanachama wao kwa kutumia mfumo wa kielektroniki.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kaimu Mkurugenzi wa NHIF, Michael Mhando alisema lengo la kuanzisha kituo hicho ni kupunguza kero kwa wanachama wao.
Alisema huduma hiyo itapatikana bure kwa kupiga namba 0800110063 na kuuliza maswali au msaada wa haraka kuhusu kadi ya...
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI ATOA ZAWADI ZA SIKUKUU YA KRISMASI KWA WATOTO WANAOISHI KWENYE KITUO CHA KUHUDUMIA WATOTO WA KIJIJI CHA MATUMAINI MKOANI DODOMA.