NHIF YAJENGA KITUO KIKUBWA CHA KISASA CHA UCHUNGUZI NA MATIBABU YA MAGONJWA YA BINADAMU MKOANI DODOMA
Kituo cha Kisasa cha Uchunguzi na Matibabu ya magonjwa ya binadamu kinachojengwa katika Chuo Kikuuu cha Dodoma (UDOM) kikiwa katika hatua za mwisho mwisho za kukamilika.
Kituo hiki kitahudumia wagonjwa kutoka maeneo mbalimbali ya mikoa ya jirani ya na mkoa wa Dodoma na kinajengwa kwa ufadhili wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF kwa gharama ya shilingi Bilioni 36 ambazo zimetolewa na mfuko huo kwa silimia 100.
Akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali wanaohudhuria kongamano la Mfuko...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Nov
NHIF YAJENGA KITUO KIKUBWA CHA KISASA CHA UCHUNGUZI NA MATIBABU YA MAGONJWA YA BINADAMU UDOM MKOANI DODOMA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-6uZC2qqFLE4/VGR-asVfGRI/AAAAAAAGw48/ZPiH2BXcPmQ/s1600/7.jpg)
Kwa mujibu wa Profesa Shaban Mlacha,amesema kuwa kituo hicho kitajikita zaidi kwenye magonjwa ya uchunguzi /Utafiti na...
10 years ago
Michuzi14 Nov
NHIF YAJENGA KITUO CHA KISASA CHA UCHUNGUZI NA MATIBABU YA MAGONJWA YA BINADAMU UDOM MKOANI DODOMA
![1](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/r-tQZqy8PH7f_inBM6_Ovwu3tsLLHkq3SmHT1mG1kk-TUZkvVr7Hzolv5zo6SIMvgw0E6BdfLXG6mdTap2GCbaxcJCC_Dw7vM2JW6ChZPit4mX7IbiuN=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/132.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
NHIF yajenga kituo cha kisasa cha kuchunguza magonjwa Dodoma
SERIKALI kupitia Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), imejenga kituo kikubwa cha kisasa cha uchunguzi wa magonjwa mbalimbali mkoani hapa ili kuokoa fedha zinazotumika kusafirisha wagonjwa nje ya...
9 years ago
MichuziNHIF YAKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA KISASA CHA UCHUNGUZI NA MATIBABU KILICHOJENGWA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-YF8Cl6f9BDk/Vlhpe8ekmZI/AAAAAAADC6U/V0-ykHicOj4/s640/NHIF%2BKAIMU%2BMKURUGENZI%2BMKUU%2B1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-baSezXflmy4/XvBrE-tZeNI/AAAAAAALu3I/5L5VsrrqQw87hI3wa9x6KAUTQ0tmWSWzACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B9.32.34%2BAM.jpeg)
SERIKALI YAJENGA MAABARA YA KISASA YA UCHUNGUZI WA MAGONJWA YA BINADAMU YA KUAMBUKIZWA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI TISA MKOANI KILIMANJARO
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imejenga Maabara ya Kisasa ya uchunguzi wa magonjwa ya binadamu ya kuambukiza yenye thamani ya shilingi Bilion tisa katika Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Maabara hiyo ikiwa inaelekea kukamilika ili kuanza kutoa huduma za uchunguzi wa...
10 years ago
Vijimambo04 Oct
RAIS KIKWETE AKAGUA CHUO CHA SAYANSI YA AFYA NA UCHUNGUZI WA MAGONJWA YA BINADAMU CHA UDOM
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/8OcIUHRT--_OAzviO2Xvcaq3hiyUREZFk39-1tWvYVgeWyPJMuoWzINQjQKwSpdH8XMqP60jCa1qPHQIhyooo3eIGDeW_zpM4hft-30X5aUkSJaJulUzM0Zr_Z4oRYl-PBcAncrUIot5IHFYD1s_-Ds2H5mMY3r-6Bms3NhG0ce51V5h6t-CAycvQrgUFZoinaTVYTvh9N6jQLi8YOozR3b77HlPZQ8_FTzvqc8pJ_u57QtHEwZaO0ejGYDtSydmqcggehC05IqxWH157wFTGPdPHD_S0YpgllVORLQtTc4a1BtcvOl4pMwbnGYwkoLRAzZGvyI3tGklmw=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-R5XjpaarlVc%2FVC_Mr9kNtyI%2FAAAAAAAGnto%2FdsSJ-t_nHQc%2Fs1600%2Fu2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Dewji Blog31 May
Dkt. Bilal afungua kituo cha tiba, uchunguzi na mafunzo ya magonjwa na saratani za matumbo na Ini cha hospitali ya Taifa Muhimbili, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati wa hafla ya ufunguzi wa Jengo la Kituo cha Tiba, Uchunguzi na Mafunzo ya Magonjwa na Saratani za Matumbo na Ini cha Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati wa Hafla fupi ya ufunguzi huo iliyofanyika Hospitalini hapo jijini Dar es Salaam, jana Mei 30, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (katikati) Mwakilishi wa Taasisi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uYJ-7qHZIt4/VC_Mq8vozLI/AAAAAAAGntk/ePW5_QrlqhM/s72-c/u3.jpg)
JK AKAGUA Chuo cha Sayansi ya Afya na Uchunguzi wa Magonjwa ya Binadamu UDOM
![](http://3.bp.blogspot.com/-uYJ-7qHZIt4/VC_Mq8vozLI/AAAAAAAGntk/ePW5_QrlqhM/s1600/u3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UcGz_zjQP9Y/VhYeQntzAUI/AAAAAAAH9jo/EXKLw5CrnSE/s72-c/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
Kituo cha kisasa cha michezo kwa vijana cha JMK cha Kidongo Chekundu kuzinduliwa Oktoba 19, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-UcGz_zjQP9Y/VhYeQntzAUI/AAAAAAAH9jo/EXKLw5CrnSE/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MTmIfFrCtiU/VhYeQWPYbRI/AAAAAAAH9jk/rdXrJiowl5c/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m84sjG2c54I/VhYeQYkAZPI/AAAAAAAH9js/bGqDrIigL4Q/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)